Wahubiri mnaohubiri fungu la kumi nilishawaambia na torati yote ya Musa muifuate!

Wahubiri mnaohubiri fungu la kumi nilishawaambia na torati yote ya Musa muifuate!

raslimali

JF-Expert Member
Joined
Nov 4, 2014
Posts
1,958
Reaction score
1,744
Nimekaa mahali hapa kuna redio ya kanisa moja la Arusha inanguruma. Kama kawaida ya hawa wahubiri mada kuu ni utoaji.

Nilishasema habari za fungu la kumi si mafundisho ya kikristo. Hata hao wayahudi waliopewa agizo hilo wana mfumo tofauti kabisa wa utoaji tofauti na haya mafundisho ya matapeli wa imani.

Kwa mfano kuna mwaka wa Sabato ( sabbatical year) ambapo fungu la kumi halitolewi maana ardhi ya Israeli ilitakiwa kupumzishwa mwaka huo na kwa sababu fungu la kumi lilitakiwa kutokana na mazao yaliyopatikana katika ardhi basi mwaka huo hakuna myahudi alitoa fungu la kumi.

Haya yanafundisha kuwaibia watu kila uchwao. Basi wafuate torati ya Musa. Wanasema pale Kalvari yote yalikwisha lakini agizo la fungu la kumi wamelikumbatia bado.

Hakuna fundisho hilo kwenye maandiko ya agano jipya.
 
Fungu la kumi lilikuwepo kabla ya Torati ya Mussa.

Mwanzo 14
18 Na Melkizedeki mfalme wa Salemu akaleta mkate na divai, naye alikuwa kuhani wa Mungu Aliye juu sana.

19 Akambariki, akasema, Abramu na abarikiwe na Mungu Aliye juu sana, Muumba mbingu na nchi.

20 Ahimidiwe Mungu Aliye juu sana, aliyewatia adui zako mikononi mwako. Abramu akampa fungu la kumi la vitu vyote.

Yakobo naye alitoa fungu la kumi na hii ni kabla ya Torati.

Mwanzo 28
22 Na jiwe hili nililolisimamisha kama nguzo litakuwa nyumba ya Mungu; na katika kila utakalonipa hakika nitakutolea wewe sehemu ya kumi.

Katika Agano jipya Paulo anasisitiza kuhusu kutoa kwa makuhani wa Injili na akisisitizia kuwa Ibrahimu alimpa fungu la Kumi Melkizedeki

Waebrania 7
2 ambaye Ibrahimu alimgawia sehemu ya kumi ya vitu vyote; (tafsiri ya jina lake kwanza ni mfalme wa haki, tena, mfalme wa Salemu, maana yake, mfalme wa amani;

Hao wote hawakutoa fungu la kumi kwa sheria kwani kipindi hiko sheria haikuwepo walikuwa katika kioondi cha dhamiri. Dhamiri zao ziliongozwa kwa upendo wa Mungu walimtolea Mungu fungu la kumi.

Hata sasa hatutoi fungu la kumi kwa kufuata torati ila tunatoa kwa Upendo wetu kwa Mungu.

NASHAURI: Nyie vijana mjitahidi kuwa wanyenyekevu kwenye utumishi Mungu anaowapa. Acheni ujuaji kwani mambo mengi hamjui.
 
1736526351549.png
 
Sasa hapa Mpumbavu si wewe. Fungu la kumi lilikuwepo kabla ya Torati ya Mussa. Fungu la kumi lilianza kwa Ibrahimu we mwehu.

Mwanzo 14
18 Na Melkizedeki mfalme wa Salemu akaleta mkate na divai, naye alikuwa kuhani wa Mungu Aliye juu sana.

19 Akambariki, akasema, Abramu na abarikiwe na Mungu Aliye juu sana, Muumba mbingu na nchi.

20 Ahimidiwe Mungu Aliye juu sana, aliyewatia adui zako mikononi mwako. Abramu akampa fungu la kumi la vitu vyote.

Yakobo naye alitoa fungu la kumi na hii ni kabla ya Torati.

Mwanzo 28
22 Na jiwe hili nililolisimamisha kama nguzo litakuwa nyumba ya Mungu; na katika kila utakalonipa hakika nitakutolea wewe sehemu ya kumi.

Katika Agano jipya Paulo anasisitiza kuhusu kutoa kwa makuhani wa Injili na akisisitizia kuwa Ibrahimu alimpa fungu la Kumi Melkizedeki

Waebrania 7
2 ambaye Ibrahimu alimgawia sehemu ya kumi ya vitu vyote; (tafsiri ya jina lake kwanza ni mfalme wa haki, tena, mfalme wa Salemu, maana yake, mfalme wa amani;

Hao wote hawakutoa fungu la kumi kwa sheria kwani kipindi hiko sheria haikuwepo walikuwa katika kioondi cha dhamiri. Dhamiri zao ziliongozwa kwa upendo wa Mungu walimtolea Mungu fungu la kumi.

Hata sasa hatutoi fungu la kumi kwa kufuata torati ila tunatoa kwa Upendo wetu kwa Mungu.

NASHAURI: Nyie vijana mjitahidi kuwa wanyenyekevu kwenye utumishi Mungu anaowapa. Acheni ujuaji kwani mambo mengi hamjui.
Hilo la Ibrahimu lilikuwa agizo au amri ya Mungu?? What a nonsense are you talking about?
 
Sasa hapa Mpumbavu si wewe. Fungu la kumi lilikuwepo kabla ya Torati ya Mussa. Fungu la kumi lilianza kwa Ibrahimu we mwehu.

Mwanzo 14
18 Na Melkizedeki mfalme wa Salemu akaleta mkate na divai, naye alikuwa kuhani wa Mungu Aliye juu sana.

19 Akambariki, akasema, Abramu na abarikiwe na Mungu Aliye juu sana, Muumba mbingu na nchi.

20 Ahimidiwe Mungu Aliye juu sana, aliyewatia adui zako mikononi mwako. Abramu akampa fungu la kumi la vitu vyote.

Yakobo naye alitoa fungu la kumi na hii ni kabla ya Torati.

Mwanzo 28
22 Na jiwe hili nililolisimamisha kama nguzo litakuwa nyumba ya Mungu; na katika kila utakalonipa hakika nitakutolea wewe sehemu ya kumi.

Katika Agano jipya Paulo anasisitiza kuhusu kutoa kwa makuhani wa Injili na akisisitizia kuwa Ibrahimu alimpa fungu la Kumi Melkizedeki

Waebrania 7
2 ambaye Ibrahimu alimgawia sehemu ya kumi ya vitu vyote; (tafsiri ya jina lake kwanza ni mfalme wa haki, tena, mfalme wa Salemu, maana yake, mfalme wa amani;

Hao wote hawakutoa fungu la kumi kwa sheria kwani kipindi hiko sheria haikuwepo walikuwa katika kioondi cha dhamiri. Dhamiri zao ziliongozwa kwa upendo wa Mungu walimtolea Mungu fungu la kumi.

Hata sasa hatutoi fungu la kumi kwa kufuata torati ila tunatoa kwa Upendo wetu kwa Mungu.

NASHAURI: Nyie vijana mjitahidi kuwa wanyenyekevu kwenye utumishi Mungu anaowapa. Acheni ujuaji kwani mambo mengi hamjui.
Kwa hiyo dhamiri ya Ibrahim au Yakobo sasa unaifanya kuwa sheria??
 
What if nikisema nitatoa fungu la pili kulingana na dhamiri yangu?
 
Sasa hapa Mpumbavu si wewe. Fungu la kumi lilikuwepo kabla ya Torati ya Mussa. Fungu la kumi lilianza kwa Ibrahimu we mwehu.

Mwanzo 14
18 Na Melkizedeki mfalme wa Salemu akaleta mkate na divai, naye alikuwa kuhani wa Mungu Aliye juu sana.

19 Akambariki, akasema, Abramu na abarikiwe na Mungu Aliye juu sana, Muumba mbingu na nchi.

20 Ahimidiwe Mungu Aliye juu sana, aliyewatia adui zako mikononi mwako. Abramu akampa fungu la kumi la vitu vyote.

Yakobo naye alitoa fungu la kumi na hii ni kabla ya Torati.

Mwanzo 28
22 Na jiwe hili nililolisimamisha kama nguzo litakuwa nyumba ya Mungu; na katika kila utakalonipa hakika nitakutolea wewe sehemu ya kumi.

Katika Agano jipya Paulo anasisitiza kuhusu kutoa kwa makuhani wa Injili na akisisitizia kuwa Ibrahimu alimpa fungu la Kumi Melkizedeki

Waebrania 7
2 ambaye Ibrahimu alimgawia sehemu ya kumi ya vitu vyote; (tafsiri ya jina lake kwanza ni mfalme wa haki, tena, mfalme wa Salemu, maana yake, mfalme wa amani;

Hao wote hawakutoa fungu la kumi kwa sheria kwani kipindi hiko sheria haikuwepo walikuwa katika kioondi cha dhamiri. Dhamiri zao ziliongozwa kwa upendo wa Mungu walimtolea Mungu fungu la kumi.

Hata sasa hatutoi fungu la kumi kwa kufuata torati ila tunatoa kwa Upendo wetu kwa Mungu.

NASHAURI: Nyie vijana mjitahidi kuwa wanyenyekevu kwenye utumishi Mungu anaowapa. Acheni ujuaji kwani mambo mengi hamjui.
Nikikuuliza Melkizedeki ni nani utanijibu??
 
Sasa hapa Mpumbavu si wewe. Fungu la kumi lilikuwepo kabla ya Torati ya Mussa. Fungu la kumi lilianza kwa Ibrahimu we mwehu.

Mwanzo 14
18 Na Melkizedeki mfalme wa Salemu akaleta mkate na divai, naye alikuwa kuhani wa Mungu Aliye juu sana.

19 Akambariki, akasema, Abramu na abarikiwe na Mungu Aliye juu sana, Muumba mbingu na nchi.

20 Ahimidiwe Mungu Aliye juu sana, aliyewatia adui zako mikononi mwako. Abramu akampa fungu la kumi la vitu vyote.

Yakobo naye alitoa fungu la kumi na hii ni kabla ya Torati.

Mwanzo 28
22 Na jiwe hili nililolisimamisha kama nguzo litakuwa nyumba ya Mungu; na katika kila utakalonipa hakika nitakutolea wewe sehemu ya kumi.

Katika Agano jipya Paulo anasisitiza kuhusu kutoa kwa makuhani wa Injili na akisisitizia kuwa Ibrahimu alimpa fungu la Kumi Melkizedeki

Waebrania 7
2 ambaye Ibrahimu alimgawia sehemu ya kumi ya vitu vyote; (tafsiri ya jina lake kwanza ni mfalme wa haki, tena, mfalme wa Salemu, maana yake, mfalme wa amani;

Hao wote hawakutoa fungu la kumi kwa sheria kwani kipindi hiko sheria haikuwepo walikuwa katika kioondi cha dhamiri. Dhamiri zao ziliongozwa kwa upendo wa Mungu walimtolea Mungu fungu la kumi.

Hata sasa hatutoi fungu la kumi kwa kufuata torati ila tunatoa kwa Upendo wetu kwa Mungu.

NASHAURI: Nyie vijana mjitahidi kuwa wanyenyekevu kwenye utumishi Mungu anaowapa. Acheni ujuaji kwani mambo mengi hamjui.

Nimekupata hapo mwisho kwamba sadaka ya fungu la kumi inatolewa kama shukrani kwa mungu ila si kama torati.Mungu ametupa vingi ukisema utoe fungu la kumi kama kumlipa Mungu kodi/commision utakuwa huwezi. Hebu imagine,muda uliopewa hewa uliyopewa,watoto uliopewa vyote hivi ingebidi utoe 10% yake
 
Nimekupata hapo mwisho kwamba sadaka ya fungu la kumi inatolewa kama shukrani kwa mungu ila si kama torati.Mungu ametupa vingi ukisema utoe fungu la kumi kama kumlipa Mungu kodi/commision utakuwa huwezi. Hebu imagine,muda uliopewa hewa uliyopewa,watoto uliopewa vyote hivi ingebidi utoe 10% yake
Wao ten percent wanataka pesa yako tu. Hayo ya hewa, muda n.k hayana manufaa kwao. Wanakazia pale ambapo wana maslahi binafsi kwa kukupumbaza kwamba unamtolea Mungu.
 
Fungu la kumi lilikuwepo kabla ya Torati ya Mussa. Fungu la kumi lilianza kwa Ibrahimu

Mwanzo 14
18 Na Melkizedeki mfalme wa Salemu akaleta mkate na divai, naye alikuwa kuhani wa Mungu Aliye juu sana.

19 Akambariki, akasema, Abramu na abarikiwe na Mungu Aliye juu sana, Muumba mbingu na nchi.

20 Ahimidiwe Mungu Aliye juu sana, aliyewatia adui zako mikononi mwako. Abramu akampa fungu la kumi la vitu vyote.

Yakobo naye alitoa fungu la kumi na hii ni kabla ya Torati.

Mwanzo 28
22 Na jiwe hili nililolisimamisha kama nguzo litakuwa nyumba ya Mungu; na katika kila utakalonipa hakika nitakutolea wewe sehemu ya kumi.

Katika Agano jipya Paulo anasisitiza kuhusu kutoa kwa makuhani wa Injili na akisisitizia kuwa Ibrahimu alimpa fungu la Kumi Melkizedeki

Waebrania 7
2 ambaye Ibrahimu alimgawia sehemu ya kumi ya vitu vyote; (tafsiri ya jina lake kwanza ni mfalme wa haki, tena, mfalme wa Salemu, maana yake, mfalme wa amani;

Hao wote hawakutoa fungu la kumi kwa sheria kwani kipindi hiko sheria haikuwepo walikuwa katika kioondi cha dhamiri. Dhamiri zao ziliongozwa kwa upendo wa Mungu walimtolea Mungu fungu la kumi.

Hata sasa hatutoi fungu la kumi kwa kufuata torati ila tunatoa kwa Upendo wetu kwa Mungu.

NASHAURI: Nyie vijana mjitahidi kuwa wanyenyekevu kwenye utumishi Mungu anaowapa. Acheni ujuaji kwani mambo mengi hamjui.
Umesema vema kwamba lilikuwa suala la dhamiri lakini wewe mwenyewe ni shahidi jinsi siku hizi matapeli wanavyoleta vifungu vya biblia kukazia fungu la kumi. Wanaongea mpaka povu zinawatoka mdomoni simply kwa sababu fungu lile linaingia mifukoni mwao. Ukweli huu huwezi kuupinga.
 
Wacha kukuche. Huu utapeli lazima ukome. Wenzetu weupe wametuliza akili zao huwezi kuwapelekea huu upumbavu. Sisi tunatafuta majibu rahisi kwa maswali magumu. Tunapitwa kwenye nyanja za teknolojia tumebaki kujipaka mafuta ya upako, kunywa maji ya upako, kula keki za upako,kutoa mafungu ya kumi na mlolongo wa sadaka na matoleo lakini ndio tupo nyuma kabisa katika maendeleo duniani. So hopeless 😔
 
Maisha haya aisee...kwa Mungu 10%, Serikali 18%. Yani Kila ukiamka unadaiwa 28% ya unachotafuta...bado PAYEe
 
Sasa hapa Mpumbavu si wewe. Fungu la kumi lilikuwepo kabla ya Torati ya Mussa. Fungu la kumi lilianza kwa Ibrahimu we mwehu.

Mwanzo 14
18 Na Melkizedeki mfalme wa Salemu akaleta mkate na divai, naye alikuwa kuhani wa Mungu Aliye juu sana.

19 Akambariki, akasema, Abramu na abarikiwe na Mungu Aliye juu sana, Muumba mbingu na nchi.

20 Ahimidiwe Mungu Aliye juu sana, aliyewatia adui zako mikononi mwako. Abramu akampa fungu la kumi la vitu vyote.

Yakobo naye alitoa fungu la kumi na hii ni kabla ya Torati.

Mwanzo 28
22 Na jiwe hili nililolisimamisha kama nguzo litakuwa nyumba ya Mungu; na katika kila utakalonipa hakika nitakutolea wewe sehemu ya kumi.

Katika Agano jipya Paulo anasisitiza kuhusu kutoa kwa makuhani wa Injili na akisisitizia kuwa Ibrahimu alimpa fungu la Kumi Melkizedeki

Waebrania 7
2 ambaye Ibrahimu alimgawia sehemu ya kumi ya vitu vyote; (tafsiri ya jina lake kwanza ni mfalme wa haki, tena, mfalme wa Salemu, maana yake, mfalme wa amani;

Hao wote hawakutoa fungu la kumi kwa sheria kwani kipindi hiko sheria haikuwepo walikuwa katika kioondi cha dhamiri. Dhamiri zao ziliongozwa kwa upendo wa Mungu walimtolea Mungu fungu la kumi.

Hata sasa hatutoi fungu la kumi kwa kufuata torati ila tunatoa kwa Upendo wetu kwa Mungu.

NASHAURI: Nyie vijana mjitahidi kuwa wanyenyekevu kwenye utumishi Mungu anaowapa. Acheni ujuaji kwani mambo mengi hamjui.
Asante Sana kwa ufafanuzi...
 
Back
Top Bottom