Wahaya wana akili sana kiukweli , nimemfatili Dr Ellie Waminian huyu jamaa ana hatari sana

Wahaya wana akili sana kiukweli , nimemfatili Dr Ellie Waminian huyu jamaa ana hatari sana

Leo nilikuwa natazama chomoza TV nimekutana na jamaa mmoja muhaya anaitwa Dr Ellie Waminian huyu jamaa Ana akili Sana .

Nimeambiwa ni muhaya

Hili kabila litakuwa na DNA Kama za wazungu
Ucha ukabila. Ukabila hautakusaidia lolote.
 
Kwa sasa akili inapatikana kwa wanyaturu mpaka lisu aachane na dunia.
Wanafuata wajita wakiwakilishwa na mzee warioba.
Wahaya wana akili endapo tu njaa hana. Otherwise wanakuwa akina Kafuku
 
Kwa sasa akili inapatikana kwa wanyaturu mpaka lisu aachane na dunia.
Wanafuata wajita wakiwakilishwa na mzee warioba.
Wahaya wana akili endapo tu njaa hana. Otherwise wanakuwa akina Kafuku
Leo Waryobha amehama Kabila na kuwa mjita. Kwa hiyo U-ikizu alisingiziwa. Kwa comment hii somo la history lifutwe Tanzania.
 
Huyo jamaa anaitwa Dr. Ellie huwa simuelewi na wala sijawahi kumuelewa. Nimejaribu kukaa zaidi ya mara tano kumsikiliza (Clauds Tv), lakini sikupata chochote na wala haeleweki. Sio mimi pekee yangu hata watangazaji wanaokuwa naye kwenye kipindi huwa hawamuelewi mbali na watu wengi wanaofuatilia kipindi kutokumuelewa kabisa. Jamaa haeleweki kama anahubiri, anafundisha au anafafanua chochote. Ni mwendo wa kuibuka na vifalsafa vya ovyo ovyo vya hapa na pale na kuongea kwa mapozi fulani ya mbwembwe za kisomi na sasa kubleach nywele, too much scrubing na make up.
Jamaa ni msanii fulani anayeiga namna marehemu mchungaji Mitimingi (ambaye alikuwa anaeleweka vyema) alivyokuwa akifanya vipindi vyake kwenye Tv.

Nina mashaka sana kama jamaa kweli ana usomi wa level ya udaktari (PhD), nahisi kwa 90% jamaa ni msanii.
 
Mimi ninachofahamu Wahaya walio wengi wanapenda sana sifa! Hayo ya akili, nadhani kila mtu anazo. Na hapa nimejaribu tu kutumia ule msemo maarufu wa akili ni nywele...
 
Leo nilikuwa natazama chomoza TV nimekutana na jamaa mmoja muhaya anaitwa Dr Ellie Waminian huyu jamaa Ana akili Sana .

Nimeambiwa ni muhaya

Hili kabila litakuwa na DNA Kama za wazungu
Wa malawi huyo
 
Back
Top Bottom