Daby
JF-Expert Member
- Oct 26, 2014
- 33,894
- 76,810
Sasa wewe mtoto wa masaki utawajulia wapi... vumbi unalionea kwenye garden tena hadi uombe ruhusa.Hawa cwafamu..
Mm na marafiki zangu tulikuwa tunaeka wale wadudu wa mtoni
Tulikuwa tunawaita chora baruaaa
Muda tunaenda kuchota maji ya kudekia ndo tunawachota na hao wadudu
Ila matiti yenyewe hayajakuaga makubwa wala nn
Tulikuwa tunadanganyana kwae