min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
Mimi miguu ya bia na rangi ya chocolate apo tu ndio mnanimalizagaššBila kusahau nywele zetu za singasinga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi miguu ya bia na rangi ya chocolate apo tu ndio mnanimalizagaššBila kusahau nywele zetu za singasinga
Geita na Kagera ni nani masikini zaidi?Ila , Elimu ni kama kichocheo tu cha kuwa tajiri ila sio chanzo cha kuwa tajiri . Ardhini ndo kuna vyanzo vya kupata utajiri . Ardhi ya Kagera inategemea kilimo . Lakini Kuna mikoa mingine imebarikiwa Madini ardhini . Mkoa kama Geita unachangia asilimia kubwa kwenye pato la Taifa ila wananchi wa mkoa huo ni maskini.
Wale wanatakiwa waoane wao kwa wao! Me mnyaki wife Muhaya,ngoma droo!! Wana wenge sana,ila niko nae na atasanda tu bwege huyuNi kweli,
Ila usijaribu kuoa uko wapige mimba tu!
Mapovu ruksaa.......
Wengi wa wahaya tumesambaa huku mikoani tukifanya shughuli zingine . Hali hii labda ndo imefanya kuua kilimo Bukoba .Geita na Kagera ni nani masikini zaidi?
Mbeya hawana madini nao si wanategemea kilimo kama Kagera mbona wamewapiga gap kubwa sana?
Mnasema mna akili kumbe mmeshindwa kutumia hata akili zenu kujinusuru kutoka kwenye umasikini kupitia kilimo na mna ardh yenye rutuba
Basi nyinyi ni wajinga
Mtawazidi Wachaga, Wasukuma, Wanyakyusa na makabila mengine kwa kusambaa?Wengi wa wahaya tumesambaa huku mikoani tukifanya shughuli zingine . Hali hii labda ndo imefanya kuua kilimo Bukoba .
Hujambo?sawaaa
Dada zenu tunao hapa Dar wamesambaa kuja kuuza nyuchiWengi wa wahaya tumesambaa huku mikoani tukifanya shughuli zingine . Hali hii labda ndo imefanya kuua kilimo Bukoba
š Sawa . Macho yako umeyaelekeza kwa mambo mabaya tu ya wahaya ila Kila kabila lina mabaya yake pia . Nenda pia hapo mlimani na kwenye maofisi ya serikali utawakuta wahaya wengi tu wako busy wanajenga nchi .Dada zenu tunao hapa Dar wamesambaa kuja kuuza nyuchi
Usibishane na hao watu. Achana nao.š Sawa . Macho yako umeyaelekeza kwa mambo mabaya tu ya wahaya ila Kila kabila lina mabaya yake pia . Nenda pia hapo mlimani na kwenye maofisi ya serikali utawakuta wahaya wengi tu wako busy wanajenga nchi .
Kuna akili, na akili timamu, wanaweza kuwa na akili ila si timamu,asanteni ndugu watanzania.Kwanini mkoa wa wahaya moja ya mikoa masikini
Mmeshindwa kuujenga mkoa wenu ndio mtaiweza nchi?Nenda pia hapo mlimani na kwenye maofisi ya serikali utawakuta wahaya wengi tu wako busy wanajenga nchi .
Unapaswa kuombewa huyo max kafanya nini.unapimaje kuwa kabila hili lina akili na lingine halina?hivi Mungu huwa ni mbaguzi kiasi hicho.wewe utakuwa mhaya na sifa zenu tunazijua.Ndugu zetu wahaya wamebarikiwa kuwa na akili Sana. wapo na IQ kubwa.
Na wengi wanajua wanataka nini katika MAISHA.
Hongereni Sana
Sijui tungekuwa wapi bila wahaya, hongera Sana Max na wengineo.
NB: Huu ni mtazamo tu tusijenge chuki.
DNA factor, zina mchango wake.
Ukinifananisha na muhaya nakuua!! Sikuambii kwa nini, ila we jaribu kumuita mtu yeyote "muhaya" ambae si muhaya uone vagi lake.Muhaya Smart Mama tibaijuka tu,.wengine kama sisi tu
Ni kweli wapo vizuri kichwaniNdugu zetu wahaya wamebarikiwa kuwa na akili Sana. wapo na IQ kubwa.
Na wengi wanajua wanataka nini katika MAISHA.
Hongereni Sana
Sijui tungekuwa wapi bila wahaya, hongera Sana Max na wengineo.
NB: Huu ni mtazamo tu tusijenge chuki.
DNA factor, zina mchango wake.
Mhaya ni mwanamke wa kuoa kweli?wao kwa wao wanashindwana iwe kabila jingine!mm nimeishi Bukoba miaka zaidi ya kumi sijaona lolote.Mchengerwa wakati ni waziri wa utumishi alipozuru mkoa wa Kagera aliushangaa naye pia alifanya kazi ktk mkoa huoWahaya tuna IQ kubwa hilo halina ubishi..![emoji1732]
Wote waliooa wanawake wa kihaya hawajawahi kujutia
Wewe unamwonaje?nenda mbeya na uchagani utajifunza mengiDNA zinatembea vizazi na vizazi
Max Melo unamuonaje mkuu !!
We here understand ourselves, we are not bullied, we are not threatened by anythingWewe wa wapi SIO tapeli?
Waulize kama ni wasomi mbona umaskini umekithiri huko?inakuwaje na akili halafu ni maskini wa kutupwa!Kwanini mkoa wa wahaya moja ya mikoa masikini