Wahenga mpooooo

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sisi tulikuwa tunakama nzi kisha tunamdumbukiza humo. Lazima aliwe. Fukufuku noma sana
 
Hahahaahaha
Kweli zamani kulikuwa ni kutamu sana
Yaani Shunie umenikumbusha mbali sana
Kipindi hicho mnachecha kibaba na mama alafu unamwekea mwanamke wako maziwa yawe makubwa then unamtengenezea mdoli wa matambara na unaweka manyonyo ili mama (yaani mkeo)amnyonyeshe
Chini umevaa chachacha na chupi ya baba iliyoisha unashonewa na sindano hahahahahaaaaaaa
 
tupo sa hivi huyu mdudu wanamuweka kwenye makalio ... trust me i am a mhenga
 
Mi muhenga kweli kweli but nilikuwa naona dada zangu wakifanya hivyo b4 nifikie umri wa kutamani manyonyo tukahamia ushuani

Sent from my SM-N900 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…