Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Sema waliojaliwa kusoma sio wenye akili nyingiKwa kanda ya ziwa wenye akili nyingi ni:
1. Wakerewe
2. Wahaya
3. Wajita
4. Wasukuma
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sema waliojaliwa kusoma sio wenye akili nyingiKwa kanda ya ziwa wenye akili nyingi ni:
1. Wakerewe
2. Wahaya
3. Wajita
4. Wasukuma
Swali la msingi sana hiliKwanini mkoa wa wahaya moja ya mikoa masikini
mhhhhh wahaya ao wana nywere za singa singa mhhh mdomo komaBila kusahau nywele zetu za singasinga
Bila kusahau nywele zetu za singasinga
Kulinganisha na watunguu, watumbatu, wana-kwerekwe au wa-makunduchi?Ndugu zetu wahaya wamebarikiwa Kuwa na Akili Sana . wapo na IQ kubwa.
Na wengi wanajua wanataka nini katika MAISHA.
Hongereni Sana
Sijui tungekuwa wapi bila wahaya hongera Sana Max na wengineo
Nb huu ni mtazamo tu tusijenge chuki.
DNA factor , zina mchango wake.
Hapa tunaongelea wahaya.nasimama na wachaga
wahaya ni wabinafsi na hawajui wanataka nini
Najua utaongelea stendi hii ya Bukoba. Maana ndo kichaka mnatumia kutukana watu wa Bukoba..Waaaaaaaaaay
Overaaaaated.
Nishafika Bukoba. Tembelea mwenyewe utoe maoni yako.
Unanigambire akili?
Ndugu zetu wahaya wamebarikiwa Kuwa na Akili Sana . wapo na IQ kubwa.
Na wengi wanajua wanataka nini katika MAISHA.
Hongereni Sana
Sijui tungekuwa wapi bila wahaya hongera Sana Max na wengineo
Nb huu ni mtazamo tu tusijenge chuki.
DNA factor , zina mchango wake.
yeye kasema Wahaya hao wengine hajawaona, sasa nini kujikomba?Kwa kanda ya ziwa wenye akili nyingi ni:
1. Wakerewe
2. Wahaya
3. Wajita
4. Wasukuma
Kumbe wanazoWahaya tuna IQ kubwa hilo halina ubishi..!🤸
Wote waliooa wanawake wa kihaya hawajawahi kujutia
Tunaongelea wahaya hapa sio mkoa. Na hakuna mkoa wa wahaya hapa Tz. Sema tukuazime akili japo kidogoKwanini mkoa wa wahaya moja ya mikoa masikini
Uko una komenti kwenye forum ya muhaya hapa 😂...au tuko Darasani?Wahaya ni darasani tu nje ya class works hamna kitu.