Wahenga mpooooo

Sasa wewe mtoto wa masaki utawajulia wapi... vumbi unalionea kwenye garden tena hadi uombe ruhusa.
 
Sasa wewe mtoto wa masaki utawajulia wapi... vumbi unalionea kwenye garden tena hadi uombe ruhusa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]wapiiii!
Nimesoma sanawari primary school
Kwenye hii shule Kuna mito miwili,chora baruaaa na vichwa runguu wakutosha

Uwanja wa shule nao Ulikuwa vumbi tupu Ila ckuwai kuwaona hao wadudu Au Uku Arusha hawapo?
 

Teh... umesoma mwaka gani sanawari?

Kumbe nyie ndiyo mlikuwa mnafundisha klaree kucheza pale mtoni eeeh hadi anachelewa kurudi nyumbani?
 
Watu wanaangaika kutafuta vumbi la mkongo kuondoa bamia ... kwanini wasimtumie mdudu huyo aliyefanya vizuri na kutoa majibu kwa kukuza matiti ya wadada wa zamani (kamanyola) ili waondoe tatizo sugu la vibamia?
 
Hao wa mtoni minah wanafanaje me siwajui halaf minah we ni wa kishua ndio mana huwajui
 
Ahahahhhh umenikumbusha hiyo ya mwiko kupiga kwenye matiti
 
Kaz yangu mimi nilikuwa dalali wa fukufuku nikiwapata tu naanza kutafuta wa kumuwekea
Kama nakuona dalali kwenye kazi yake hivi lakini we si wa kishua hao fukufuku umewajulia wapi
 
Teh... umesoma mwaka gani sanawari?

Kumbe nyie ndiyo mlikuwa mnafundisha klaree kucheza pale mtoni eeeh hadi anachelewa kurudi nyumbani?
Kucheza mtoni raha jaman
Wakati wa likizo tukienda zamu shule ,Tulikuwa tunavua uniform tunafua ,wakati tunasubir zikauke tunajiekea wadudu Sasa

Bwy.. Nilimaliza 2006
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…