Wahenga mpooooo

Kuna watoto watakupigia nyeto kwa haya maneno wallah.....[emoji39] [emoji39] [emoji39]
 
Nipo naendelea kuwataza maana nakumbuka katika harakati za kuwatafutia hao fukufuku nahisi ujira wangu nitaupata sasa[emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji1] [emoji1] watoto wa siku hizi watajulia wapi michezo wakati wanachezea laptop na midori inayoongea[emoji1]
Sie tulichezea udongo,na mwanasesere wa vitambaa na makaratasi
 
Haha ile ya kupiga matiti ni ya ukweli.
Kijijini kwetu kama msichana anakua amewahi kuanza kuota maziwa wabibi wanayapiga na mwiko yanarudi ndani,au kuna wale wengine unakuta anaanza kuota maziwa lkn ile raundi ya nyonyo(sijui nielezeaje hapa)yani ule mduara unakua umetanuka mpk maeneo ya karbu na kwapa ivi,bas hao wabib watayapiga piga na mwiko mpaka yanarudi katikati
Hapa huo mwiko unakua unapashwa kwanza kwenye moto[emoji1] ila haupati joto sana usije ukakuunguza bure
 
Umenikumbusha kipichi hicho kulikuwa hakuna skintight mlikuwa mnavaa vibukta vya Kaki kama askari wa kikoloni , Masister zangu walikuwa wehu zaidi mana walikuwa wanatamani hadi makalio ya kue makubwa kwahiyo walikuwa wakiwang'atisha hadi makalioni ... Kweli watoto wakike huwaga wajanja mapema sana
 
Kumbe mpaka wanaume mlikuwa mnafanya huko kwenye naniliu
Mi nayajua madude flani hivi yapo kama bilinganya watoto wa kiume wanaobalehe wale walikua wanachagua limoja kweny maua yake wanalifunga kamba inakua inaning'inia,jinsi linavyoendelea kukua wanaamin na dushe inakua kufatana na lile lidude....tunaita limbambata[emoji1]
 
Fuku fuku toka mama yako kajaaa

Fuku fuku toka mama yako kajaaa

Kwann hujanitag[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]saiv manyonyo yamekuwa makubwa kusimama mpaka upige deki
Hahaha bora wewe,mi yani yamekua makubwa nikienda kununua sidiria sipati size yangu mpaka wakatafute stoo[emoji23]
Wanaume wakintongoza wananiuliza nna watoto wangapi,mwngine anauliza mwanao yuko wapi,mara mwingine mbona umemwacha mtoto nyumbn akitaka kunyonya unafanyaje[emoji23][emoji23]
Nikiwaambia sijazaa hawaamni,nimepanga nichonge kibao nikivae shingoni na maandishi "NYONYO LISIKUTISHE SIJAZAA BADO"
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…