Wahudumu na Uongozi wa Fish Market mnaishiriki dhambi mbaya ya ubaguzi pasipo kujua malipo ni hapa hapa

Huko wavuvi camp kukoje.
Maana dogo kaniambia jana twende huko coco beach panaitwa wavuvi camp.
Sasa nisije kupata tena maumivu ya kichwa wiki nzima.
Hakuna hata maajabu sema tu ndo vile kiwanja kikiwa kipya watoto wote wa mjini wanaenda,
Bei zao ni kama za Samaki Samaki ila wao zimezidi kidogo, wana MENU yao pia angalia akaunti yao Insta Wavuvi Kempu.
 
Hii ni common experience migahawa mingi ya Masaki ambayo ni upscale. Bei za ajabu kwenye menu items. Utegemee kupata huduma mbovu kama ni Mtanzania mweusi. Wahudumu watajifanya hawakuoni, wapo busy na wateja wazungu. Order yako itachukua muda sana, unaweza kuja kabla ya mzungu, lkn mzungu akaanza kula kabla yako.
 
soon wadada wadangaji wa mujini wataenda kuweka kambi hapo johari rotana.

mbinu yao ni ilele ya zamani tangu enzi za kina
jacqueline ntuyabaliwe kipindi hicho wanadanga kwenye mahotel kuvizia wazungu.

watawahi seat, wataagiza savana au serengeti lite mojamoja na kuinywa masaa matatu.

siku nyingine wakirudi halafu wahudumu wakapuuza kuwauhudumia kwa wakati,watakimbilia tiktok kwenda kulalamika.
 
Kama huyo aliekuwa analalamika hayo malipshine anaonekana ni kahaba mzoefu
 
....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…