omereyo
JF-Expert Member
- Oct 20, 2012
- 308
- 91
Yaah kweli khante....akawa anajibadili anakuwa binadamu ila watoto wa karne ile walikuwa maboya wanadanganywa kirahisirahisi watoto wa sasa digitali mnoo
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaah kweli khante....akawa anajibadili anakuwa binadamu ila watoto wa karne ile walikuwa maboya wanadanganywa kirahisirahisi watoto wa sasa digitali mnoo
[emoji23] [emoji23] [emoji23] sema tulikuwa maboya...walikuwa akina nani? Hata siku hizi wanadanganywa tu sema uongo wa sasa upo kidigitali piaYaah kweli khante....akawa anajibadili anakuwa binadamu ila watoto wa karne ile walikuwa maboya wanadanganywa kirahisirahisi watoto wa sasa digitali mnoo
Sent using Jamii Forums mobile app
hapana ndo ilikuwa alert ya kwenda shule nikisikia tu hiko kipindi najua time tayarikipichi cha salam
Mkuu Mimi muhenga wa hajaKumbe na we ni Ancestor.
Kuna anayeyekumbuka radio zilikua zikifika saa 6 usiku zinazimwa?
Unaelewa maana ya tisini mwishoni? Yaani mwaka 1990 kuanzia miezi ya October November December upo ziwa?Yani hiyo miaka ya 90 mwishoni ndo ulikuwa mtoto? Haya nipe heshima yangu
Mimi kipindi cha majira ndo nilikuwa nakurupukahapana ndo ilikuwa alert ya kwenda shule nikisikia tu hiko kipindi najua time tayari
Hahah nyonyo si useme tu ulikuwa unamaanisha 98, 99 hivi, utapungukiwa nini kunipa heshima yangu?Unaelewa maana ya tisini mwishoni? Yaani mwaka 1990 kuanzia miezi ya October November December upo ziwa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwendraa af unajua utoto mpaka miaka 17. Ulivyo kapenda sifa unataka kutuambia hiyo miaka tayari ulikuwa unatumia topaz...sifa zitakuua nyonyoHahah nyonyo si useme tu ulikuwa unamaanisha 98, 99 hivi, utapungukiwa nini kunipa heshima yangu?
ila hujaitendea haki hiyo avatar, yani kula chumvi kote huko halafu avatar umeweka kigori hiko atleast ungemuweka bibi cheka
Unamfahamu huyo dada?ila hujaitendea haki hiyo avatar, yani kula chumvi kote huko halafu avatar umeweka kigori hiko atleast ungemuweka bibi cheka
Kipindi mahoka kinarushwa yaonekana ulikuwa aidha hujazaliwa au bado mdogo maana hivyo ni vipindi vya zamani zaidi kwako, je umewahi sikia PWAGU MA PWAGUZI au CLUB RAHA LEO SHOW!
Club raha Leo show nilikuwa nakisikia japo sikuwa nakisikiliza. Kwamba nilikuwa sijazaliwa hapana labda tulikuwa hatujamiliki redio bado[emoji23]Kipindi mahoka kinarushwa yaonekana ulikuwa aidha hujazaliwa au bado mdogo maana hivyo ni vipindi vya zamani zaidi kwako, je umewahi sikia PWAGU MA PWAGUZI au CLUB RAHA LEO SHOW!
Sent using Jamii Forums mobile app