Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Ni kazi inayoonekana dhalili mbele ya jamii.. Lakini ni kazi inayoendesha maisha ya mhusika kwa kujitosheleza karibia kia kitu kuanzia
Mavazi, Malazi, Kusomesha, Kuhudumia wazazi na ndugu Kufungua biashara, Kujenga, Kununua vitu vya thamani, Kuhonga
Kujihudumia nknk, Wahudumu wengi wa bar wametokea, Vijijini na kwenda sehemu za mijini kusaka maisha hasa majiji makubwa
Wengi kiasili wamekatishwa masomo kwa kukosa karo ama kupewa ujauzito.
Wengine wameachika ama kukimbia manyanyaso ya ndoa, Wengine ni yatima, Wengine ni watoto wa kambo Na wengine wametokea kwenye uhudumu wa nyumbani (beki 3). Kimsingi mhudumu wa bar haishi kwa mshahara bali maslahi na ndio maana wengi baada ya kuwa wazoefu huchagua bar kubwa kubwa ama zenye wateja wengi.
Wengi wao huwa na chuki iliyofichama juu ya wanaume ama wanawake walio kwenye ndoa. . Na wengi wao huwa hawana mapenzi ya kweli kulingana na past history kwenye mapenzi na mahusiano. Wengi huishi kwa target za siku za wiki na mwezi.. Anahakikisha kwa siku husika anatimiza lengo kwa namna yoyote ile. Je wanapate pesa?
1. Kuchomekea bili (sometimes hili hufanywa kwa ushirikiano na kaunta)
2. Kuongeza bei ya vinywaji(sometimes hili hufanywa kwa ushirikiano na matron au manager).
3. Offer.. Hapa ndio wanapapenda mno...na hupendelea kuhudumia meza za wanaume tupu na wenye macho juu juu.. Wengi ukimpa offer atahakikisha anachukua kinywaji cha bei juu na ukimuuliza mbona hanywi anakwambia atakunywa baadae maana muda huo hawaruhusiwi.
4. Kinywaji ulichonunua wewe mnaweza kukinunua meza tatu tofauti bila kujua na wengine huzuga kunywa kumbe ndani maji.. Kinywaji husika anaweza kukata pesa yake kwenye bili ama akakiuza kwa mteja mwingine
Wahudumu wengi huwa hawana bajeti ya chakula jioni na usiku.. Kama sio offer basi atachonga na mtu wa jikoni na kupunguziwa chakula cha wateja hasa zile bar zenye nyama choma na kitimoto.. Akikosa kabisa hukopa na kulipa wakati wa kufunga
Wahudumu wengi hawapendi ngono bali hufanya hivyo kwa nia ya kuingiza kipato ama kutimiza hesabu.. Na mwanaume mbele ya barmaid ni sawa na umbwa tuu... Wengi hupendelea kupumzika siku ya Jumatatu au Jumanne.. Hizi ni siku zisizo na hela na hata kugawa uroda huwa ni siku hizo kwa sehemu kubwa
Kuanzia Jumanne mpaka Alhamisi wanahakikisha wanatengeneza kati ya elfu 20 mpaka 50 kulingana na bar.. Na kuanzia Ijumaa wanahakikisha wanaingiza 50 mpaka laki+ pia kulingana na bar Mshahara wa barmaid kwa sehemu kubwa hauzidi laki moja.. Lakini kwenye mishe zake hiyo ni pesa ya siku mbili mpaka 6 kulingana na bar
Wahudumu wengi hawaipendi siku ya Jumapili maana ni siku ya vikao na wababa wengi hutoka na wake zao ama familia. Siku bora kwao ni Alhamisi, Ijumaa na Jumamosi. Wateja wanaowapendelea sana ni wale wa saa 12 jioni mpaka saa tatu usiku hawa kwa sehemu kubwa ni wafanyakazi na wana pesa.
Wahudumu wa bar nao huwa na hisia za upendo wa kweli hivyo hata awe malaya vipi Lakini ana mtu wake mmoja anayempenda na kumheshimu sana.. Wengi ni vimada wa wenye ndoa zao na wamepangishiwa vyumba na kuhudumiwa kila kitu.. !
Madhila yao
Pamoja kuwa na njia lukuki haramu na halali za kuwaingizia kipato kikubwa lakini pia wanakutana na changamoto nyingi baadhi zikiwa
- Kurogwa nknk
Wengi waliopitia haya hujikuta wanakuwa sugu na mabanditu ya kutupwa, Anaweza akala na kunywa vyako kisha akakumbia
Anaweza kukuchomesha mahindi, Anaweza kukuibia usiku, Anaweza kukuitia wahuni, Unaweza kukuroga
Anaweza kwa makusudi kabisa kukuambukiza magonjwa mabaya nk
Hayo ni machache kati ya mengi kwenye ulimwengu wa wahudumu wa bar. Nyege zako ni mtaji kwao. Cheza kwa step! Makinika unapoenda bar. Kuna wengi kati yetu pombe hukumbilia chini na wengi wameharibu kazi, kipato, future, biashara kwa sababu ya wahudumu wa bar!
Mavazi, Malazi, Kusomesha, Kuhudumia wazazi na ndugu Kufungua biashara, Kujenga, Kununua vitu vya thamani, Kuhonga
Kujihudumia nknk, Wahudumu wengi wa bar wametokea, Vijijini na kwenda sehemu za mijini kusaka maisha hasa majiji makubwa
Wengi kiasili wamekatishwa masomo kwa kukosa karo ama kupewa ujauzito.
Wengine wameachika ama kukimbia manyanyaso ya ndoa, Wengine ni yatima, Wengine ni watoto wa kambo Na wengine wametokea kwenye uhudumu wa nyumbani (beki 3). Kimsingi mhudumu wa bar haishi kwa mshahara bali maslahi na ndio maana wengi baada ya kuwa wazoefu huchagua bar kubwa kubwa ama zenye wateja wengi.
Wengi wao huwa na chuki iliyofichama juu ya wanaume ama wanawake walio kwenye ndoa. . Na wengi wao huwa hawana mapenzi ya kweli kulingana na past history kwenye mapenzi na mahusiano. Wengi huishi kwa target za siku za wiki na mwezi.. Anahakikisha kwa siku husika anatimiza lengo kwa namna yoyote ile. Je wanapate pesa?
1. Kuchomekea bili (sometimes hili hufanywa kwa ushirikiano na kaunta)
2. Kuongeza bei ya vinywaji(sometimes hili hufanywa kwa ushirikiano na matron au manager).
3. Offer.. Hapa ndio wanapapenda mno...na hupendelea kuhudumia meza za wanaume tupu na wenye macho juu juu.. Wengi ukimpa offer atahakikisha anachukua kinywaji cha bei juu na ukimuuliza mbona hanywi anakwambia atakunywa baadae maana muda huo hawaruhusiwi.
4. Kinywaji ulichonunua wewe mnaweza kukinunua meza tatu tofauti bila kujua na wengine huzuga kunywa kumbe ndani maji.. Kinywaji husika anaweza kukata pesa yake kwenye bili ama akakiuza kwa mteja mwingine
Wahudumu wengi huwa hawana bajeti ya chakula jioni na usiku.. Kama sio offer basi atachonga na mtu wa jikoni na kupunguziwa chakula cha wateja hasa zile bar zenye nyama choma na kitimoto.. Akikosa kabisa hukopa na kulipa wakati wa kufunga
Wahudumu wengi hawapendi ngono bali hufanya hivyo kwa nia ya kuingiza kipato ama kutimiza hesabu.. Na mwanaume mbele ya barmaid ni sawa na umbwa tuu... Wengi hupendelea kupumzika siku ya Jumatatu au Jumanne.. Hizi ni siku zisizo na hela na hata kugawa uroda huwa ni siku hizo kwa sehemu kubwa
Kuanzia Jumanne mpaka Alhamisi wanahakikisha wanatengeneza kati ya elfu 20 mpaka 50 kulingana na bar.. Na kuanzia Ijumaa wanahakikisha wanaingiza 50 mpaka laki+ pia kulingana na bar Mshahara wa barmaid kwa sehemu kubwa hauzidi laki moja.. Lakini kwenye mishe zake hiyo ni pesa ya siku mbili mpaka 6 kulingana na bar
Wahudumu wengi hawaipendi siku ya Jumapili maana ni siku ya vikao na wababa wengi hutoka na wake zao ama familia. Siku bora kwao ni Alhamisi, Ijumaa na Jumamosi. Wateja wanaowapendelea sana ni wale wa saa 12 jioni mpaka saa tatu usiku hawa kwa sehemu kubwa ni wafanyakazi na wana pesa.
Wahudumu wa bar nao huwa na hisia za upendo wa kweli hivyo hata awe malaya vipi Lakini ana mtu wake mmoja anayempenda na kumheshimu sana.. Wengi ni vimada wa wenye ndoa zao na wamepangishiwa vyumba na kuhudumiwa kila kitu.. !
Madhila yao
Pamoja kuwa na njia lukuki haramu na halali za kuwaingizia kipato kikubwa lakini pia wanakutana na changamoto nyingi baadhi zikiwa
- Kupewa mimba na kukimbiwa
- Kuambukizwa magonjwa ya zinaa
- Kuambikizwa ukimwi
- Kubakwa
- Kudhalilishwa kingono
- Kuachiwa nuksi
- Kupigwa
- Kuibiwa
- Kurogwa nknk
Wengi waliopitia haya hujikuta wanakuwa sugu na mabanditu ya kutupwa, Anaweza akala na kunywa vyako kisha akakumbia
Anaweza kukuchomesha mahindi, Anaweza kukuibia usiku, Anaweza kukuitia wahuni, Unaweza kukuroga
Anaweza kwa makusudi kabisa kukuambukiza magonjwa mabaya nk
Hayo ni machache kati ya mengi kwenye ulimwengu wa wahudumu wa bar. Nyege zako ni mtaji kwao. Cheza kwa step! Makinika unapoenda bar. Kuna wengi kati yetu pombe hukumbilia chini na wengi wameharibu kazi, kipato, future, biashara kwa sababu ya wahudumu wa bar!