Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tanzania ni ya 29 kwa umaskini Duniani. Je watz wote hatuna akili?M
Mkuu takwimu za Taifa zinaonesha Kagera ni moja ya mikoa Kumi ya Umaskini uliotopea.
Watu weusi Akili kisoda.
Hatari sana.watu weusi wachafu Sana
Kama wakongo tuUkimsikiliza Muhaya utajua bilionea kumbe nyumbani kwake jana wamelala njaa.
😆😆😆
Kwa unachokisema unaprove kwamba hawana hizo akili bwana nshomileUwe unatumia akili japo kidogo kwenye Kila jambo.
U
Hutatapeliwa tena nakwambia.
Mtu anaekutapeli anacheza na akili Yako na ameshajua huitumii ipasavyo. So anakusaidia kuichangamsha
Sasa Mama yangu anatoka wap hapa?kweli bosi nahisi hata mamaako alifanya hivyo
Kwahiyo unanipangia cha kuandika sio?yeye kasema Wahaya hao wengine hajawaona, sasa nini kujikomba?
kwaheriiiSasa Mama yangu anatoka wap hapa?
Unaona ulivyo na akili ndogo. Kutumia matusi bila kutoa hoja
Hebu toa hoja achana na wazazi wetu
Lipia TangazoWahaya tuna IQ kubwa hilo halina ubishi..![emoji1732]
Wote waliooa wanawake wa kihaya hawajawahi kujutia
Tunaongelea wahaya hapa sio mkoa. Na hakuna mkoa wa wahaya hapa Tz. Sema tukuazime akili japo kidogoSasa inakuaje kule kwao kunaongoza kwa umaskini?
Kwao hizo ndo akili nyingi!lakini wanauza k buguruni
Jibu hoja. Changamsha hiyo akili ndogo uliyonayo kujibu hojaKwa unachokisema unaprove kwamba hawana hizo akili bwana nshomile
Wachaga NI wabinafsi Kuliko wahayanasimama na wachaga
wahaya ni wabinafsi na hawajui wanataka nini
sawaaaKwao hizo ndo akili nyingi!
Sasa mbona unanilazimisha. Nakwambia hivi,stendi ya Basi sijafika.Nimejibu nilivyowazoea watz wenye akili ndogo. Kutumia stendi ya Bukoba kudefine wahaya hawajaendelea.
Huku wakisahau Barabara za lami Hadi vijijini, maji safi, nyumba Bora vijijini, Airport nzr tu, bandari nzr tu, hospital Bora, shule kibao nk
watu weusi hayana maana!
Anakenua meno tu sa hizi matembele na matoke kwenye meno.Watu weusi that way tunakufa masikini yaani unalalamika vitu vidogo