Wahudumu wa baa wana maisha mazuri kuliko waajiriwa wengi

Wahudumu wa baa wana maisha mazuri kuliko waajiriwa wengi

Ni kazi inayoonekana dhalili mbele ya jamii.. Lakini ni kazi inayoendesha maisha ya mhusika kwa kujitosheleza karibia kia kitu kuanzia

Mavazi, Malazi, Kusomesha, Kuhudumia wazazi na ndugu Kufungua biashara, Kujenga, Kununua vitu vya thamani, Kuhonga
Kujihudumia nknk, Wahudumu wengi wa bar wametokea, Vijijini na kwenda sehemu za mijini kusaka maisha hasa majiji makubwa
Wengi kiasili wamekatishwa masomo kwa kukosa karo ama kupewa ujauzito.

Wengine wameachika ama kukimbia manyanyaso ya ndoa, Wengine ni yatima, Wengine ni watoto wa kambo Na wengine wametokea kwenye uhudumu wa nyumbani (beki 3). Kimsingi mhudumu wa bar haishi kwa mshahara bali maslahi na ndio maana wengi baada ya kuwa wazoefu huchagua bar kubwa kubwa ama zenye wateja wengi.

Wengi wao huwa na chuki iliyofichama juu ya wanaume ama wanawake walio kwenye ndoa. . Na wengi wao huwa hawana mapenzi ya kweli kulingana na past history kwenye mapenzi na mahusiano. Wengi huishi kwa target za siku za wiki na mwezi.. Anahakikisha kwa siku husika anatimiza lengo kwa namna yoyote ile. Je wanapate pesa?

1. Kuchomekea bili (sometimes hili hufanywa kwa ushirikiano na kaunta)

2. Kuongeza bei ya vinywaji(sometimes hili hufanywa kwa ushirikiano na matron au manager).

3. Offer.. Hapa ndio wanapapenda mno...na hupendelea kuhudumia meza za wanaume tupu na wenye macho juu juu.. Wengi ukimpa offer atahakikisha anachukua kinywaji cha bei juu na ukimuuliza mbona hanywi anakwambia atakunywa baadae maana muda huo hawaruhusiwi.

4. Kinywaji ulichonunua wewe mnaweza kukinunua meza tatu tofauti bila kujua na wengine huzuga kunywa kumbe ndani maji.. Kinywaji husika anaweza kukata pesa yake kwenye bili ama akakiuza kwa mteja mwingine

Wahudumu wengi huwa hawana bajeti ya chakula jioni na usiku.. Kama sio offer basi atachonga na mtu wa jikoni na kupunguziwa chakula cha wateja hasa zile bar zenye nyama choma na kitimoto.. Akikosa kabisa hukopa na kulipa wakati wa kufunga

Wahudumu wengi hawapendi ngono bali hufanya hivyo kwa nia ya kuingiza kipato ama kutimiza hesabu.. Na mwanaume mbele ya barmaid ni sawa na umbwa tuu... Wengi hupendelea kupumzika siku ya Jumatatu au Jumanne.. Hizi ni siku zisizo na hela na hata kugawa uroda huwa ni siku hizo kwa sehemu kubwa

Kuanzia Jumanne mpaka Alhamisi wanahakikisha wanatengeneza kati ya elfu 20 mpaka 50 kulingana na bar.. Na kuanzia Ijumaa wanahakikisha wanaingiza 50 mpaka laki+ pia kulingana na bar Mshahara wa barmaid kwa sehemu kubwa hauzidi laki moja.. Lakini kwenye mishe zake hiyo ni pesa ya siku mbili mpaka 6 kulingana na bar

Wahudumu wengi hawaipendi siku ya Jumapili maana ni siku ya vikao na wababa wengi hutoka na wake zao ama familia. Siku bora kwao ni Alhamisi, Ijumaa na Jumamosi. Wateja wanaowapendelea sana ni wale wa saa 12 jioni mpaka saa tatu usiku hawa kwa sehemu kubwa ni wafanyakazi na wana pesa.

Wahudumu wa bar nao huwa na hisia za upendo wa kweli hivyo hata awe malaya vipi Lakini ana mtu wake mmoja anayempenda na kumheshimu sana.. Wengi ni vimada wa wenye ndoa zao na wamepangishiwa vyumba na kuhudumiwa kila kitu.. !

Madhila yao
Pamoja kuwa na njia lukuki haramu na halali za kuwaingizia kipato kikubwa lakini pia wanakutana na changamoto nyingi baadhi zikiwa
  • Kupewa mimba na kukimbiwa
  • Kuambukizwa magonjwa ya zinaa
  • Kuambikizwa ukimwi
  • Kubakwa
  • Kudhalilishwa kingono
  • Kuachiwa nuksi
  • Kupigwa
  • Kuibiwa
-Kufumaniwa
- Kurogwa nknk

Wengi waliopitia haya hujikuta wanakuwa sugu na mabanditu ya kutupwa, Anaweza akala na kunywa vyako kisha akakumbia
Anaweza kukuchomesha mahindi, Anaweza kukuibia usiku, Anaweza kukuitia wahuni, Unaweza kukuroga
Anaweza kwa makusudi kabisa kukuambukiza magonjwa mabaya nk

Hayo ni machache kati ya mengi kwenye ulimwengu wa wahudumu wa bar. Nyege zako ni mtaji kwao. Cheza kwa step! Makinika unapoenda bar. Kuna wengi kati yetu pombe hukumbilia chini na wengi wameharibu kazi, kipato, future, biashara kwa sababu ya wahudumu wa bar!
Mshana umesahau kupanga mda wa mabwana,wakwanza saa 6 mchana mpaka saa 9 alasili wa2 saa 9_12 jioni wamwisho saa12_3 usiku,hao niwapita njia lkn anawamiliki na hawajuani,ila Sasa funga kazi mwenye mzigo anakuja saa 3 nanusu au 4 nanusu hajabu ya huyu hata hela ya soda unakuta hana hata sahani ya viazi wanaweza kuchangia mala nyingine upewa na bia mlizonunua wanyuma.Hivyo mapenzi na bar med nimtihani mzito
 
Mshana umesahau kupanga mda wa mabwana,wakwanza saa 6 mchana mpaka saa 9 alasili wa2 saa 9_12 jioni wamwisho saa12_3 usiku,hao niwapita njia lkn anawamiliki na hawajuani,ila Sasa funga kazi mwenye mzigo anakuja saa 3 nanusu au 4 nanusu hajabu ya huyu hata hela ya soda unakuta hana hata sahani ya viazi wanaweza kuchangia mala nyingine upewa na bia mlizonunua wanyuma.Hivyo mapenzi na bar med nimtihani mzito
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]sahihi kabisa
 
Wanaofahamu saikoloji ya mabarmaid hawaendi bar mapema wanaenda mida mibovu na kupenda kuhudumiwa na waliokwisha leweshwa kisha wakaachwa na wenye ndoa zao
emoji23.png
jamaa hujibebea tu kiulaiiniii.

Ukitaka tongoza kaunta anaingia kazini siku nne anapumzika siku 3, siku anayotoka kazini hakikisha unakuwa naye, huwa wana mavumba ya kutosha sana
emoji23.png
Yap,, mkuu umejua kunipatia yaani mulemule napopita baharia huwa wananishangaa sana wana,, nenda saa 4-5 night, kishakula na kishalewa tayari chonga naye fresh nini jibebee, wengi wanalala palepale kwenye magheto na ukweli wasingependa kulala mule kwaiyo ni rahisi kumchukua kama unachukua chumba guest nzuri
 
Yap,, mkuu umejua kunipatia yaani mulemule napopita baharia huwa wananishangaa sana wana,, nenda saa 4-5 night, kishakula na kishalewa tayari chonga naye fresh nini jibebee, wengi wanalala palepale kwenye magheto na ukweli wasingependa kulala mule kwaiyo ni rahisi kumchukua kama unachukua chumba guest nzuri
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huku Chugga chimbo langu ni Mount point au Picnic yaani hawa viumbe wanasaidia sana kuokoa ndoa zetu tukiwa na stress . Juzi kati Kuna bar maid mmoja picnic aliifinyia kwa ndani mpaka nikatoa ada ya mwanae. Hawa kwa sisi ma legends tunajua jinsi ya kwenda na kuondoka nao, wengi hukimbiwa au hushindwa kuvumilia mpaka Wafunge[emoji23]mida mibovu#vivapicnin
Hii Bar ipo pale tangu mwaka 1978... niliondoka Arusha 1989 niliiacha.
 
Ni kazi inayoonekana dhalili mbele ya jamii.. Lakini ni kazi inayoendesha maisha ya mhusika kwa kujitosheleza karibia kia kitu kuanzia

Mavazi, Malazi, Kusomesha, Kuhudumia wazazi na ndugu Kufungua biashara, Kujenga, Kununua vitu vya thamani, Kuhonga
Kujihudumia nknk, Wahudumu wengi wa bar wametokea, Vijijini na kwenda sehemu za mijini kusaka maisha hasa majiji makubwa
Wengi kiasili wamekatishwa masomo kwa kukosa karo ama kupewa ujauzito.

Wengine wameachika ama kukimbia manyanyaso ya ndoa, Wengine ni yatima, Wengine ni watoto wa kambo Na wengine wametokea kwenye uhudumu wa nyumbani (beki 3). Kimsingi mhudumu wa bar haishi kwa mshahara bali maslahi na ndio maana wengi baada ya kuwa wazoefu huchagua bar kubwa kubwa ama zenye wateja wengi.

Wengi wao huwa na chuki iliyofichama juu ya wanaume ama wanawake walio kwenye ndoa. . Na wengi wao huwa hawana mapenzi ya kweli kulingana na past history kwenye mapenzi na mahusiano. Wengi huishi kwa target za siku za wiki na mwezi.. Anahakikisha kwa siku husika anatimiza lengo kwa namna yoyote ile. Je wanapate pesa?

1. Kuchomekea bili (sometimes hili hufanywa kwa ushirikiano na kaunta)

2. Kuongeza bei ya vinywaji(sometimes hili hufanywa kwa ushirikiano na matron au manager).

3. Offer.. Hapa ndio wanapapenda mno...na hupendelea kuhudumia meza za wanaume tupu na wenye macho juu juu.. Wengi ukimpa offer atahakikisha anachukua kinywaji cha bei juu na ukimuuliza mbona hanywi anakwambia atakunywa baadae maana muda huo hawaruhusiwi.

4. Kinywaji ulichonunua wewe mnaweza kukinunua meza tatu tofauti bila kujua na wengine huzuga kunywa kumbe ndani maji.. Kinywaji husika anaweza kukata pesa yake kwenye bili ama akakiuza kwa mteja mwingine

Wahudumu wengi huwa hawana bajeti ya chakula jioni na usiku.. Kama sio offer basi atachonga na mtu wa jikoni na kupunguziwa chakula cha wateja hasa zile bar zenye nyama choma na kitimoto.. Akikosa kabisa hukopa na kulipa wakati wa kufunga

Wahudumu wengi hawapendi ngono bali hufanya hivyo kwa nia ya kuingiza kipato ama kutimiza hesabu.. Na mwanaume mbele ya barmaid ni sawa na umbwa tuu... Wengi hupendelea kupumzika siku ya Jumatatu au Jumanne.. Hizi ni siku zisizo na hela na hata kugawa uroda huwa ni siku hizo kwa sehemu kubwa

Kuanzia Jumanne mpaka Alhamisi wanahakikisha wanatengeneza kati ya elfu 20 mpaka 50 kulingana na bar.. Na kuanzia Ijumaa wanahakikisha wanaingiza 50 mpaka laki+ pia kulingana na bar Mshahara wa barmaid kwa sehemu kubwa hauzidi laki moja.. Lakini kwenye mishe zake hiyo ni pesa ya siku mbili mpaka 6 kulingana na bar

Wahudumu wengi hawaipendi siku ya Jumapili maana ni siku ya vikao na wababa wengi hutoka na wake zao ama familia. Siku bora kwao ni Alhamisi, Ijumaa na Jumamosi. Wateja wanaowapendelea sana ni wale wa saa 12 jioni mpaka saa tatu usiku hawa kwa sehemu kubwa ni wafanyakazi na wana pesa.

Wahudumu wa bar nao huwa na hisia za upendo wa kweli hivyo hata awe malaya vipi Lakini ana mtu wake mmoja anayempenda na kumheshimu sana.. Wengi ni vimada wa wenye ndoa zao na wamepangishiwa vyumba na kuhudumiwa kila kitu.. !

Madhila yao
Pamoja kuwa na njia lukuki haramu na halali za kuwaingizia kipato kikubwa lakini pia wanakutana na changamoto nyingi baadhi zikiwa
  • Kupewa mimba na kukimbiwa
  • Kuambukizwa magonjwa ya zinaa
  • Kuambikizwa ukimwi
  • Kubakwa
  • Kudhalilishwa kingono
  • Kuachiwa nuksi
  • Kupigwa
  • Kuibiwa
-Kufumaniwa
- Kurogwa nknk

Wengi waliopitia haya hujikuta wanakuwa sugu na mabanditu ya kutupwa, Anaweza akala na kunywa vyako kisha akakumbia
Anaweza kukuchomesha mahindi, Anaweza kukuibia usiku, Anaweza kukuitia wahuni, Unaweza kukuroga
Anaweza kwa makusudi kabisa kukuambukiza magonjwa mabaya nk

Hayo ni machache kati ya mengi kwenye ulimwengu wa wahudumu wa bar. Nyege zako ni mtaji kwao. Cheza kwa step! Makinika unapoenda bar. Kuna wengi kati yetu pombe hukumbilia chini na wengi wameharibu kazi, kipato, future, biashara kwa sababu ya wahudumu wa bar!
Mkuu pia makahaba wana maisha mazuri sana

Ova
 
Nq akikupenda kaunta wa bar ni sawa umependwa na mwekahazina wa vikoba au kijumbe wa upatu
mkuu wewe kama mimi nikimtaka mhudumu namwambia kaunta ananiunganishia kiulaini.
Uzuri wa makaunta ukimpa offer ya bia anafungua hapo hapo.
Hapa nilipo kuna tulikuwa tunacheki game la arsenal kuna zoba anamnunulia muhudumu bia kwa fujo muhudumu anamwambia anaenda kunywea kwa nje huko anakohudumia
 
Pamoja na vipato vyao vyote maisha yao hayana furaha Kwa sababu ya kudharauliwa na jamii . Barmaid haheshimiki popote pale kuanzia kazini kwake hadi mtaani kwake anakoishi.

Haaminiwi na mtu yeyote anaye mtambua kazi yake. Hakuna mtu anayeweza kumuwekea uaminifu barmaid popote pale
Inategemea Kuna bar maid mmoja pale Manzese Tip top namfahamu kwa zaidi ya miaka 20 amejenga Kimara, amesomesha watoto wake watatu mpaka chuo na wengine wamesha pata ajira.. Ana bodaboda yake ambayo inapiga kazi, sasa ukisema huyo anadharauliwa yeye anakucheka tuu [emoji23][emoji23]
 
Inategemea Kuna bar maid mmoja pale Manzese Tip top namfahamu kwa zaidi ya miaka 20 amejenga Kimara, amesomesha watoto wake watatu mpaka chuo na wengine wamesha pata ajira.. Ana bodaboda yake ambayo inapiga kazi, sasa ukisema huyo anadharauliwa yeye anakucheka tuu [emoji23][emoji23]
Wanaoichukulia ajira rasmi na wasioendekeza mapenzi wako njema sana
 
mkuu wewe kama mimi nikimtaka mhudumu namwambia kaunta ananiunganishia kiulaini.
Uzuri wa makaunta ukimpa offer ya bia anafungua hapo hapo.
Hapa nilipo kuna tulikuwa tunacheki game la arsenal kuna zoba anamnunulia muhudumu bia kwa fujo muhudumu anamwambia anaenda kunywea kwa nje huko anakohudumia
Kuna mdau kasema huko juu kuwa unaacha kaunta 10,000 au 20,000
 
Huku Chugga chimbo langu ni Mount point au Picnic yaani hawa viumbe wanasaidia sana kuokoa ndoa zetu tukiwa na stress . Juzi kati Kuna bar maid mmoja picnic aliifinyia kwa ndani mpaka nikatoa ada ya mwanae. Hawa kwa sisi ma legends tunajua jinsi ya kwenda na kuondoka nao, wengi hukimbiwa au hushindwa kuvumilia mpaka Wafunge😂mida mibovu#vivapicnin
Haaaaa Haaaaa 😂, yupi huyo? maana wale wadada sio mchezo,. Mwanaume alie kamili lazima ategeke tu pale.
 
Back
Top Bottom