Wahubiri wangu wa mfano Tanzania

Uko sahihi. Lakini pia kuna inshu ya Paulo anasema tumfuate kama anavyomfuata kristo. Maana yake mtu akiacha kumfuata kristo tumuache pia. Wapo wengi walioanza vyema na kumaliza vibaya so hapo na sisi tuache ukristo kwa kuwa kiongozi wetu ameacha hapana. Ramani yetu mi biblia. Na alama yetu ni Yesu.
 
William Marrion Branham ndo no 1 kwangu.
Hata Uebert Angel anakiri kwamba Branham hakua mtu wa kawaida.
Huyu mwamba sana. Ingawa nilisikia kama alipata jaribu moja zito sana. Nafkiri nilisoma sehemu kama vile kifo cha mtoto au mke. Alikuwa anaombea watu waliokufa wanafufuka. Ila alivyokufa mmoja kati ya hao niliowataja hakuweza kumfufua. Aliomba sana na kufunga lakini wapi.
 

Katika hao wote mwalimu wako ni nani?
 
Jina la Yesu linawatajirisha watu.
Na wanatajirika haswa sio mchezo na wewe tumia jina la Yesu ujenge hekalu lako, uwe na domo tu la kubwabwaja na ujue kumeza vifungu vya Bibilia namaanisha Bibi Lia basi umewashika
 
Dr Myles Munroe (of blessed memory), kwangu he is the best of all times. Huyu jamaa ni viwango vya tofauti sana.

Kisha kuna Dr Mensah Otabil, Sam Adeyemi, TD Jakes, Creflo Dollar, Bishop David Oyedepo, Prophet Uebert Angel and Pastor Chris Oyakhilome.

Kuna hawa sio waalimu sana lakini ni fire kwelikweli: Pastor EA Adeboye, Johnson Suleiman, Joshua Selman na Dr Paul Enenche.

Tanzania ni Mwalimu Christopher Mwakasege.
 

Kuna kichwa kinaitwa Felician Makarios Phos ni hatari sana. Shule yake lazima uwe na akili timamu ndio utaelewa. Bibilia inawekwa wazi kama juanla mchana, hakuna mafumbo wala giza.

I highly recommend this man.

Ana channel yako telegram inaitwa Kainosmedia

Pitia hapo utanishukuru sana baadae
 
Kama wote hao unawasikiza unatoa wapi muda wa kufanya kazi mkuu? Sina Nia mbaya
Mimi namfahamu mark Finley (Nje)
Mwakasege Tz
David mbaga Tx sda hasa kwenye afya huyu jamaa namkubali sana.
 
Jazia nyama kidogo tujifunze alichojibu
 
huyo Uebert Angel, umepotea. mwalimu wenu pia ni mhubiri mzuri ila huwa hajui hata anachohubiri kwasababu hajawahi kuexperience wokovu wa kweli. the same kwa kimaro. mwenye kuelewa ameelewa.
Mwl Mwakasege hajaexperience wokovu, are you kidding?
 
Msikilize Msikilize Emmanuel Makandiwa
 
hao hawana tofauti na waganga wa kienyeji. waganga wa kienyeji wamekuwa wakifanya hayo miaka nenda rudi.
Tena kwa kuongezea mganga wa kienyeji pia anaeza tabiria mtu mpaka mtoto jinsia yake mtu atakaejifungua na huyo mtoto wanajua atakuja na baraka gani..very interesting...

Mungu atusaidie sana kujua hawa manabii wanaoibuka kama uyoga..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…