Unafiki ni sumu,mtu Kam wew unakuta familia yako ni walamba AsaliTupo kitaa na ni majobless.
Wanaongelea manufaa kwa taifa wewe unaongelea faida binafsi! Eti umesoma vipaji; duh!Mimi nilisoma Tabora boys advanced level leo hii naona umuhimu mkubwa wa kusoma shule za vipaji maana nilipata kazi kirahisi sana baada ya mwajiri wangu kuona kuwa nimesoma hiyo shule.
Nami nimesoma Tabora girls aka Warsaw advanced level na sikusota mtaani after graduation,nikapiga interview leo hii niko govt naisaidia serikali yangu kukusanya mapato 🙏Mimi nilisoma Tabora boys advanced level leo hii naona umuhimu mkubwa wa kusoma shule za vipaji maana nilipata kazi kirahisi sana baada ya mwajiri wangu kuona kuwa nimesoma hiyo shule.
Mimi na Alumni wenzangu ninao wajua..almost 90% yetu ndo tuko vizuri kimaisha na tumefanya mambo mengi kulisaidia Taifa.Wadau, kuna shule ambazo serikali kwa utashi wake ilizitambua na kupeleka wanafunzi ambao inaamini ni vipaji maalum kiakili, mfano, Ilboru, Tabora school(boys and girls), Kibaha, Mzumbe, Kilakala na Msalato.
Lengo lilikuwa kuwatumia watu hawa katika kujenga taifa, je, wanaomaliza/waliomaliza shule hizi wanatambulikaje katika jamii? Wanathaminiwaje? Wapo wapi?
Acha sifa wewe umelitendea nini hiii taifa,,km sio mwalimu hakuna ulicholitendea hili taifaMimi na Alumni wenzangu ninao wajua..almost 90% yetu ndo tuko vizuri kimaisha na tumefanya mambo mengi kulisaidia Taifa.
Binafsi naona Taifa lilitutendea haki nasi tumerudisha kwa Taifa.
Tunajitahidi kadri ya uwezo na vipaji vyetu japo kuna mazingira ambayo siyo rafiki. Tumezungukwa na vilaza wengi ambao wao kazi yao ni kupenda pesa bila kujali output na outcome .
Appreciate waliokuzidi uwezo wakati Fulani hiyo kuwa na hasira na chuki zidi yao haikusaidii kituZilikuwa sifa za kijinga tuuu. , Unaona kuwa unasoma ilboru , weru weru eti ya vipanga kumbe sifa tuuu za kisenge ,
kama hivi hiv vyuoni tumekutana , supplementary kama zote tumezipata ...now ni jobless era....
Hence. Sifa za kijinga tuu. Tofauti ilikuwa ni Serikali kuwekeza resources nyingi kwenye hizo shule...............na kuwekeza kiduchu shule hizu tulizosomaaa.....
Huoni hata kazi anayofanya tu manufaa kwa taifa bila kujali private au public officeWanaongelea manufaa kwa taifa wewe unaongelea faida binafsi! Eti umesoma vipaji; duh!
Kumbe wewe Ni mwoso. Haya bana usikute nilishakubambia kwenye disco Basi humu mtandaoni hatufahamiani. Berlin Wall ,umemaliza mwaka ganiNami nimesoma Tabora girls aka Warsaw advanced level na sikusota mtaani after graduation,nikapiga interview leo hii niko govt naisaidia serikali yangu kukusanya mapato 🙏
Kama wameajiriwa utajuaje.Wadau, kuna shule ambazo serikali kwa utashi wake ilizitambua na kupeleka wanafunzi ambao inaamini ni vipaji maalum kiakili, mfano, Ilboru, Tabora school(boys and girls), Kibaha, Mzumbe, Kilakala na Msalato.
Lengo lilikuwa kuwatumia watu hawa katika kujenga taifa, je, wanaomaliza/waliomaliza shule hizi wanatambulikaje katika jamii? Wanathaminiwaje? Wapo wapi?