Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahaaChei chei shangazi ilinifundisha kila walipokuja shangazi zng ndo ulikuwa wimbo wangu wa kuwapokea
Sent using Jamii Forums mobile app
Sikumbuki....Alikuwa anaitwa Edda Sanga. Hivi yupo hai huyu mama? Mazungumzo baada ya habari acha kabisa. Nakumbuka karibu na uchaguzi wa 2000 yule baba mazungumzo yake yalijikita kuponda wapinzani
Sent using Jamii Forums mobile app
Na ile saut ya kitoto sasa nilikuwa na tune sauti mpaka mtaa wa tatu watasikia
Duh kaigizo kao kalikua kana bamba sana.sitaisahau pale jamaa walipomlogea mtoto wake baada ya kusikia kaenda ulaya.vp pwagu na pwaguz
Sent from my Android phone
Maneno hayo nadhani ndo mazungumzo baada ya habari kama kumbukumbu zangu ziko sawa
Ulikuwa bado katoto sio rahisi kukumbuka[emoji23] [emoji23]Sikumbuki....
Yeah ikifika saa sita kimyaa..mpaka alfajiri bwana sio alasiriHalafu Khantwe RTD zamani ilikuwa ikifika saa 6 unaskia
Mungu ibariki afrika
Mungu ibariki Tanzania.
Hadi kesho alasiri [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji41][emoji41]
Umenikumbusha nikiwa Mdogo sana siafu waliingia ndan tukatoka nje kuota moto hukunyumewasha radio kila inafika tu SAA sita mitambo ikazimwa watu tuna hasira ya siafu nikaonda ndugu zangu wakubwa wanalalamika so wangeweka mizk tu sasa tutakesha kweli mpaka asubuhi ikabid tuchukue kanda ya kwaya siikumbuk vizur ila ni wale wa arusha nyimbo zao za kubamba sana na hiyo ikawa holaa kumbe betri zimeisha radio ikawa inaimba pole pole ukipunguza saut inaimba vizur na hamsikii [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Halafu Khantwe RTD zamani ilikuwa haikeshi ilikuwa ikifika saa 6 unaskia
Mungu ibariki afrika
Mungu ibariki Tanzania.
Hadi kesho alasiri [emoji23][emoji23][emoji23]
Tumbuizo Asilia - Michael Katembo , Khalid Ponera baadae Malima NdelemaJamani kweli siku hazigandi. Nakumbuka enzi hizo hakuna utitiri wa redio stations ukitaka kusikiliza huna option kama kipindi kilichopo hukipendi uzime tu radio.
Hata mfumo wa vipindi ulikuwa tofauti sana na huu wa sasa...enzi hizo vipindi vililenga kutoa elimu zaidi kuliko burudani. Kama kipindi ni cha kutoa elimu kuhusu masuala ya umeme let's say, hakuna porojo ni elimu tu mwanzo mwisho.
Nakumbuka ilikuwa miaka ya tisini mwishoni hivi, kuna vipindi nilikuwa sipitwi kabisa hata kama nilikuwa kucheza muda huo ntafanya juu chini niwepo
Kulikuwa na vipindi vya watoto kimoja nilikuwa kinaitwa Mama na mwana kilikuwa kinarushwa jumamosi saa nane na nusu. Nilikuwa sipitwi kabisa....kulikuwa na hadithi zilikuwa zinasimuliwa naikumbuka moja tu ya Binti Chura.
Kuna kipindi kingine kilikuwa kinaitwa Twende na wakati ulikuwa mchezo wa kuigiza unarushwa kila jumamosi saa mbili na nusu usiku. Nilikuwa nafuatilia hatua kwa hatua maana ulikuwa haurudiwi ukipitwa ndo tuonane next episode.
Karibu mdau tukumbushane wewe ulikuwa unapenda vipindi gani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Haha, sasa sijui lengo la kuzima lilikuwa wafanyakazi wa kalale?Umenikumbusha nikiwa Mdogo sana siafu waliingia ndan tukatoka nje kuota moto hukunyumewasha radio kila inafika tu SAA sita mitambo ikazimwa watu tuna hasira ya siafu nikaonda ndugu zangu wakubwa wanalalamika so wangeweka mizk tu sasa tutakesha kweli mpaka asubuhi ikabid tuchukue kanda ya kwaya siikumbuk vizur ila ni wale wa arusha nyimbo zao za kubamba sana na hiyo ikawa holaa kumbe betri zimeisha radio ikawa inaimba pole pole ukipunguza saut inaimba vizur na hamsikii [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Sent using Jamii Forums mobile app
ha ha..mkoa kwa mkoa, ukulima wa kisasa, kuna ule mchezo wa kina Siti bin Kasri... yaani kweli gone are golden days