Wahitimu shule za vipaji maalum

Wahitimu shule za vipaji maalum

Huu ni wivu kwa vipanga... Kwani waliosoma kata adi saiv wamevumbua nini zaidi ya ule uzi wa kula tunda kimasihara..?
Kuna jamaa namjua amesoma shule za kata,hakuwahi kumuona mwalimu physics toka form 1 hadi form 4,hakuwahi kwenda tuition,ila kwa sasa ana masters anafundisha chuo kikuu,kichwani yuko njema unaweza kujua amesoma hizi za vipaji.
Naamini wale jamaa wanaoitwa vipaji maalumu hawana chochote zaidi ya kukariri,watuambie wana vipaji gani hapa?,
 
Shule yangu ya Pugu secondary imechangia maendeleo ya nchi kama ifuatavyo:
1. Imetoa rais mkapa wa awamu ya tatu, ambaye alifanikiwa kuleta mapinduzi makubwa ya kiuchumi na kimfumo
2. Imetoa waziri Pinda
3.Imetoa spika wa bunge la JMT MH. Pius Msekwa
4. Kwa awamu hii, imetoa waziri wa maji, mh.Uwesu, anapiga kazi sana
5.Pugu sekondari ipo jimbo la ukonga, hivyo hata mbunge wa sasa Mh.Slaa ametokana na shule ya Pugu
Inaendelea..........

Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
Sawa, sio shule ya vipaji maalum lakini.
 
Kuna jamaa namjua amesoma shule za kata,hakuwahi kumuona mwalimu physics toka form 1 hadi form 4,hakuwahi kwenda tuition,ila kwa sasa ana masters anafundisha chuo kikuu,kichwani yuko njema unaweza kujua amesoma hizi za vipaji.
Naamini wale jamaa wanaoitwa vipaji maalumu hawana chochote zaidi ya kukariri,watuambie wana vipaji gani hapa?,
Unaweza kukariri pure mathematics? Mechanics? Embu kuwa serious kidogo and show appreciation when it's due.
 
Unaweza kukariri pure mathematics? Mechanics? Embu kuwa serious kidogo and show appreciation when it's due.
Mkuu kama wameelewa kwa ajili ya kufanyia kazi maishani wapi niende nikawaone?,unadhani tofauti na kukariri wakajibu mtihani wapate As wanonekane wana akili hao jamaa wana nini cha ziada?
Ubaya kipimo cha akili au hicho kinaitwa kipaji maalumu kwetu ni kujibu mtihani tu,kama sivyo naomba uniambie wawili wenye vipaji viitwavyo maalumu tuvione hapa.
 
Zilikuwa sifa za kijinga tuuu. , Unaona kuwa unasoma ilboru , weru weru eti ya vipanga kumbe sifa tuuu za kisenge ,

kama hivi hiv vyuoni tumekutana , supplementary kama zote tumezipata ...now ni jobless era....



Hence. Sifa za kijinga tuu. Tofauti ilikuwa ni Serikali kuwekeza resources nyingi kwenye hizo shule...............na kuwekeza kiduchu shule hizu tulizosomaaa.....
Nakuona Division 0
 
Nipo hapa na A's zangu kwenye vyeti sina hata bodaboda [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ilboru Alumni wenzangu sijui wako wapi.

Tupo mtaani bab. Mwana Ilboru mwenzangu. Sema nimekumbuka neno KITEI[emoji23][emoji23]
 
HEBU TUWEKE REKODI VIZURI,HAKUNA SHULE ZA VIPAJI MAALUM NCHI HII ILA KUNA SHULE ZA UFAULU WA JUU.
UNAPOZUNGUMZIA SHULE YA VIPAJI MAALUM HICHO NI KITU KINGINE KQBISA,KUMBUKA UFAULU WA JUU SIYO VIPAJI MAALUM SABABU MTU ANAWEZA KUWA ANA UFAULU WA JUU ILA HANA KIPAO MAALUM
 
HEBU TUWEKE REKODI VIZURI,HAKUNA SHULE ZA VIPAJI MAALUM NCHI HII ILA KUNA SHULE ZA UFAULU WA JUU.
UNAPOZUNGUMZIA SHULE YA VIPAJI MAALUM HICHO NI KITU KINGINE KQBISA,KUMBUKA UFAULU WA JUU SIYO VIPAJI MAALUM SABABU MTU ANAWEZA KUWA ANA UFAULU WA JUU ILA HANA KIPAO MAALUM
Kweli,ila ukweli huu utakataliwa na wengi.
 
Wadau, kuna shule ambazo serikali kwa utashi wake ilizitambua na kupeleka wanafunzi ambao inaamini ni vipaji maalum kiakili, mfano, Ilboru, Tabora school(boys and girls), Kibaha, Mzumbe, Kilakala na Msalato.

Lengo lilikuwa kuwatumia watu hawa katika kujenga taifa, je, wanaomaliza/waliomaliza shule hizi wanatambulikaje katika jamii? Wanathaminiwaje? Wapo wapi?
hakuna cha shule ya vipaji maalum nikuwavimbisha tu vichwa wazazi
 
Zipo zinatambulika kisheria na ata barua za admission zinasema hivyo.
HEBU TUWEKE REKODI VIZURI,HAKUNA SHULE ZA VIPAJI MAALUM NCHI HII ILA KUNA SHULE ZA UFAULU WA JUU.
UNAPOZUNGUMZIA SHULE YA VIPAJI MAALUM HICHO NI KITU KINGINE KQBISA,KUMBUKA UFAULU WA JUU SIYO VIPAJI MAALUM SABABU MTU ANAWEZA KUWA ANA UFAULU WA JUU ILA HANA KIPAO MAALUM
 
Nikiwa UDBS nilikuwa na marafiki zangu wawilli kutoka Kibaha na mshikaji wao mwingine alikuwa anapiga Petroleum Engineering CoET wale jamaa walikuwa wakali sana sio tu kukariri pia wepesi wa kuelewa mambo.

Mimi na wanangu wengine wawili ilipokuwa inatokea tukiwa peke yetu bila washikaji wa Kibaha tulikuwa tunakiri na kuwa-appreciate aisee!

Hata GPA zao hazidanganyi
 
Back
Top Bottom