Wahudumu wa Shishi Food Dodoma wajifunze kauli nzuri kwa wateja

Wahudumu wa Shishi Food Dodoma wajifunze kauli nzuri kwa wateja

TBH Customer services ya bongo ni ZERO, kuanzia pale airport, kwenye banks, kwenye migahawa na kote kwa watoa huduma. Sehemu kidogo niliwahi pewa customer care ya maana ni kwenye zile pubs za Samaki samaki. Kwingine kote hovyo hovyo tu,.
 
Kuna watu wanaitumia vibaya ile slogan ya Mteja ni mfalme.
Hii slogan ipuuzwe baadhi ya maeneo.

Mteja akija dukani kula manake ana shida ya chakula ana njaa mimi ninayeuza chakula sina shida ya chakula bali nna shida ya pesa.

Kwa maana hapa kila mtu ana shida na mwenzie.

Binadamu wakiwa wanataka kununua kitu basi wanajiona wajaaanja mpaka wakaanza vimisemo kama hivi ili wajipaishe tu kumbe hata yeye ana shida.

Kauli ya mteja ni mfalme itume tu pale ambapo mteja huyo hana shida na kitu anachonunua ispokuwa ananunua ili kumpa kula muuzaji.

Eti daladala ya mbagala uikute kariakoo alafu uringe kupanda mida ya usiku kwa kutaka konda akupe good customer care aiseeeeeeeeee😂😂
 
Najipongeza kwa kukufanya kwenye comment yako yenye matusi utumie kiswahili sehemu kubwa. Ninaposema uandike kiswahili sio kwamba sijui vizuri kiingereza.... mama yako ni shahidi mzuri wa hili.
Comment kiswahili chake ni nini?
 
Wengi wenu hamwendi kula chakula bali mnavizia kula mademu wahudumu
Sawa sawa. Kama kukaanga samaki na chips wanajua. Wanataka waoshe rungu chief. Teba wengi hapo dom wako mbali na familia
 
Ila wateja wengine wa chakula Wana gubu sn..unaweza kufika mgahawani unakuta wateja wengine wanahudumiwa lkn unalazimisha uhudumiwe wewe,matokeo yake mnakwaruzana na wahudumu

NB :Mimi siyo mhudumu wa shishi food
Kwenye huduma hakuna gubu wala jibu la hapana, hata kama ulikuwa unahudumia inakuchukuwa muda gani kuweka sahani ya chakula Kwa mteja namba moja na kuja kumsikiliza mteja namba mbili, msikilize chukuwa order abaki asubiri huduma. Lakini kukaa akisubiri MTU wa kuja kumsikiliza Kwa muda wa DK tano au kumi kibiashara ni punctuation failure, ni Bora ukaja kufeli Kwenye standard na siyo kwenye first impression.
Watanzania wengi hili somo la kuwajali na kuhudumia wateja limewapita mbaliiiiiii mno.
Naungana na mtoa hoja ndo maana hoteli zote kubwa Wana Kadi zinazojazwa na wateja ili kuangalia wapi pa kuboresha. Ukefeli hapo utaanza kuzunguka Kwa waganga na hatobadilisha chochote.
 
Jana nilienda kula chakula cha mchana pale Shishi Food Dodoma.

Wakati nafika nikamkuta jamaa analumbana na mhudumu kisa amemuita aje kumhudumia akamjibu nakuja lakini hakuja ontime, kwa maana alikuja amechelewa na akamjibu majibu ambayo sio mazuri

The same kwangu pia maana niliketi more than 5 minutes wala sioni mhudumu, akaja badae sana tena kwa mwendo anaoutaka yeye.

Wakuu kama unamiliki biashara hakikisha customer care nzuri ni endelevu.

Tuache tabia kwamba ukishapata loyal customers basi unarelax kwamba watakuja tuu.

Always remember to add value to your product and service.

Shishi ajifunze kwamba Customers always demand for more

Kw nini usingeenda Mwanga Restaurant kwa Msangi, makutano ya barabara ya 7/8 na Mwanza Road?
 
Sio kweli

Mteja mmoja sio muhimu kama wengine

Huwezi kuja na kusababisha trauma kwa wafanyakazi wangu sababu wewe ni mteja halafu nikuchekee

Get the fvck out,we dont need your stupid little money

And we reserve the right to refuse service to anyone...

Sio lazima tukuhudumie,tuna haki ya kutokukuhudumia na huwezi tufanya lolote!
Oya unaijua biashara vizuri? Haswa hizo biashara za chakula.
 
Dodoma ipo hivyo mkuu, nipo hapa ni 2yrs now yan unafika mgahawani unaitisha mara mbili au tatu nadhani ni kutojua biashara inatakaje tu.

Nb: Sio wote.
 
Jana nilienda kula chakula cha mchana pale Shishi Food Dodoma.

Wakati nafika nikamkuta jamaa analumbana na mhudumu kisa amemuita aje kumhudumia akamjibu nakuja lakini hakuja ontime, kwa maana alikuja amechelewa na akamjibu majibu ambayo sio mazuri

The same kwangu pia maana niliketi more than 5 minutes wala sioni mhudumu, akaja badae sana tena kwa mwendo anaoutaka yeye.

Wakuu kama unamiliki biashara hakikisha customer care nzuri ni endelevu.

Tuache tabia kwamba ukishapata loyal customers basi unarelax kwamba watakuja tuu.

Always remember to add value to your product and service.

Shishi ajifunze kwamba Customers always demand for more
Atakuelewa tuu wajifunze customer care hata kwenye simu,!biashara nyingi hufungwa sababu kubwa ni wahudumu!kaomba kazi kwa heshima amepata sasa kajisahau.Wakikosa mshahara wanaanza kuandamana.
 
Hii slogan ipuuzwe baadhi ya maeneo.

Mteja akija dukani kula manake ana shida ya chakula ana njaa mimi ninayeuza chakula sina shida ya chakula bali nna shida ya pesa.

Kwa maana hapa kila mtu ana shida na mwenzie.

Binadamu wakiwa wanataka kununua kitu basi wanajiona wajaaanja mpaka wakaanza vimisemo kama hivi ili wajipaishe tu kumbe hata yeye ana shida.

Kauli ya mteja ni mfalme itume tu pale ambapo mteja huyo hana shida na kitu anachonunua ispokuwa ananunua ili kumpa kula muuzaji.

Eti daladala ya mbagala uikute kariakoo alafu uringe kupanda mida ya usiku kwa kutaka konda akupe good customer care aiseeeeeeeeee😂😂
Watu hawakuwasikiliza wahenga hadi mwisho siku wanazindua huo msemo. Sisi tuliokuwepo hadi mwisho wa kikao ni kwamba wahenga kwa pamoja walitoa azimio la kwamba "MTEJA NI MFALME KABLA HAJALIPA, BAADA YA KULIPA MTEJA NI TAKO TU"
 
Bongo customer care ni mbovu
Mimi mteja ndio bosi wako ninayekupa kula
Nikihamia kwa mwingine na wengine wakasepa si unakosa wateja?
 
Mkuu

Customers hasa wa Tanzania inabidi wajifunze kua wastaarabu

Businesses have the right kukuhudumia au kutokukuhudumia au pengine kukupiga ban usikanyage on their establishment milele na huna pa kushitaki popote

Vijisenti vyako visikufanye ukaanza kutukana na kudharau wanadamu wengine halafu eti wakuache hivi hivi

America kuna restaurants wanakuangalia tu ulivyokaa,kama hujafikia criteria zao hupati huduma,wanakurudishia mlangoni na huna pa kushitaki maana ni haki yao kufanya hayo maamuzi

Customers are so stupid kabisa
Akili yako ni ndogo sana sababu you think America ndio Kipimo cha kila jambo. All your stupid arguments and comments ni kwa muktadha wa America tuu...For your Info America siyo yote iliyostaarabika na Sio hata ushenzi ukifanywa America ionekane sawa. Do you understand little bway??
 
Unafeli kudhani eti ukiondoka eti biashara itakufa

Customers are so delusional to think this way

And funny thing is,people actually believe this nonsense aisee....so strange!

Ukiondoka wewe biashara haifi maana customers wapo wengine wengi wewe ni kitone ndani ya bahari

Shida ya mwanadamu ni kudhani dunia huanza na yeye na kuisha na yeye,anajiona yeye ndio customer mleta pesa hakuna wengine,which is a stupid lie!A

Nilishakua mpole tena jamani?

Nifafanulie nielewe....
Aisee wewe Acha kudanganya watu Kwa kusema eti akiondoka mteja mmoja anakuja mwingine, umewahi kujiuliza Kwa nini kwenye hotel nyingi dunia a repeating guest anakuwa treated kama VIP?
Ni Kwa sababu ya kanuni moja tu ya kibiashara kuwa alilidhika na huduma ndo maana akarudi na anauwezekano mkubwa wa kukuletea wateja wengine. Heshimu Sana MTU anaitwa mteja kwenye biashara.
Nasikitika kuona unaongea habari za biashara kirahisi Sana na bahati nzuri au mbaya umeitaja marekani, hakuna demanding guest kama American na Indian dunia nzima. Unless huko marekani wewe unafanya kazi kwenye home care ambako unasubiri wazee na matahira wajiharishie ukawasafishe, hapo kweli Una haki ya kusema akiondoka mmoja anakuja mwingine. Make watu wanazeeka kila wakati
 
Mkuu

Tunaiga America kila kitu ilichokifanya highest than anybody else

Is America perfect?No

Kama becon of everything a free human being is aspiring to be,America is no question,a country to copy and paste

Upumbavu wako peleka huko!

Tanzania ndio ya kukopi?Stop this nonsense

Ukitaka kukopi ujinga then kopi Tanzania na wenzake ulio nao kwenye bongo zenu zilizooza!

Ni Muktadha wa America ndio maana ndio the best country on earth,and this,there is no question!

Tunakopi number one country na sio number 2 au the bottom one on the shithole like TZ

Huyo ambae unamkopi wewe ni nani?China?Mavi matupu

Nitajie nchi ya kukopi ahead of USA?I'm listening,I'll wait!

Ndio,America tuu,una alternative unaweza tupa?Taja..Huna!

Blah blah blah

What I know wamestaarabika zaidi ya everybody else!

Nipo Germatown,Maryland,wewe na mimi nani anaijua America?

Taja alie mbele ya USA wa kukopi?Huna

Nonsense..I'm 6"6 with 7'2 wing span,Am I little to you?

Yaani hizi takataka bwana
Idiot! Shida yako kubwa ni exposure. Zaidi ya America kwingine wapi umeishi you Broke Ass Nigga!?
 
Aisee wewe Acha kudanganya watu Kwa kusema eti akiondoka mteja mmoja anakuja mwingine, umewahi kujiuliza Kwa nini kwenye hotel nyingi dunia a repeating guest anakuwa treated kama VIP?
Ni Kwa sababu ya kanuni moja tu ya kibiashara kuwa alilidhika na huduma ndo maana akarudi na anauwezekano mkubwa wa kukuletea wateja wengine. Heshimu Sana MTU anaitwa mteja kwenye biashara.
Nasikitika kuona unaongea habari za biashara kirahisi Sana na bahati nzuri au mbaya umeitaja marekani, hakuna demanding guest kama American na Indian dunia nzima. Unless huko marekani wewe unafanya kazi kwenye home care ambako unasubiri wazee na matahira wajiharishie ukawasafishe, hapo kweli Una haki ya kusema akiondoka mmoja anakuja mwingine. Make watu wanazeeka kila wakati
Huyo jamaa ni Boonge la Mshamba yani alafu ana stress za hatari yaani. You can see from his writting.
 
Hapo shida hakuna meneja mzuri.

Huduma nzuri kwa mteja kwenye hotel/baa unaiona mwenye mali/meneja akiwepo.
Unless mwenye mali/meneja anatembea na mhudumu husika hapo hakuna solution kwenye good customer service.
 
Back
Top Bottom