OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Anapaki❌Anapaki nini Mwasibu
Anabaki ✅
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anapaki❌Anapaki nini Mwasibu
Ngumile ninsima Katondaiwee ogumile kyoma wasibayota
Wakora kututambuaNdugu zetu wahaya wamebarikiwa kuwa na akili Sana. wapo na IQ kubwa.
Na wengi wanajua wanataka nini katika MAISHA.
Hongereni Sana
Sijui tungekuwa wapi bila wahaya, hongera Sana Max na wengineo.
NB: Huu ni mtazamo tu tusijenge chuki.
DNA factor, zina mchango wake.
lekangana naba abafera abalikutujuma bafela bifela muno muno 🤣Ngumile ninsima Katonda
lekangana naba abafera abalikutujuma bafela bifela muno muno
Wazanaki (mmekuja na nini) ni wahima/watutsi waliohamia Mara zamani kutafuta malisho.Na sisi wazanaki tumwagie hizo sifa. Tunastahili
Upo unakoment kwenye platform iliyotengenezwa na mhaya.Wahaya wengi ni wajuaji na hawajui wanachokitaka. Kuhusisha juhudi za darasani na uhalisia wa maisha ndio IQ. Nitajie muhaya yoyote alievumbua kitu chochote hapa tanzania na duniani hapo nitakuelewa..wahaya wengi wanapiga misuli sana ndio maana wanafaulu
Mhaya mwingine huyo hapo...Wahaya wengi ni wajuaji na hawajui wanachokitaka. Kuhusisha juhudi za darasani na uhalisia wa maisha ndio IQ. Nitajie muhaya yoyote alievumbua kitu chochote hapa tanzania na duniani hapo nitakuelewa..wahaya wengi wanapiga misuli sana ndio maana wanafaulu
Upo unakoment kwenye platform iliyotengenezwa na mhaya.
Wahaya ni moja ya jamii ya kwanza kufua vyuma Dunia hii. Wew jamii yako iná kipi cha kujivunia😂....
View: https://youtu.be/Dv9HVHpkt9E?si=jFVcJsDHQB4AVAIj
Mhaya mwingine huyo hapo...
Na wapo wengi tu. Wew hujui kwa sababu hujakutana nao kitaa.
View: https://youtu.be/FB95CLFa4SE?si=olrI_hICsAuuOYhj
Ule umaskini wa Kagera umesababishwa na kuwa na akili?Ndugu zetu wahaya wamebarikiwa kuwa na akili Sana. wapo na IQ kubwa.
Na wengi wanajua wanataka nini katika MAISHA.
Hongereni Sana
Sijui tungekuwa wapi bila wahaya, hongera Sana Max na wengineo.
NB: Huu ni mtazamo tu tusijenge chuki.
DNA factor, zina mchango wake.
Mhaya mwingine huyo hapo...
Na wapo wengi tu. Wew hujui kwa sababu hujakutana nao kitaa.
View: https://youtu.be/FB95CLFa4SE?si=olrI_hICsAuuOYhj
Nyie wa sifa za kilofa fikirieni namna ya kuutoa mkoa wenu ktk umaskini. Uhayani kuna umaskini sijawahi ona popote hapa nchiniWahaya tuna IQ kubwa hilo halina ubishi..!🤸
Wote waliooa wanawake wa kihaya hawajawahi kujutia
Wew ni mbishi tu.Ivi unaelewa maana ya kuvumbua kitu kipya..kwahiyo kwa akili yako jamii forum ni kitu kipya??? Quora digest has been there for years...ni sawa na uniambie masoud kipanya kavumbua gari nitakuona mvivu wa kufikiri.