Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaongea nn cha maana mpaka ukaona akili anazo?Leo nilikuwa natazama chomoza TV nimekutana na jamaa mmoja muhaya anaitwa Dr Ellie Waminian huyu jamaa Ana akili Sana .
Nimeambiwa ni muhaya
Hili kabila litakuwa na DNA Kama za wazungu
Kaongea nn mkuu na sisi atujengeHuyo ni noma Sana amenijenga sana
Sio mkongomani yule.?Leo nilikuwa natazama chomoza TV nimekutana na jamaa mmoja muhaya anaitwa Dr Ellie Waminian huyu jamaa Ana akili Sana .
Nimeambiwa ni muhaya
Hili kabila litakuwa na DNA Kama za wazungu
Leo nilikuwa natazama chomoza TV nimekutana na jamaa mmoja muhaya anaitwa Dr Ellie Waminian huyu jamaa Ana akili Sana .
Nimeambiwa ni muhaya
Hili kabila litakuwa na DNA Kama za wazungu
Kabsa wahaya kichwani tumezijaza shida yetu sifa sasa😂Leo nilikuwa natazama chomoza TV nimekutana na jamaa mmoja muhaya anaitwa Dr Ellie Waminian huyu jamaa Ana akili Sana .
Nimeambiwa ni muhaya
Hili kabila litakuwa na DNA Kama za wazungu
Hahaaa Kuna maza mmoja akawa anasema kuwa huyo mhaya ana lugha isiyoelewekaLeo nilikuwa natazama chomoza TV nimekutana na jamaa mmoja muhaya anaitwa Dr Ellie Waminian huyu jamaa Ana akili Sana .
Nimeambiwa ni muhaya
Hili kabila litakuwa na DNA Kama za wazungu
Huyu jamaa ukisema umuelewe unaweza ukatapika 😂!Hahaaa Kuna maza mmoja akawa anasema kuwa huyo mhaya ana lugha isiyoeleweka
Umemsifu ana akili sana je una maana huyo muhaya anamiliki asilimia kama 3 ya akili.yangu ...maana mtu yoyote akiweza kumiliki japo asilimia 3 ya akili yangu huyo siyo binadamu wa kawaidaLeo nilikuwa natazama chomoza TV nimekutana na jamaa mmoja muhaya anaitwa Dr Ellie Waminian huyu jamaa Ana akili Sana .
Nimeambiwa ni muhaya
Hili kabila litakuwa na DNA Kama za wazungu
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Sio mkongomani yule.?
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] hahahaaa ile lugha yake ileHuyu jamaa ukisema umuelewe unaweza ukatapika [emoji23]!
Amekujenga, 😳🤔🤔kiimani, kiupambanaji ama!?Huyo ni noma Sana amenijenga sana
Mbona jamaaa n mkongomani yuleLeo nilikuwa natazama chomoza TV nimekutana na jamaa mmoja muhaya anaitwa Dr Ellie Waminian huyu jamaa Ana akili Sana .
Nimeambiwa ni muhaya
Hili kabila litakuwa na DNA Kama za wazungu
Wengi wao ni smart Mkuu tuweke Sifa pembeni ni kama wachaga na pesa huwezi kutenganisha kwenye ukwl usemekaneHASTY GENERALIZATION
Unatoa hitimisho kwa kundi kubwa la watu kwa kutumia idadi ndogo ya watu.
Mfano;
•Kuna mkinga aliua hivyo wakinga wote ni wauaji.
•Kuna mdau alilima viazi vikamkata hivyo viazi havina faida.
Doctor Ellie yuko smart lakini hilo halihitimishi kwamba Wahaya wote ni Smart.