Wahhab kundi lenye itikadi kali ndani ya uislamu

W

Wabongo ni shida. Badala kujiuliza sisi kama watanzania tunajivunia kwa lipi tuko busy kulinganisha sijui waarabu na wazungu. Ukienda huko kwao wala hawajali kama wewe ni muislam au mkristo, wao wanakuweka kwenye kundi la black african.
Bora uende kwa wazungu kuliko hao waarabu.
Pale Zanzibar ukila hadharan utashangaa mashekh wanakuja na mapanga, marungu na mafimbo kukupiga.
Uzunguni unapata haki hata kama ni black African na siyo hao waarabu. Mwaarabu hawezi kufungwa kwa kosa la kukuua wewe ila mzungu anafungwa
 
Hiyo Algebra mbona hao waarabu hawajatumia kutengeneza vitu au bidhaa?
Ni sawa na wewe hapo kulikuwa hakuna gari kabisa. Sasa wewe ukatengeneza gari ya udongo, mvua ikinyesha ina bomoka. Akatokea mwingine akatengeneza gari ambayo unayoijua sasa. Wewe ukabaki, kuwa mwanzilishi wa gari la udongo. Wewe gari lako la udongo limekusaidia nini?
Tuje kweny Algebra, waislamu wametumia Algebra kutengeneza nn?
Hao mnaowaita makafiri wakiamua leo wawakataze kutumia vitu au bidhaa zao, unafikiri wewe muislamu utabaki na nn hapo?
 
Waarabu (waislamu) hawana akili ya kuchimba mafuta. Hilo unalijua, wangekuwa wana akili leo hii duniani kungekuwa na hata na social media zimetengenezwa na waislamu (waarabu). Hivyo viwanda unavyosema, waislamu (waarabu) hawana akili ya kutengeneza mitambo ya kutengeneza nguo๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜
China kuna waislamu (idadi ndogo) kwahiyo hawana akili ya kutengeneza bidhaa zenye akili.
Waarabu (waislamu) wanaakili
1. Kutumia sharia
2. Kutengeneza tende
3. Kusoma Quran na kuitunza
4. Kukuita wewe kafiri hata kukua kutetea dini ya kiislamu
5. Kufundisha elimu ya madrasa
6. Kuchimba kisima cha kujitawazia
7. Kutengeneza mkojo wa ngamia
8. Kuhiji Macca
9. Kuamka saa 9 kula daku
Ukitaka kujua kuwa waislamu (waarabu) hawana akili, hapo ulipo usitumie bidhaa au vitu vilivyotengenezwa kwenye nchi za makafiri. Tuone utabakiwa na nini tena ikiwezekana vitupe anza sasa hivi๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€
 
Tukiacha uwongo na tukasema ukweli wakiristo walio wengi ni wadini Sana kutoka moyoni mwao wanawachukia waislam bila sababu

Waislam ni wakarim sana ukiacha kitabu chao ambacho kina sheria Kali na makatazo mengi lakini chuki kwa dini nyingine ni ndogo ukilinganisha na wakiristo ukifuatilia comments za humu utajua

Narudia kusema dini ni mfumo wa kijamaa ambao unaweza kutekelezwa kwenye jamii inayouamini mfumo huo otherwise ni Vita
 
Uislamu unapigwa Vita na makundi mengi kulingana na sheria zake mfano

Mnzinzi apigwe mawe hadi afe

Mwizi akatwe mkono

Aliritadi/kutoka katika uislam auliwe

Jihad/kupigana na wapinga dini hasa wale walioanzisha Vita dhidi ya waislam

Mavazi ya stara kwa mwanamke kama kujifunika mwili wote kasoro viganja vya mikono na vitanga vya miguu na uso

Haram kunywa pombe, kula nguruwe, miziki na ala zake, riba, kusengenya, uongo na pumbao nyingine

Makundi yanayopinga sheria za uislam ni kama vile

Wakiristo na dini zote za kiyahudi

Waislam majina waliolewa pumbao za dunia na uzinzi

Serikali, hii ni kwakuwa uislam ni mfumo wenye katiba maalum(Quran) ya kiutawala inayotofautiana kabisa na ya serikali

Narudia kusema dini ni mfumo wa kijamaa ambao unaweza kutekelezwa kwenye jamii inayouamini mfumo huo otherwise ni Vita
 
Kwanini walioshika dini ya kiislam wanaitwa magaidi jibu ni kuwa,,,,,,,,,;

Uislamu ni mfumo wa kiutawala wenye katiba na muongozo wa kujitawala(Qur'an) ambayo kwa ujumla wake inatofautiana kabisha na katiba ya nchi( katiba ya wanadam) kimuundo na kiutendaji

Mfumo huo hukinzana na mifumo ya dini nyingine na mifumo ya kiserikali kimuundo na kiutendaji

Hivyo kujaribu kuitekeleza katiba ya kiislam kwenye nchi yenye katiba tofauti na Qur'an ni sawa na kufanya mapinduzi au uhaini

Narudia kusema dini ni mfumo wa kijamaa ambao unaweza kutekelezwa kwenye jamii inayouamini mfumo huo otherwise ni Vita
 
Una bwabwaja tu....tende inalimwa juha wewee haitengenezwi,tafuta pesa uenda ukafanya utalii Brunei achana na apo Dubai afu uje ulete pumba zako.

Au Google Tu Brune.

Afu apo ulipo ukute umekamata kopo la maji mzalishaji huyohuyo muislam au umeshindia mkate wa mzee Barkhresa...
 
Umecopy na kupastee mzee Baba....hutaki ata kuumiza kichwa,wa bongo bhna

Hizo sifa unazosema za wahab ndo sifa za kila muislam anatakiwa awe nazo...

Nyongeza mashia sio waislam
Kweli hapo kwenye kuzuru makaburi na kuombea Maiti kwa Muislam haifai kabisa, SHIRKI hiyo.
 
Uislam ni ushirikina mtupu tu
 

Tatizo unafikiri hizo nchi zote za kiarabu na kiislamu hawatengenezi chochote, Hata Tanzania tunatengeneza vitu vingi tunawauzia huko ulaya na Marekani
 
Uislam ni ushirikina mtupu tu
Jamaa mbishi ushirikina mkubwa ni kusema Yesu , mtu aliyezaliwa na binadamu na kula na kunya kama wewe kuwa ni Mungu.

hivi wewe jamaa mbishi nikikuita Nguruwe utafurahi ??? na utaona ni sawa??

na ndio maana Mwenyezi mungu akasema kuwa anaweza kukusamehe makosa yote isipokuwa hilo kosa la kumshirikisha na kiumbe anayekunya
 
Unafikiri huko Ulaya hao wanaovumbuwa wengi ni nani ?? Tatizo hujaenda university za huko Ulaya na Marekani ukaona Professors wengi ni nani ??Waislamu na waarabu
 
Umecopy na kupastee mzee Baba....hutaki ata kuumiza kichwa,wa bongo bhna

Hizo sifa unazosema za wahab ndo sifa za kila muislam anatakiwa awe nazo...

Nyongeza mashia sio waislam
Toa hoja na dalili kuwa Mashia sio waislam ila wahhabi ndio
 
Historia nzuri
 
Nitajie Sehemu nyingine ambapo wasunni na hao washia wanauana tofauti na uarabuni huko
 
Mafuta na tende!
 
Magalatia nyie ni wehu matendo ya waarabu baadhi na ujinga wao ndio mnayaunganisha na dini yetu pendwa, tuko 2billioni hao waarabu na fujo zao hawazidi milioni 300. Iweje wawe kioo cha watu 1.8b? hapo either nyie wagalatia mmechizi au ujinga tu uliowajaa na kushadadia msoyajua na kujivika ujuaji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ