mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 20,704
- 66,337
Hakuna uhusiano wowote kati ya kabila la mtu na akili yake.
Hizi ni soga tu.
Hizi ni soga tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Subiri siku yao itakuja. TutawaongeleaNiliuthuria mkutano mmoja wa wayaudi/kutoka israel walikiri kuwa ndani ya hii nchi wanawapigia salute wachagga maana bila wao cjui tanzania ingekuwaje...Mwisho wa kunukuu..watu walio spy arthi ya rutuba Hapa kwa miaka 12 ndio walituoa konklution yao
Utakuwa umepata basha wa kihaya wewe sio bureNdugu zetu wahaya wamebarikiwa Kuwa na Akili Sana . wapo na IQ kubwa.
Na wengi wanajua wanataka nini katika MAISHA.
Hongereni Sana
Sijui tungekuwa wapi bila wahaya hongera Sana Max na wengineo
Nb huu ni mtazamo tu tusijenge chuki.
DNA factor , zina mchango wake.
Tunaongelea wahaya hapa sio mkoa. Na hakuna mkoa wa wahaya hapa Tz. Sema tukuazime akili japo kidogoSwali la msingi sana hili
Tunaongelea wahaya hapa sio mkoa. Na hakuna mkoa wa wahaya hapa Tz. Sema tukuazime akili japo kidogoKwangu kipimo cha akili hukipima kwa kutumia maendeleo ya Eneo husika.
Sasa huko bukoba watu wanakufa kwa umasikini na kusubiri kujengewa Shule za kata na serikali nao unaita wana IQ kubwa?
Kwangu my role model ni Kilimanjaro.....
Ni matapeli wa kufa mtuWahaya ni darasani tu nje ya class works hamna kitu.
Huoni aibu kunua hizo k za buguruni?lakini wanauza k buguruni
Hapana mkuu. Sijatukana. Nimeijibu mada kama ilivyo. Usinilishe maneno.Najua utaongelea stendi hii ya Bukoba. Maana ndo kichaka mnatumia kutukana watu wa Bukoba..
Sijui mtasema Nini tena. Stendi hii hapo imefanywa ya daladala na imepigwa zege. Ujenzi unaendelea
View attachment 2984254
Mkoa wa Kagera na uhaya wap na wap?Asilimia zaidi ya 30 ya watoto mkoani Kagera Wana utapiamlo
Kama walikutapeli. Wew ndo huna akili mpaka unatapeliwaNi matapeli wa kufa mtu
Kwa hiyo hizo ndio akili sio?Kama walikutapeli. Wew ndo huna akili mpaka unatapeliwa
Ukimsikiliza Muhaya utajua bilionea kumbe nyumbani kwake jana wamelala njaa.Ni matapeli wa kufa mtu
Nimejibu nilivyowazoea watz wenye akili ndogo. Kutumia stendi ya Bukoba kudefine wahaya hawajaendelea.Hapana mkuu. Sijatukana. Nimeijibu mada kama ilivyo. Usinilishe maneno.
zinauzwa nawatu wenye IQ kubwa mkuu🤣Huoni aibu kunua hizo k za buguruni?
Uache uchafu
Punguzeni hizi mambo za kishamba kusifia makabila kulipitwa na wakati.Ndugu zetu wahaya wamebarikiwa Kuwa na Akili Sana . wapo na IQ kubwa.
Na wengi wanajua wanataka nini katika MAISHA.
Hongereni Sana
Sijui tungekuwa wapi bila wahaya hongera Sana Max na wengineo
Nb huu ni mtazamo tu tusijenge chuki.
DNA factor , zina mchango wake.
Mkuu takwimu za Taifa zinaonesha Kagera ni moja ya mikoa Kumi ya Umaskini uliotopea.Nimejibu nilivyowazoea watz wenye akili ndogo. Kutumia stendi ya Bukoba kudefine wahaya hawajaendelea.
Huku wakisahau Barabara za lami Hadi vijijini, maji safi, nyumba Bora vijijini, Airport nzr tu, bandari nzr tu, hospital Bora, shule kibao nk
Uwe unatumia akili japo kidogo kwenye Kila jambo.Kwa hiyo hizo ndio akili sio?