Wahudumu wa mikopo ya mitandaoni walinipigia kabla ya muda wa marejesho nikawaambia kuwa sitawalipa kwakuwa wameniletea usumbufu. Sijawalipa

Wahudumu wa mikopo ya mitandaoni walinipigia kabla ya muda wa marejesho nikawaambia kuwa sitawalipa kwakuwa wameniletea usumbufu. Sijawalipa

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Muhudumu wa kwanza alinipigia siku moja kabla ya siku ambayo nilipaswa kulipa na kuniambia nifanye malipo haraka kuna zawadi. Nikamjibu kistaarabu tu siku ikapita.

Muhudumu wa 2 alinipigia siku ambayo nilipaswa kulipa nikamwambia atulie kwakuwa wameweka interest kwa kila siku inapoongezeka , kama nitazidisha siku za malipo nitalipa na interest (riba) kama walivyoainisha kwenye mkateba na masharti ya mkopo. Huyu dada akaanza kunifokea, akasema kwani sisi tunataka riba yako, lipa haraka leo. Nikamwambia dada naomba unisikilize kwa makini.

Hiyo sh. Elfu 40 sitawalipa kwa hali na namna yoyote. Wewe ni mjeuri. Labda mtumie zaidi ya milioni 10 kuendesha kesi kuokoa hiyo elfu 40 ndio mtapata na msipojipanga naweza kuwashinda mkanilipa Mimi hiyo milioni 10.
Huu mwezi wa 7 sijawalipa na hawanipigii tena.

Wakopeshaji mjitahidi kuajiri vijana wenye akili timamu.
 
Mimi pia walinikera sana..nilikuwa kwenye mchakato wa kuwalipa, lakini kwa usumbufu, dharau, jeuri, vitisho na blabla zao nikawaambia waendelee na mikwara yao, mimi sitishwi na mikwara. Laki mbili yao....sijaguswa kuwalipa
Hawa wakopeshaji kwa nature ya Watanzania naona kabisa ni kama wanatakatisha fedha
 
watajua hawajui..[emoji16][emoji16]
FB_IMG_1706167860835.jpg
FB_IMG_1706167881611.jpg
FB_IMG_1706167920365.jpg
FB_IMG_1706167888149.jpg
FB_IMG_1706167895160.jpg
FB_IMG_1706167914684.jpg
 
Mimi pia walinikera sana..nilikuwa kwenye mchakato wa kuwalipa, lakini kwa usumbufu, dharau, jeuri, vitisho na blabla zao nikawaambia waendelee na mikwara yao, mimi sitishwi na mikwara. Laki mbili yao....sijaguswa kuwalipa
Ni kampuni gani hii
 
BOT inataka riba ya 3.5 reducing pm. Ukimpa mtu laki arudishe 3500. Sasa naelewa kwanini makampuni mengi hayatii hili agizo.
 
Muhudumu wa kwanza alinipigia siku moja kabla ya siku ambayo nilipaswa kulipa na kuniambia nifanye malipo haraka kuna zawadi. Nikamjibu kistaarabu tu siku ikapita.

Muhudumu wa 2 alinipigia siku ambayo nilipaswa kulipa nikamwambia atulie kwakuwa wameweka interest kwa kila siku inapoongezeka , kama nitazidisha siku za malipo nitalipa na interest (riba) kama walivyoainisha kwenye mkateba na masharti ya mkopo. Huyu dada akaanza kunifokea, akasema kwani sisi tunataka riba yako, lipa haraka leo. Nikamwambia dada naomba unisikilize kwa makini.

Hiyo sh. Elfu 40 sitawalipa kwa hali na namna yoyote. Wewe ni mjeuri. Labda mtumie zaidi ya milioni 10 kuendesha kesi kuokoa hiyo elfu 40 ndio mtapata na msipojipanga naweza kuwashinda mkanilipa Mimi hiyo milioni 10.
Huu mwezi wa 7 sijawalipa na hawanipigii tena.

Wakopeshaji mjitahidi kuajiri vijana wenye akili timamu.
Utakuwa mfanyakazi wa UVCCM si bure🤣
 
Majamaa wana kera sana yani mtu unaweza kuwa na nia kabisa ya kuwalipa lakini njia wanazotumia kudai zikakutia hasira ukawaacha
 
Majamaa wana kera sana yani mtu unaweza kuwa na nia kabisa ya kuwalipa lakini njia wanazotumia kudai zikakutia hasira ukawaacha
Hawana meno kisheria kukufanya ulipe ila wanaweza kukutisha kuwa watachafua image yako. Hawa jamaa akili hawana, wanaamini katika lugha chafu na matisho.

Pamoja na hayo, UNAPOKOPA LIPA. Kutokulipa ni wizi tu kama wizi mwingine. Hakuna tofauti yoyote ya wale wa lipa kwa namba hii na anayekopa halafu halipi.
 
Taperi anajisifu, inashangaza sana
Muhudumu wa kwanza alinipigia siku moja kabla ya siku ambayo nilipaswa kulipa na kuniambia nifanye malipo haraka kuna zawadi. Nikamjibu kistaarabu tu siku ikapita.

Muhudumu wa 2 alinipigia siku ambayo nilipaswa kulipa nikamwambia atulie kwakuwa wameweka interest kwa kila siku inapoongezeka , kama nitazidisha siku za malipo nitalipa na interest (riba) kama walivyoainisha kwenye mkateba na masharti ya mkopo. Huyu dada akaanza kunifokea, akasema kwani sisi tunataka riba yako, lipa haraka leo. Nikamwambia dada naomba unisikilize kwa makini.

Hiyo sh. Elfu 40 sitawalipa kwa hali na namna yoyote. Wewe ni mjeuri. Labda mtumie zaidi ya milioni 10 kuendesha kesi kuokoa hiyo elfu 40 ndio mtapata na msipojipanga naweza kuwashinda mkanilipa Mimi hiyo milioni 10.
Huu mwezi wa 7 sijawalipa na hawanipigii tena.

Wakopeshaji mjitahidi kuajiri vijana wenye akili timamu.
 
Back
Top Bottom