Asalamaleko
JF-Expert Member
- May 10, 2015
- 2,699
- 7,726
Mimi ni graduate na sijapewa urithi wowote na sipitii msoto
Ni ujinga mtu kukaa Mtaani unavizia ajira uchwara za kibongo
Alafu hivi inakuwaje?
Yani kijana ana maliza chuo hata akili ya kujitegemea au kupanga geto aanze kupambana hamna?
Yani mtu anamaliza chuo kisha anarudi kwa baba na mama kuvizia ugali?
.
Mbona sisi enzi zetu ukimaliza tu darasa la saba unasepa, mpaka wazazi wanakuwa hawajui umepotelea wapi!
Hiki kizazi ni cha vipi?
Kabisa ila ukikaa vzr unaoa.Mim ninachoweza kushauri hasa vijana wenzangu wa kiume kama hujapata mwelekeo USIOE. Maana unaweza kuwa sawa na mtumbwi kubeba shehena nzito na ukaishia kuzama na kuangamiza vyote plus wenyew.
Bora uelee peke yako hata ukichekwa poa, kikubwa unasurvive.
Miaka 22 nimeshatimka home toka kijijini huko nipo zangu town napambana na maishaMiaka 22 mimi nilikuwa formone wewe ulikuwa wapy 😅Sasa kama nimeachiwa vitu vya urithi why nihame home
Basi nzuri hii kama ni kweli maana mtu anamaliza chuo na iphone 16 ila mfukoni ana zero balanceHi
Hiyo ya biashara kufundshwa kama hisabat/GS imeanza mwaka jana.
Dah kmmkeEheee, watakula walipopeleka bikra.
Miaka 22 nimeshatimka home toka kijijini huko nipo zangu town napambana na maisha
Dah, we mtu!!!!Bora huyu angalau mkono umenawiri kiasi kuna wengine ukiwaona utalia
Unawapa stress waolewe na wasiowapenda halafu watendwe waanzwe kufoka 'Wanaume ni Mbwa'. Dadas msiingie ktk huu mtego wa umri kwenda. Pata chaguo lako kwa wakati wako.Sasa mdada miaka 10 toka umalize chuo hujaolewa jamani....hili mie naoma ndio tatizo kubwa zaidi.
Jamani kataa ndoa evu walegezeeni wanawake wanataabika huku.
Waoeni muwatunze
Hapana kutuita mbwa hakutupunguzii kitu chochote masculine yetu bado iko pale paleUnawapa stress waolewe na wasiowapenda halafu watendwe waanzwe kufoka 'Wanaume ni Mbwa'. Dadas msiingie ktk huu mtego wa umri kwenda. Pata chaguo lako kwa wakati wako.
Acha waolewe na machaguo yao kwa wakati wao. Hujui tu wanavyonung'unika wanapozinduka baada na ndoa za pressure za umri kuwa mkubwaHapana kutuita mbwa hakutupunguzii kitu chochote masculine yetu bado iko pale pale
Siwezi oa mtu mwenye 27 plusAcha waolewe na machaguo yao kwa wakati wao. Hujui tu wanavyonung'unika wanapozinduka baada na ndoa za pressure za umri kuwa mkubwa
Kupanga ni kuchaguaSiwezi oa mtu mwenye 27 plus
Pastor wewe Huyu ni degree holder, Dar suits kamaliza ifm mwaka 2019/2020Hamisa mobetto, hajasoma, diamond hajalithishwa mali, alikiba zero kabisa.
Juma nature, aslay watoto wa mtaani, pale insta kuna kina godlove chief, kuna kina kevin kabenje, wakina dar suit, wakina niffer zeerrroooo kabisa. Madam realtipher, sijui sachque, kuna wakina doctor toyota, kina dicksound zeroooo kabisaaaa.
Wakina masanja, wakina Dale, wakina mwamposa, wakina tony kapola zerrrooooo kabisaaaaa.
Wapo wakina tuerny, wakina solita chachara, wakina nasra noti, wapo malaya sasa uwiii.
Wote hawa labda tuerny mama yake yuko fiti ila ni mahustlers, hawakuachiwa kitu.
Nipo mimi old money mzee alifariki niko mtupu compared na sass ila aliniacha mpambanaji winga kkoo, ila si haba, madogo wamesoma, wana maisha, na niko mara 30 alivyoniacha mzeee.
Tupambane wanangu.
Na sijaandika dar suit ni dropout soma vizuri zero nimewataja katika makundi ya degree holder, masanja ana hold, sachque ana masters tena ya UK, Tuerny degree holder dsj, mimi degree holder wa mzumbe humu tu nimefuga na kufanya biashara ya nguruwe, kevin kibenje mentor ila ni degree holder wa masomo ya biashara, ila wapo zeroes, nipher, real tipher, hamisa, diamond kwenye list yangu, nimeongelea kwamba kila mtu anatokea na mazingira yake, si wazazi tu, tupambane. Au elimu.Pastor wewe Huyu ni degree holder, Dar suits kamaliza ifm mwaka 2019/2020
Lakini what's is your key point mzee
Hiy sample yako ndio Ina justify kwamba Tanzania nzima madrop out wametusua kuliko sisi tuliopiga kitabu?
Haya🤔 Umemaliza matusi yako utakuwa na busha kichwani bwana mdogo sio bora huna hoja una comment utoko kutoka kichwani mwako mchicha mwiba weweNa sijaandika dar suit ni dropout soma vizuri zero nimewataja katika makundi ya degree holder, masanja ana hold, sachque ana masters tena ya UK, Tuerny degree holder dsj, mimi degree holder wa mzumbe humu tu nimefuga na kufanya biashara ya nguruwe, kevin kibenje mentor ila ni degree holder wa masomo ya biashara, ila wapo zeroes, nipher, real tipher, hamisa, diamond kwenye list yangu, nimeongelea kwamba kila mtu anatokea na mazingira yake, si wazazi tu, tupambane. Au elimu.
Sasa endelea kukaza shingo, kwasababu unawajua waume zako, ukiona jina unataka kujifanya unawajua sana unatoka kwenye mada, sikueleweshi tena next time nakutukana hapa hapa uncircumcised baboon, soma uelewe