Siku Moja baada ya ibada,tukaitwa vijana kikao eti tuanzishe mfuko wa kumuwezesha mchungaji mafuta ya gari na safari anazozifanya... Mimi nikawauliza,gari mlimchangia( Mimi sikuchanga), na mafuta Tena? Je yeye Hana shughuli yyte ya kumuingizia pesa? Nikashauri tu kuwe vianzishwe vyanzi vya mapato hapo kanisani lakini sio kuchangia,walinichukia...sijui wanaendeleaje huko,maana nilikaa nao mbali nikarudi Catholic kwangu.Kwakweli hapana
Ndio maana idadi ya wachungaji imekuwa kubwa sana Kuna mkaka nimesoma nae sahiz kaanza kuwa mchungaji kanenepa huyoππSiku Moja baada ya ibada,tukaitwa vijana kikao eti tuanzishe mfuko wa kumuwezesha mchungaji mafuta ya gari na safari anazozifanya... Mimi nikawauliza,gari mlimchangia( Mimi sikuchanga), na mafuta Tena? Je yeye Hana shughuli yyte ya kumuingizia pesa? Nikashauri tu kuwe vianzishwe vyanzi vya mapato hapo kanisani lakini sio kuchangia,walinichukia...sijui wanaendeleaje huko,maana nilikaa nao mbali nikarudi Catholic kwangu.
Na wala hatuoni mahali pengine tena Ibrahimu akitoa fungu la kumi zaidi ya hapo alipokutana na mfalme wa Salemu (Melkizedeki na Salemu ni somo jingine linahitaji uzi wake).Yakobo Biblia haijawahi kumwonyesha akitoa fungu la kumi. Ila maandiko yanaonyesha akiahidi kuwa atatoa fungu la kumi.
Ibrahim alitoa fungu la kumi kwa Kuhani Melkizedeki
Kama unaandiko linaloonyesha mtu yeyote akitoa fungus la kumi la Mungu kwa mtu Nje ya Kuhani unaweza kuonyesha
Mchungaji ambaye kila siku anakula kondoo wake ataachaje kunenepa??Ndio maana idadi ya wachungaji imekuwa kubwa sana Kuna mkaka nimesoma nae sahiz kaanza kuwa mchungaji kanenepa huyoππ
Hatari Sana,Mimi ni mtoaji kwa watu wenye uhitaji nikiwa nacho,natoa sana.ila kwa hawa wa kuja na majaba kukusanya pesa za watu,hapana kabisa kabisa.Ndio maana idadi ya wachungaji imekuwa kubwa sana Kuna mkaka nimesoma nae sahiz kaanza kuwa mchungaji kanenepa huyoππ
Yaani mtu anaangalia huko na huko afanye mishe gani anatengeneza zizi (kanisa) halafu anaita kondoo (waumini) kwa maneno matamu then wakiingia anaanza kuwatafuna ( kuvuna pesa zao) πNdio maana idadi ya wachungaji imekuwa kubwa sana Kuna mkaka nimesoma nae sahiz kaanza kuwa mchungaji kanenepa huyoππ
Wewe umejielewa. Ila wajinga wapo wengi mpaka inahuzunishaHatari Sana,Mimi ni mtoaji kwa watu wenye uhitaji nikiwa nacho,natoa sana.ila kwa hawa wa kuja na majaba kukusanya pesa za watu,hapana kabisa kabisa.
Niliona clip yake anasema mkanyage shetani watu nao wanashangilia wanakanyaga chin Kwa kishindo nilicheka sana ila maisha π€£π€£Yaani mtu anaangalia huko na huko afanye mishe gani anatengeneza zizi (kanisa) halafu anaita kondoo (waumini) kwa maneno matamu then wakiingia anaanza kuwatafuna ( kuvuna pesa zao) π
Nilisikia watu wanalalamika kuhus kufatwa kuuliza et kwann hutoi sadaka au kwann unatoka sadaka ndogo kanisa flan huko kijijin kwetu πππHatari Sana,Mimi ni mtoaji kwa watu wenye uhitaji nikiwa nacho,natoa sana.ila kwa hawa wa kuja na majaba kukusanya pesa za watu,hapana kabisa kabisa.
Afya ya akili ni tatizo kubwa sana hapa kwetu. Watu wameleweshwa kwa mihadarati ya imani na huwaambii kitu. Wamekuwa makondoo ya kuchinjwa na kuliwa tu.Niliona clip yake anasema mkanyage shetani watu nao wanashangilia wanakanyaga chin Kwa kishindo nilicheka sana ila maisha π€£π€£
Ha haha,aisee ...Sasa sadaka si ni Siri ya mtu,ila walivo na tamaa nowdays wameweka vyombo vya sadaka ambavyo havifichi unachotoa,kinaonekana tu kuwa yule katoa buku leo.na vijijini Kuna tabia unamkuta watu hawalimi mashamba yao vzr,wanaenda mlimia mchungaji kadri ya mashamba aliyonayo,mbegu wanachangishana,na wanamvunia na sadaka church kama Kawa.Nilisikia watu wanalalamika kuhus kufatwa kuuliza et kwann hutoi sadaka au kwann unatoka sadaka ndogo kanisa flan huko kijijin kwetu πππ
Duh aiseeHa haha,aisee ...Sasa sadaka si ni Siri ya mtu,ila walivo na tamaa nowdays wameweka vyombo vya sadaka ambavyo havifichi unachotoa,kinaonekana tu kuwa yule katoa buku leo.na vijijini Kuna tabia unamkuta watu hawalimi mashamba yao vzr,wanaenda mlimia mchungaji kadri ya mashamba aliyonayo,mbegu wanachangishana,na wanamvunia na sadaka church kama Kawa.
Ukristo umetokana na Uyahudi hivyo baadhi ya mafundisho hayapishaniAgano la kale na agano jipya ni imani mbili tofauti. Najua wapo watabisha lakini kwa mtu aliyesoma maandiko hatlya katika lugha mama (kiebrania, kiaramayo na kigiriki) na kufanya Analysis ya kutosha atagundua inconsistency nyingi tu .
Kwa dunia ya sasa ambayo kila kitu ni pesa ngumu kujitolea kwa vyoteKujitolea tu kama Yesu