sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
Afisa manunuzi anaenda kwa muhasibu kuomba kupewa Bilioni 2 amlipe mkandarasi tenda ya ujenzi, hio kazi ya kwenye tenda ni wazi kabisa kiuhalisia haivuki hata milioni 200 lakini muhasibu akijaribu kufungua mdomo ataambiwa afanye kazi yake hayo mambo ya manunuzi hayamhusu, hapo muhasibu anaingia vipi kwenye wizi ?
Afisa manunuzi anaenda kwa muhasibu kuomba kupewa Milioni 500 ili alipie manunuzi ya computer za taasisi, hizo computer ni wazi kabisa sokoni unazipata zikiwa mpya kwa milioni 100 tu lakini muhasibu akijaribu kufungua mdomo ataambiwa afanye kazi yake hayo mambo ya manunuzi hayamhusu, hapo muhasibu anaingia vipi kwenye wizi ?
Afisa manunuzi anaenda kwa muhasibu kuomba kupewa Milioni 500 ili alipie manunuzi ya computer za taasisi, hizo computer ni wazi kabisa sokoni unazipata zikiwa mpya kwa milioni 100 tu lakini muhasibu akijaribu kufungua mdomo ataambiwa afanye kazi yake hayo mambo ya manunuzi hayamhusu, hapo muhasibu anaingia vipi kwenye wizi ?