Wahubiri wangu wa mfano Tanzania

Wahubiri wangu wa mfano Tanzania

Uebert Angel alinijibu swali ambalo niliwauliza watalaamu wa theologia wakatoa majibu ambayo sijawahi kuridhika ,huyu mwamba alifundisha "the origin of God ".Toka nikiwa mdogo nilikuwa nauliza Mungu alitoka wapi na anakaa wapi.Huyu mwamba alijibu haya maswali mawili nikanyanyua mikono juu .

Uliwauliza wachungaji gani?
 
Kuna mtu humu ananihoji Yesu Kristo ndio nani. Halafu hapo hapo anadai Nabii Hubert Angel ndio alimfundisha kuhusu asili ya Mungu. So hapa Kuna watu wapo kwaajili ya manabii na hata huyo Yesu Kristo hawamjui.
 
Wakusanya sadaka tu
Mkuu, hakuna kosa kukusanya sadaka. Ni sahihi, maadam wanaitumia kwa kazi ya Mungu.

Ni gharama kuiemdesha huduma. Unatarajia ni nani atakayeigharamia zaidi ya wanaohidumiwa na hiyo huduma?

Kama ambavyo ni sahihi Serikali kukusanya kodi kutoka kwa wananchi wake kwa ajili ya maendeleo ya nchi husika, ni sahihi huduma kupokea sadaka kutoka kwa wanufaika wa hiyo huduma.
 
Mwakasege ni msanii tu na amewashika wengi wasiojielewa
Kama ni msanii na watu wanasaidika kupitia mafundisho yake, basi usanii wake ni mzuri. Hata hivyo, inawezekana sijajua ulichomaanisha kwa neno msanii, labda umemaanisha kinyume cha matumizi ya kawaida ya huo msamiati. Lakini kama ni kinyume chake, utakuwa umekosea.

Mwakasege ni mtumishi wa Mungu anayempenda Mungu.
 
Nyie ndio mnajifanyaga assistant Jesus kutwa kuhukumu watumishi. Sijui nan kawapa hicho kibali

Unajua maana ya kuhukumu? Kazi ya kuhukumu? Kuhukumu ni kutoa hitimisho la huyu asiende mbinguni na huyu aende. Ambayo ni kazi ya Mungu baba. Sasa Mimi Wala sijahukumu Bali nakataa huu ujinga wa baba yangu sijui nani.

Umeniuiza baba wa manabii wa kweli ni nani. Nikakwambia ni Yesu Kristo. Halafu unanihoji huyo Yesu Kristo ni wa kanisa gani na ministry gani.Hili swali ni mtu ambaye kwanza Hana msingi mzuri wa kumjua Kristo na kazi zake.

Ina maana naongea na mtu ambaye hata hajui anachouliza. Yesu Kristo ndio mwasisi wa kanisa, na ndiye aliyemtokea mtume Paulo na kumbadilisha na kuanza kumtumikia. Kwa hivyo kila nabii wa kweli lazima baba yake awe ni Yesu Kristo. Sio mtu anaamka asubuhi anadai baba yake ni TB Joshua.

Kasome Mathayo 23:9 inayokataza kuitana baba na ujinga mwingine. Kuna Mtume mmoja anaitwa Nabii Passion , aliasi akawa mnywa pombe, akawa shoga anavaa nguzo za kike na kuvaa mawigi, akawa dj kwenye ma club, ila bado anadai ana watoto wengi duniani. Juzi juzi ndio amerudi Tena kudanganya watu. Na Kama kawaida bado wapo wanaomuamini.
 
Kama ni msanii na watu wanasaidika kupitia mafundisho yake, basi usanii wake ni mzuri. Hata hivyo, inawezekana sijajua ulichomaanisha kwa neno msanii, labda umemaanisha kinyume cha matumizi ya kawaida ya huo msamiati. Lakini kama ni kinyume chake, utakuwa umekosea.

Mwakasege ni mtumishi wa Mungu anayempenda Mungu.
Sawa mkuu......endelea kuingizwa chaka.
 
Nyie ndio mnajifanyaga assistant Jesus kutwa kuhukumu watumishi. Sijui nan kawapa hicho kibali
Yaani kukemea uovu siku hizi ni kuhukumu?

Ushoga na usagaji ulianza hivi hivi.....ukikemea na kuzoea unaambiwa unahukumu....sasa umeota kama uyoga.
 
Nyie ndio mnajifanyaga assistant Jesus kutwa kuhukumu watumishi. Sijui nan kawapa hicho kibali

Hata wafuasi wa Makenzie tuliwaambia haya Mombasa wakatutukana. Leo yapo wapi. Mwamini Yesu Kristo na Neno lake yeye ndiye baba wa kweli na wa uzima.
 
Kama ni msanii na watu wanasaidika kupitia mafundisho yake, basi usanii wake ni mzuri. Hata hivyo, inawezekana sijajua ulichomaanisha kwa neno msanii, labda umemaanisha kinyume cha matumizi ya kawaida ya huo msamiati. Lakini kama ni kinyume chake, utakuwa umekosea.

Mwakasege ni mtumishi wa Mungu anayempenda Mungu.

Mwakasege ni mtumishi wa kweli ndio maana huduma yake haijashuka zaidi ya miaka 35.
 
Yaani kukemea uovu siku hizi ni kuhukumu?

Ushoga na usagaji ulianza hivi hivi.....ukikemea na kuzoea unaambiwa unahukumu....sasa umeota kama uyoga.

Kweli mkuu. Kuna kundi limeingia kwenye ukristo shetani analitumia. Halitaki maonyo wanataka wafanye mambo ya hovyo na usiwaambie au kuonywa. Mwisho wa siku dhambi imeingia kanisani.
 
Uebert Angel alinijibu swali ambalo niliwauliza watalaamu wa theologia wakatoa majibu ambayo sijawahi kuridhika ,huyu mwamba alifundisha "the origin of God ".Toka nikiwa mdogo nilikuwa nauliza Mungu alitoka wapi na anakaa wapi.Huyu mwamba alijibu haya maswali mawili nikanyanyua mikono juu .
nalifuatilia hapa nimelifukunyua jamaa ni kichwa aisee nlichelewa wapi sijui.
 
Back
Top Bottom