Kuna Equatorial guinea mji mkuu ni Malabo, Kuna Guinea yenye mji mkuu Conakry, Kuna Guinea mji mkuu wake ni Bissau zote hizi zipo Africa. Lakini ipo Guinea ya Oceania inaitwa Papua New Guinea mji mkuu unaitwa Port Moresby hii nchi inapatikana kwenye mpaka wa bara Asia na Australia kwenye vijisiwa vingivingi viitwavyo Micronesia, pia Kunapatika visiwa jirani kama vile Tuvalu, Fiji, Vanuatu etc.