Wahaya wana Akili sana kiukweli

Wahaya wana Akili sana kiukweli

God Fearing Person

JF-Expert Member
Joined
Apr 5, 2020
Posts
767
Reaction score
2,570
Ndugu zetu wahaya wamebarikiwa kuwa na akili Sana. wapo na IQ kubwa.

Na wengi wanajua wanataka nini katika MAISHA.

Hongereni Sana

Sijui tungekuwa wapi bila wahaya, hongera Sana Max na wengineo.

NB: Huu ni mtazamo tu tusijenge chuki.

DNA factor, zina mchango wake.
 
Ndugu zetu wahaya wamebarikiwa Kuwa na Akili Sana . wapo na IQ kubwa.

Na wengi wanajua wanataka nini katika MAISHA.

Hongereni Sana

Sijui tungekuwa wapi bila wahaya hongera Sana Max na wengineo

Nb huu ni mtazamo tu tusijenge chuki.

DNA factor , zina mchango wake.
wahaya wanataka msagamuo ktk maisha
 
Ndugu zetu wahaya wamebarikiwa Kuwa na Akili Sana . wapo na IQ kubwa.

Na wengi wanajua wanataka nini katika MAISHA.

Hongereni Sana

Sijui tungekuwa wapi bila wahaya hongera Sana Max na wengineo

Nb huu ni mtazamo tu tusijenge chuki.

DNA factor , zina mchango wake.
Wahaya ni darasani tu nje ya class works hamna kitu.
 
Back
Top Bottom