sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
Ulanzi na ugimbiNi kabila ambalo liliwahi kuwa na power kubwa sana katika medani za taifa kuanzia serikalini, jeshini, elimu, vyeo vizito, n.k.
.
Kwa sasa kuna anguka kubwa sana la uwakilishi wao kwenye sehemu kibao, Limekuwa kabila la kawaida sana labda cha kuwatambulisha zaidi ni historia ya Mkwawa pekee.
Nini kimepelekea hali hii ?
Nimeishi na Wahehe na Wabena vitu kibao ni kama mnafanana tuUsije kufananisha wahehe na wabena, anguko la wahehe inawezekana hawabebani kama wachaga, wahaya au wanyakyusa.
Nilichoona wahehe huwa wanabebana kifamilia ama ndugu wa karibu , sio kikabilaKuna kabila hapa nchini mmoja wao akiwa hata mkuu wa kituo tu kituo kizima kknajaa staff wa kabila hilo
Wahehe hawako hivyo na wako vizuri tu.
Kunywa ugimbi kwa sana(pombe ya ulanzi)!Ni moja ya kabila lililowahi kuwa na influence serikalini, jeshini, elimu, vyeo vizito, n.k.
Kwa sasa ile glory ya wahehe imeporomoka sana, Limekuwa kabila la kawaida sana, kilichibaki kuwatambulisha labda historia ya Mkwawa.
Nini kimepelekea hali hii ?
Na ilipaswa iwe hivyo kwa makabila yoteNilichoona wahehe huwa wanabebana kifamilia ama ndugu wa karibu , sio kikabila
Kuhusu kisingizio cha pombe bado ni hoja dhaifu, Kuna makabila kibao Afrika hata hapa Tz wanapiga pombe na wako fresh,Kunywa ugimbi kwa sana(pombe ya ulanzi)!
Yupo Chalamila ila mara nyingi mdomo wake hufanya kazi kabla ya akili.Hivi baada ya Lukuvi Kuna mhehe aliyebaki kwenye Baraza?
Hawataki stress vita ya Mkwawa na Wajerumani inawatosha!Kula ugimbi hadi kieleweke!Kuhusu kisingizio cha pombe bado ni hoja dhaifu, Kuna makabila kibao Afrika hata hapa Tz wanapiga pombe na wako fresh,
Mhadhiri huyo mkuu!Ugimbi huo sasa.Yupo Chalamila ila mara nyingi mdomo wake hufanya kazi kabla ya akili.
Mwengine yule DC mdomo ulimponza ...tuliza mata**