Njoo inibox na ela ya bando fastaWahenga wenzangu bila shaka kwa uwezo wa Mungu hamjambo kabisa! Wakuu naombeni msaaada kuna nyimbo nimetafuta kwa kuseach kila kona bila mafanikio kiukweli sijui ni bandi gani ziliimba hizo song ila nakumbuka baadhi ya maneno katika nyimbo hizo
1. Mama mdogo alinichukua kijijini, alimuahidi mama yangu mambo mengi yakwamba atanisomesha nakuyajali maisha yangu ya baadae.....
2.Marehemu aliusia msininyanyase....Watoto wamekuja juu wanataka nyumba yao
3. Kabwe rudi nyumbani ukitoka Gerezani...
Namba yangu ya WhatsApp 0 683 965 391
Natanguliza Shukrani
Nyimbo ya 1 vijana jazz 2 washirika tanzania stars 3 kimulimuliWahenga wenzangu bila shaka kwa uwezo wa Mungu hamjambo kabisa! Wakuu naombeni msaaada kuna nyimbo nimetafuta kwa kuseach kila kona bila mafanikio kiukweli sijui ni bandi gani ziliimba hizo song ila nakumbuka baadhi ya maneno katika nyimbo hizo
1. Mama mdogo alinichukua kijijini, alimuahidi mama yangu mambo mengi yakwamba atanisomesha nakuyajali maisha yangu ya baadae.....
2.Marehemu aliusia msininyanyase....Watoto wamekuja juu wanataka nyumba yao
3. Kabwe rudi nyumbani ukitoka Gerezani...
Namba yangu ya WhatsApp 0 683 965 391
Natanguliza Shukrani
tatizo hata ya bando hamchangii..tuwape madiniAise nimesearch band zinaonekana ila nyimbo hizo sijapata msaada mkuu nitumie WhatsApp 0 683 965 391 Asante
3. Kabwe rudi nyumbani ukitoka Gerezani