Wahaya wote popote pale mlipo tuombeni radhi wana Mara na Kanda ya Ziwa wote haraka

Nimesikitishwa sana na mzee wa fursa yaani anapenga na makamasi na makamasi kabisa!!!
 
Alohhh.
Ila wahaya kwa sketi ni shida sana aise!
 
 
 
Ila siyo hadi kwa Kupenga Kamasi kule kwa Ruge Mutahaba. Halafu nimeshakustukia kumbe na Wewe ni Mhaya. Haya ndiyo mmetufanyia nini hivi Sisi Watani zenu wana Mkoa wa Mara na wana Kanda ya Ziwa wote?

Ha ha haaa hivi unadhani alipenga kamasi!? hapana zile ni mbinu tu za kumfanya Zama aone alichofanya sicho... hata chozi halikumtoka kajifanyisha tu... hivi wewe huwajui wahaya vizuri eeee pale ni full maigizo, kajiliza hadi Zama kalegeza sauti...
na siku zote ndio mchezo wake ndio maana hata akifumaniwa Zama alikuwa anasamehe tu.... hapana chezea penzi la kihaya.
 
Du ashakupitia Ruge, mpaka ukajua kibamia chake kumbe?...acha gubu bibie
Ana kibamia sema anajua mahaba,anaongea mwanzo mwisho wakati wa mechi.Na ahadi za ndoa hadi anakuomba umzalie.Hahahahaha
 
ha haha haaa kaka ruge alijua bidada hana oakwenda hasa akijua kasha mzalisha
Ndiyo matatizo ya kuishi kwa mazoea haya .....apambane na hali yake hakuna namna......pesa kamwe haiwezi kununua upendo
 
Huyo Ruge tunamsubili nyumbani bukoba akifika tu lazima tukusanyike ukoo mzima apate bakola mbele ya adhara maana katuaibisha akina nshomile,
Wakola waitu!!!
 
Lakini Ruge ni wa Dar tusishangae sana japo ni mhaya.
Kuishi Dar kwataka moyo, si wanaume si wasichana, wote wavivu.
Unakuta kabinti kadogo , kidogo tu " nimechoka bebi tulale kwanza"
Kwa sisi tunaokula ugali was mhogo tunalalaga tumeshikilia nanili au unachukua sabuni huyooo bafuni.
 
Hii movie ni funga kazi. DAB amedhamini harusi na Me bebez anafurahia mchezo mzima. Wamemshoosha handsome wa Kiyaya kwa kiburi chake. Hakuna rangi ataacha ona. Zama inabidi apewe ajira Le bebez TV.
 
Wote wanyarwanda hao,tatizo hawaendi jando,Zama kakutana na mmakonde kwa nini asimwache kibamia Ruge ?
Heee, kibamia kinaonekanae jamani? Kweli nimeamini asifuye mvua imemnyea
Hii movie ni funga kazi. DAB amedhamini harusi na Me bebez anafurahia mchezo mzima. Wamemshoosha handsome wa Kiyaya kwa kiburi chake. Hakuna rangi ataacha ona. Zama inabidi apewe ajira Le bebez TV.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…