Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akili inatakiwa kufanya kazi haswaNa wanavaa mavazi ya mitego
Unaeweza kumchomekea Vinyaji ni yule anaelewa chakari na ndo mpaka umpate wengi wanalewa lakini hela na vinywaji alivyokunywa hasahau may b ajifanye kasahau kumpa bar med tip but kiukweli hali ni tata labda bar med apate danga yani..Namna gani unapigwa kwenye bili ama chakula
Wahudumu wengi hawapendelei wateja wa cash.. Hiyo ni nipe nikupe.. Wengi hupendelea wateja wa bili wale wa kulipa mwishoni
Namna ya upigaji.. Hapa kuna njia 3 na mhudumu huchagua mojawapo kati ya hizo
1. Kuongeza mia mpaka buku kwa baadhi ya vinywaji hasa ambavyo sio common
2. Kuchomekea idadi zaidi ya vinywaji mlivyokunywa
3.. Kuweka idadi sawa ya vinywaji lakini akakupiga kwenye total
Kwenye vyakula hasa nyama nyama hizi supu na michemsho
1.. Kuuziwa bei juu kuliko kawaida
2. Kupunguza idadi ya vipande vya nyama
Kitimoto unapewa nusu na robo
Kongolo unawekewa kwato moja[emoji23]kwani huyo moo ni mlemavu au ni zimwi?
3. Kwenye mbuzi kuku nk vinapunguzwa vipande vya nyama
4. Kwenye mkia wa moo unapewa pingili 13 wakati moo mkia wake una pingili 16[emoji23]
Akipiga kwa wateja watatu wanne keshapata sahani yake!
Kwingine tunapigwa kwenye ndaza, na nyama za wizi
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Kuna mmoja alipanga Kwa Sista Chamazi akadai ni muuguzi muhimbili sasa mi nilikuwa nikienda Muhimbili mara kibao lakini hata mara moja sikuwahi kukutana nae kila ukimpigia simu kaenda lunch sasa bahati mbaya siku moja si nika muona sehemu kwenye ka pub anahudumia!!!
Jamii yetu tu haijastaarabika au ni kwasababu watu wa kima cha chini wengi hudharaulika . Ulaya kazi ya bar tender jioni hufanywa na wanafunzi wa elimu ya juu. Wengi wao ndiyo wanakua bank managers na wataalamu wa uchumi baadae.Pamoja na vipato vyao vyote maisha yao hayana furaha Kwa sababu ya kudharauliwa na jamii . Barmaid haheshimiki popote pale kuanzia kazini kwake hadi mtaani kwake anakoishi.
Haaminiwi na mtu yeyote anaye mtambua kazi yake. Hakuna mtu anayeweza kumuwekea uaminifu barmaid popote pale
Wanaume tumeumbwa mateso kuhangaikaKuna wengi kati yetu pombe hukumbilia chini na wengi wameharibu kazi, kipato, future, biashara kwa sababu ya wahudumu wa bar.. !
Kijwe changu mida mibovu. Ila siku hizi kumekuwa kwa kihuni sana malaya mpaka chooni.Hahahaha[emoji23] nimekumbuka mbali sana.. Zambezi Bar River side
Soccer City hapa
sio ilipokuwa Masai, sema ilipo masai kwa sababu imefufuka na kwa ukanda huu wa kinondoni, mwananyamala, magomeni manzese ubungo, kijitonyama makumbusho nk hakuna kiwanja kama masai.Mmoja alikuwa anaishi Mbagala kazi Kinondoni ilipokuww Masai bar.. Kwao alisema anafanya kazi bank na huwa wanaingia special task ya kupanga pesa usiku.. Na mapigo yake yalikuwa kama wadada wa bank[emoji23]
Tatizo linalopelekea hilo ni kudharau Proffessionalism. Mamtoni hakuna cha kima cha chini wala juu. Kazi ni kazi na you get paid accordingly haswa kwa masaa unayospend kazini.•Jamii yetu tu haijastaarabuka au ni kwasababu watu wa kima cha chini wengi hudgaraulika. Ulaya kazi ya bar tender jioni hufanywa na wanafunzi wa elimu ya juu. Wengi wao ndiyo wanakua bank managers na wataalamu wa uchumi baadae.
Usiseme kwamba jamii yetu haistarabika si kweli Bali utamaduni wetu hauruhusu watu kufanya kazi za Aibu zinazokuvua utu wako hatakama unapata kipato cha namna gani.Jamii yetu tu haijastaarabika au ni kwasababu watu wa kima cha chini wengi hudharaulika . Ulaya kazi ya bar tender jioni hufanywa na wanafunzi wa elimu ya juu. Wengi wao ndiyo wanakua bank managers na wataalamu wa uchumi baadae.
Mpaka uwe legend una usibabaike na makalio yaoUnaeweza kumchomekea Vinyaji ni yule anaelewa chakari na ndo mpaka umpate wengi wanalewa lakini hela na vinywaji alivyokunywa hasahau may b ajifanye kasahau kumpa bar med tip but kiukweli hali ni tata labda bar med apate danga yani..
Hapo kwenye mizigo sasa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Mpaka uwe legend una usibabaike na makalio yaoView attachment 2136945
Sijapita kitambo tangu ilipokufa enzi za mwanakwendasio ilipokuwa Masai, sema ilipo masai kwa sababu imefufuka na kwa ukanda huu wa kinondoni, mwananyamala, magomeni manzese ubungo, kijitonyama makumbusho nk hakuna kiwanja kama masai.