Wahubiri mnaohubiri fungu la kumi nilishawaambia na torati yote ya Musa muifuate!

Wahubiri mnaohubiri fungu la kumi nilishawaambia na torati yote ya Musa muifuate!

Fungu la kumi lilikuwepo kabla ya Torati ya Mussa.

Mwanzo 14
18 Na Melkizedeki mfalme wa Salemu akaleta mkate na divai, naye alikuwa kuhani wa Mungu Aliye juu sana.

19 Akambariki, akasema, Abramu na abarikiwe na Mungu Aliye juu sana, Muumba mbingu na nchi.

20 Ahimidiwe Mungu Aliye juu sana, aliyewatia adui zako mikononi mwako. Abramu akampa fungu la kumi la vitu vyote.

Yakobo naye alitoa fungu la kumi na hii ni kabla ya Torati.

Mwanzo 28
22 Na jiwe hili nililolisimamisha kama nguzo litakuwa nyumba ya Mungu; na katika kila utakalonipa hakika nitakutolea wewe sehemu ya kumi.

Katika Agano jipya Paulo anasisitiza kuhusu kutoa kwa makuhani wa Injili na akisisitizia kuwa Ibrahimu alimpa fungu la Kumi Melkizedeki

Waebrania 7
2 ambaye Ibrahimu alimgawia sehemu ya kumi ya vitu vyote; (tafsiri ya jina lake kwanza ni mfalme wa haki, tena, mfalme wa Salemu, maana yake, mfalme wa amani;

Hao wote hawakutoa fungu la kumi kwa sheria kwani kipindi hiko sheria haikuwepo walikuwa katika kioondi cha dhamiri. Dhamiri zao ziliongozwa kwa upendo wa Mungu walimtolea Mungu fungu la kumi.

Hata sasa hatutoi fungu la kumi kwa kufuata torati ila tunatoa kwa Upendo wetu kwa Mungu.

NASHAURI: Nyie vijana mjitahidi kuwa wanyenyekevu kwenye utumishi Mungu anaowapa. Acheni ujuaji kwani mambo mengi hamjui.

Fungu la kumi wanapewa Makuhani.

Siku hizi kuna makuhani?

Kulingana na Sheria za Dini hasa kama ulivyonukuu Biblia, embu Tupe sifa kuu Tatu za Mambo au masharti ya mtu kuwa Kuhani.
Ili watu wajue hizo Zaka(fungu la kumi) wanatoa sehemu sahihi au Laa.

Nasifikiri unajua Biblia yote sio Sheria. Hivyo vifungu utakavyonukuu utatoa Aya za Sheria
 
Fungu la kumi lilikuwepo kabla ya Torati ya Mussa.

Mwanzo 14
18 Na Melkizedeki mfalme wa Salemu akaleta mkate na divai, naye alikuwa kuhani wa Mungu Aliye juu sana.

19 Akambariki, akasema, Abramu na abarikiwe na Mungu Aliye juu sana, Muumba mbingu na nchi.

20 Ahimidiwe Mungu Aliye juu sana, aliyewatia adui zako mikononi mwako. Abramu akampa fungu la kumi la vitu vyote.

Yakobo naye alitoa fungu la kumi na hii ni kabla ya Torati.

Mwanzo 28
22 Na jiwe hili nililolisimamisha kama nguzo litakuwa nyumba ya Mungu; na katika kila utakalonipa hakika nitakutolea wewe sehemu ya kumi.

Katika Agano jipya Paulo anasisitiza kuhusu kutoa kwa makuhani wa Injili na akisisitizia kuwa Ibrahimu alimpa fungu la Kumi Melkizedeki

Waebrania 7
2 ambaye Ibrahimu alimgawia sehemu ya kumi ya vitu vyote; (tafsiri ya jina lake kwanza ni mfalme wa haki, tena, mfalme wa Salemu, maana yake, mfalme wa amani;

Hao wote hawakutoa fungu la kumi kwa sheria kwani kipindi hiko sheria haikuwepo walikuwa katika kioondi cha dhamiri. Dhamiri zao ziliongozwa kwa upendo wa Mungu walimtolea Mungu fungu la kumi.

Hata sasa hatutoi fungu la kumi kwa kufuata torati ila tunatoa kwa Upendo wetu kwa Mungu.

NASHAURI: Nyie vijana mjitahidi kuwa wanyenyekevu kwenye utumishi Mungu anaowapa. Acheni ujuaji kwani mambo mengi hamjui.
Sheria ilikuwepo Tangu mwanzo ndio maana Adamu na eva aliambiwa utakula matunda yote walakini mti huu usile. Ile ni sheria tiyari na ndio maana walipoivunja ikasebika wamekosea (agizo) hivyo siyo kwamba sheria ilikuwapo mwanzo tu hata huko ilikoanzia dhambi mbinguni (uasi) pasipo sheria wangejua vipi kuasi ni dhambi?
 
Fungu la kumi lilikuwepo kabla ya Torati ya Mussa.

Mwanzo 14
18 Na Melkizedeki mfalme wa Salemu akaleta mkate na divai, naye alikuwa kuhani wa Mungu Aliye juu sana.

19 Akambariki, akasema, Abramu na abarikiwe na Mungu Aliye juu sana, Muumba mbingu na nchi.

20 Ahimidiwe Mungu Aliye juu sana, aliyewatia adui zako mikononi mwako. Abramu akampa fungu la kumi la vitu vyote.

Yakobo naye alitoa fungu la kumi na hii ni kabla ya Torati.

Mwanzo 28
22 Na jiwe hili nililolisimamisha kama nguzo litakuwa nyumba ya Mungu; na katika kila utakalonipa hakika nitakutolea wewe sehemu ya kumi.

Katika Agano jipya Paulo anasisitiza kuhusu kutoa kwa makuhani wa Injili na akisisitizia kuwa Ibrahimu alimpa fungu la Kumi Melkizedeki

Waebrania 7
2 ambaye Ibrahimu alimgawia sehemu ya kumi ya vitu vyote; (tafsiri ya jina lake kwanza ni mfalme wa haki, tena, mfalme wa Salemu, maana yake, mfalme wa amani;

Hao wote hawakutoa fungu la kumi kwa sheria kwani kipindi hiko sheria haikuwepo walikuwa katika kioondi cha dhamiri. Dhamiri zao ziliongozwa kwa upendo wa Mungu walimtolea Mungu fungu la kumi.

Hata sasa hatutoi fungu la kumi kwa kufuata torati ila tunatoa kwa Upendo wetu kwa Mungu.

NASHAURI: Nyie vijana mjitahidi kuwa wanyenyekevu kwenye utumishi Mungu anaowapa. Acheni ujuaji kwani mambo mengi hamjui.
Mkuu ukikaa ukatafakari vyema utaona wazi fungu la kumi lilikuwa special kwa makuhani wale waliokuwa wanajihusisha na kazi za hekaluni tu. hawa hwakuwa na nashamba wala nje ya hekula ndio maana walikuwa wanapewa hii zaka.

japo umesema tangu mwanzo walitoa ndio walitoa yakobo alitoa kwa nani hilo fungu la kumi?

Hawa wachunhaji wa leo wana mashamba wanafuga wengine wana viwanda. ikitpkea anahitaji gari tunamchangia gari ikiharibika tunachanga linatengenezwa watoto wao wanasoma bure kwa kwenye shule za makanisa wa kwetu hela inahusika. Zaidi ya yote wana mishahara minono!
 
Watu wengi sana hawaufahamu Ukristo au Maisha ya Wokovu na wameishia kuishi kwa mazoea tu. Wakristo Waprotestanti wanafikiri Wakatoliki ndio wanaoishi mapokeo. Ukweli ni kwamba afadhali hao Wakatoliki kwani kidogo wanatumia akili zao na wanafahamu, hapa ni mapekeo tu, pale ni Maandiko ya Agano la Kale, hapa ni Agano Jipya na yote hayo yameandikwaje na katika muktadha gani na tafsiri yake ni ipi.

Wakristo wa Kiprotestant huishi zaidi mapokeo ya Kibiblia bila hata kujua. Kwa mfano Waprotestant wengi hufikiri kuwa Waisraeli wa leo ndio Taifa Teule la Mungu! Pia hufikiri kuwa zaka ni hitaji la Mungu au ni jambo la lazima wakati huu wa Agano Jipya. Kifupi ni kwamba Wakristo wengi hawajui kiini cha Mafundisho ya Kristo na huchanganya mapokeo ya makabila ya Agano la Kale na Mafundisho Yesu Kristo ya Agano Jipya ambayo Ukristo wetu umejengwa juu yake.
Nimekaa mahali hapa kuna redio ya kanisa moja la Arusha inanguruma. Kama kawaida ya hawa wahubiri mada kuu ni utoaji.

Nilishasema habari za fungu la kumi si mafundisho ya kikristo. Hata hao wayahudi waliopewa agizo hilo wana mfumo tofauti kabisa wa utoaji tofauti na haya mafundisho ya matapeli wa imani.

Kwa mfano kuna mwaka wa Sabato ( sabbatical year) ambapo fungu la kumi halitolewi maana ardhi ya Israeli ilitakiwa kupumzishwa mwaka huo na kwa sababu fungu la kumi lilitakiwa kutokana na mazao yaliyopatikana katika ardhi basi mwaka huo hakuna myahudi alitoa fungu la kumi.

Haya yanafundisha kuwaibia watu kila uchwao. Basi wafuate torati ya Musa. Wanasema pale Kalvari yote yalikwisha lakini agizo la fungu la kumi wamelikumbatia bado.

Hakuna fundisho hilo kwenye maandiko ya agano jipya.

Fungu la kumi lilikuwepo kabla ya Torati ya Mussa.

Mwanzo 14
18 Na Melkizedeki mfalme wa Salemu akaleta mkate na divai, naye alikuwa kuhani wa Mungu Aliye juu sana.

19 Akambariki, akasema, Abramu na abarikiwe na Mungu Aliye juu sana, Muumba mbingu na nchi.

20 Ahimidiwe Mungu Aliye juu sana, aliyewatia adui zako mikononi mwako. Abramu akampa fungu la kumi la vitu vyote.

Yakobo naye alitoa fungu la kumi na hii ni kabla ya Torati.

Mwanzo 28
22 Na jiwe hili nililolisimamisha kama nguzo litakuwa nyumba ya Mungu; na katika kila utakalonipa hakika nitakutolea wewe sehemu ya kumi.

Katika Agano jipya Paulo anasisitiza kuhusu kutoa kwa makuhani wa Injili na akisisitizia kuwa Ibrahimu alimpa fungu la Kumi Melkizedeki

Waebrania 7
2 ambaye Ibrahimu alimgawia sehemu ya kumi ya vitu vyote; (tafsiri ya jina lake kwanza ni mfalme wa haki, tena, mfalme wa Salemu, maana yake, mfalme wa amani;

Hao wote hawakutoa fungu la kumi kwa sheria kwani kipindi hiko sheria haikuwepo walikuwa katika kioondi cha dhamiri. Dhamiri zao ziliongozwa kwa upendo wa Mungu walimtolea Mungu fungu la kumi.

Hata sasa hatutoi fungu la kumi kwa kufuata torati ila tunatoa kwa Upendo wetu kwa Mungu.

NASHAURI: Nyie vijana mjitahidi kuwa wanyenyekevu kwenye utumishi Mungu anaowapa. Acheni ujuaji kwani mambo mengi hamjui.

Nimekupata hapo mwisho kwamba sadaka ya fungu la kumi inatolewa kama shukrani kwa mungu ila si kama torati.Mungu ametupa vingi ukisema utoe fungu la kumi kama kumlipa Mungu kodi/commision utakuwa huwezi. Hebu imagine,muda uliopewa hewa uliyopewa,watoto uliopewa vyote hivi ingebidi utoe 10% yake

Swali zuri sana!

Asante Sana kwa ufafanuzi...

Sasa injili itasongaje mbele bila fungu la kumi.
 
Nimekaa mahali hapa kuna redio ya kanisa moja la Arusha inanguruma. Kama kawaida ya hawa wahubiri mada kuu ni utoaji.

Nilishasema habari za fungu la kumi si mafundisho ya kikristo. Hata hao wayahudi waliopewa agizo hilo wana mfumo tofauti kabisa wa utoaji tofauti na haya mafundisho ya matapeli wa imani.

Kwa mfano kuna mwaka wa Sabato ( sabbatical year) ambapo fungu la kumi halitolewi maana ardhi ya Israeli ilitakiwa kupumzishwa mwaka huo na kwa sababu fungu la kumi lilitakiwa kutokana na mazao yaliyopatikana katika ardhi basi mwaka huo hakuna myahudi alitoa fungu la kumi.

Haya yanafundisha kuwaibia watu kila uchwao. Basi wafuate torati ya Musa. Wanasema pale Kalvari yote yalikwisha lakini agizo la fungu la kumi wamelikumbatia bado.

Hakuna fundisho hilo kwenye maandiko ya agano jipya.
mwamposa na Kuhani Musa watakuua.

Ishu kubwa ni kuwa Wakristo hawasomi kitabu chao
 
Watu wengi sana hawaufahamu Ukristo au Maisha ya Wokovu na wameishia kuishi kwa mazoea tu. Wakristo Waprotestanti wanafikiri Wakatoliki ndio wanaoishi mapokeo. Ukweli ni kwamba afadhali hao Wakatoliki kwani kidogo wanatumia akili zao na wanafahamu, hapa ni mapekeo tu, pale ni Maandiko ya Agano la Kale, hapa ni Agano Jipya na yote hayo yameandikwaje na katika muktadha gani na tafsiri yake ni ipi.

Wakristo wa Kiprotestant huishi zaidi mapokeo ya Kibiblia bila hata kujua. Kwa mfano Waprotestant wengi hufikiri kuwa Waisraeli wa leo ndio Taifa Teule la Mungu! Pia hufikiri kuwa zaka ni hitaji la Mungu au ni jambo la lazima wakati huu wa Agano Jipya. Kifupi ni kwamba Wakristo wengi hawajui kiini cha Mafundisho ya Kristo na huchanganya mapokeo ya makabila ya Agano la Kale na Mafundisho Yesu Kristo ya Agano Jipya ambayo Ukristo wetu umejengwa juu yake.
Kama ndio hivi basi mngelifuta Agano la kale kwenye Biblia zenu.
 
Hivi Kaini na Habil waliamriwa kutoa ile sehemu ya vinono vya au walijisikia moyoni kutoa tena kwa kuteketeza bila kumpa mtu chochote?

Utoaji Ni Muhimu. Kumrudishia Mungu kwa Kuwasaidia Wajane, Yatima na wasiojiweza, Wenye Majanga mbalimbali , misiba n.k...

Ile ya kutoa kwa Lazima haikubaliki.

Imeandikwa "Chukua sehemu ya kumi ya mali yako kisha tafuta sehemu nzuri utakayopendezwa nayo uende ukaile huko na kufurahia mema ya Mungu."
 
Hoja nzito sana hii tegemea za uso nyingi kutoka Kwa wanaonena kwa lugha za mbinguni.
 
Kama ndio hivi basi mngelifuta Agano la kale kwenye Biblia zenu.
Halifutwi kamwe kwani linasimulizi ambazo ukamilifu wake upo Agano Jipya. Aondoa la kwanza ile apate kusimamisha la pili...Wakristo hawalazimiki kufuata Agano la Kale isipokuwa tu yale yaliyo ya msingi (kiini) cha maisha ya Mkristo au binadamu yeyote anayeishi vyema kama vile UPENDO.
 
Hivi Kaini na Habil waliamriwa kutoa ile sehemu ya vinono vya au walijisikia moyoni kutoa tena kwa kuteketeza bila kumpa mtu chochote?

Utoaji Ni Muhimu. Kumrudishia Mungu kwa Kuwasaidia Wajane, Yatima na wasiojiweza, Wenye Majanga mbalimbali , misiba n.k...

Ile ya kutoa kwa Lazima haikubaliki.

Imeandikwa "Chukua sehemu ya kumi ya mali yako kisha tafuta sehemu nzuri utakayopendezwa nayo uende ukaile huko na kufurahia mema ya Mungu."
Tangu mwaka 1990 nilipokuwa darasa la 4 nilipoanza kusoma biblia hadi sasa sijawahi kuraba na hiko kifungu mkuu. 😀😃😀😀
 
Nimekaa mahali hapa kuna redio ya kanisa moja la Arusha inanguruma. Kama kawaida ya hawa wahubiri mada kuu ni utoaji.

Nilishasema habari za fungu la kumi si mafundisho ya kikristo. Hata hao wayahudi waliopewa agizo hilo wana mfumo tofauti kabisa wa utoaji tofauti na haya mafundisho ya matapeli wa imani.

Kwa mfano kuna mwaka wa Sabato ( sabbatical year) ambapo fungu la kumi halitolewi maana ardhi ya Israeli ilitakiwa kupumzishwa mwaka huo na kwa sababu fungu la kumi lilitakiwa kutokana na mazao yaliyopatikana katika ardhi basi mwaka huo hakuna myahudi alitoa fungu la kumi.

Haya yanafundisha kuwaibia watu kila uchwao. Basi wafuate torati ya Musa. Wanasema pale Kalvari yote yalikwisha lakini agizo la fungu la kumi wamelikumbatia bado.

Hakuna fundisho hilo kwenye maandiko ya agano jipya.
Kuna watu wanaponea humo
 
Fungu la kumi wanapewa Makuhani.

Siku hizi kuna makuhani?

Kulingana na Sheria za Dini hasa kama ulivyonukuu Biblia, embu Tupe sifa kuu Tatu za Mambo au masharti ya mtu kuwa Kuhani.
Ili watu wajue hizo Zaka(fungu la kumi) wanatoa sehemu sahihi au Laa.

Nasifikiri unajua Biblia yote sio Sheria. Hivyo vifungu utakavyonukuu utatoa Aya za Sheria
Naomba unambie Yakobo alitoa kwa kuhani gani.?

Katika Biblia imeandikwa Fungu la Kumi si kwa ajili ya Watumishi au makuhani peke yake.

Fungu la kumi ni kwa ajili ya watoto yatima au wajane, au wageni nyumbani kwako, au makuhani.

Jambo jingine tunatakiwa kufahamu kuwa Fungu la 10 limekuwepo hata kabla ya Sheria ile aliyopewa Musa.

Maisha ya Ibrahimu ambayo kwa lugha nyepesi twaweza sema yalikuwa katika mfumo wa neema hayana tofauti na Sasa maana aliishi kwa imani tu kama vile inavotupasa sisi tunaomani sasa katika Yesu kristo kuishi hivo.

Fungu la kumi ni kama ahsante kwa Mungu na ndo maana ukimsoma vizuri Ibrahimu utoaji wake wa Fungu la 10 ulijikita zaidi kumoa Mungu shukrani na utukufu kwa namna ambavyo yuko na haikujikita katika Sheria.

Asaiv kuna watu wengi tu ambao hawatoi 10% wengi wanatoa zaidi ya hiyo na wengine hawatoi kabisa.

Tukumbuke kuwa Torati ya Musa ni kivuli cha yale mambo yaliyoko ndani ya neema.
 
Nimekupata hapo mwisho kwamba sadaka ya fungu la kumi inatolewa kama shukrani kwa mungu ila si kama torati.Mungu ametupa vingi ukisema utoe fungu la kumi kama kumlipa Mungu kodi/commision utakuwa huwezi. Hebu imagine,muda uliopewa hewa uliyopewa,
Hewa ipo na ilikuwepo umepewa kivipi? and kuwa na uelewa if your born as living thing unastahili kupata haki zote kilazima na sio uzaliwe kisha ukose vitu muhimu ni uonevu.. Issue za kutoa sadaka, n.k kwa wasiostahili ni upumbavu.. Mungu anashida na vihela vyako for reason? elezea kwanza tuelewe purpose na kama huna jibu ni utaperi huo... kitabu cha Mwanzo Cain na Abel walikuwa wanatoa sadaka ya wanyama cain akaona isiwe taabu wacha God ale mboga mboga nae Sadaka ikakataliwa ya Abel minofu ya nyama ikakubaliwa... something fishy is goin on katika issue za Sadaka kwa my opinion Sadaka ni wizi uliohalalishwa na wezi wakubwa wanaojivika ngozi za kondoo.
watoto uliopewa vyote hivi ingebidi utoe 10% yake
Hii nayo mpya tena iingizwe kwenye Bible kama updated Bible
 
Asante Sana kwa ufafanuzi...
Ufafanuzi au mataputapu mtu anasema Fungu la kumi lilianza kabla ya Torati and analeta ushahidi wa hiyo hiyo Torati eti lilianza kwa ibrahim ukisoma Torati Ibrahimu yupo ndani ya Torati tena baadae sana after Nuhu. at least angesema Fungu la kimu lilianzia Mbinguni angekuwa sawa Mwayego
 
Wakristo hawapo chini ya agano la kale ...na hakuna popote mkristo anatakiwa atoe fungu la kumi..
Ukisikia mtu anakuambia fungu la 10 ni takwa kwa mkristo SIO KWELI
 
Back
Top Bottom