Wahudumu wa Shishi Food Dodoma wajifunze kauli nzuri kwa wateja

Wahudumu wa Shishi Food Dodoma wajifunze kauli nzuri kwa wateja

Uzi umejaa mapovu ya kutosha😂😂😂hadi Raha Yani, mtoa mada usirudi Tena hapo shishi food, hela ya kwako wasikusumbue kuitumia, mie ningeinuka muda huo huo na wasingeniona tena hapo, sinaga kuremba
 
Uzi umejaa mapovu ya kutosha[emoji23][emoji23][emoji23]hadi Raha Yani, mtoa mada usirudi Tena hapo shishi food, hela ya kwako wasikusumbue kuitumia, mie ningeinuka muda huo huo na wasingeniona tena hapo, sinaga kuremba
[emoji23][emoji23][emoji23] nilihamia Upande Wa Pili, Maana pembeni yake Kuna Bar
 
binafsi kuna baadhi ya maduka ukiingia, au hata migahawa, hawakuchangamkii, ni kama wameshiba hela. huwezi kuanza kuwagombeza kwasababu sio kazi yako, ni kazi ya mmiliki wa biashara hiyo, wewe nyanyuka nenda zako sehemu nyingine. kama hakuna namna unaona hakuna sehemu nyingine basi iwabembeleze wakuhudumie kwasababu una shida. ila kuanga kuwagombeza unakosa sababu, unawagombeze kwa sababu gani wakati haujawaajiri na huwalipi mshahara na hujui terms and conditions za employment walizonazo na boss wao? kazi hiyo mwachie boss wao au omba kuonana na boss wao ndio awagombeze, usiingilie kazi za wengine.
Kwakweli hata Hawa watu wa MPESA, TIGO PESA and the like, unaenda unamsalimia haitiki anakuangalia tu, unamuuliza unataka kuweka fedha anakujibu baada ya dakika 2. Duu huwa naondoka aise. Naheshimu sana fedha yangu and huwa sikubali kabisa kubagazwa(in kabudi' voice) wakati fedha ni yangu.
 
Lakini kuna wateja hawo, wasikie tu kwa jirani...wateja wengine wanapenda kuhangaisha wahudumu kisa tu wanalipia huduma fulani basi watawahangaisha mpaka muhudumu anabadili mtizamo kuhusu hio huduma.

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
Mteja msumbufu ni hasara

Ni wa kutupa huko

Hii fear mnayotambaza hapa ni kwenu nyie ambao si wafanyabiashara

Kwa wafanyabiashara wazoefu wateja kila siku wanaondoka na wanaongezwa wengine wapya

Hii mambo ya kukaa na mteja anakudharau hadi usoni huyo ni wa kutupa kama inavyotakiwa
Wewe hamnazo kweli nakuja kufata huduma unachukua mda mrefu huji then mteja msumbufu una mlaumu kumbe na wewe uko hovyo hivo aisee. Nadhani hata genge huna unabisha kufuraisha waja humu jf.
 
Ila kuna watu wakishapata wateja wanajisahau sana na kuamini kila siku wapo. Akija kufungua mwingine pembeni akawa na lugha nzuri na mshap unaanza kusema kakuloga, kumbe kakuloga kwa customer care nzuri na ushap kwa wateja.

Kaeni mkijua biashara yoyote isiyokuwa na upinzani mteja huwa anaonekana fala sababu hana pa kwenda.

Angalieni mfano wa TANESCO,



Kuna watu wanaitumia vibaya ile slogan ya Mteja ni mfalme.
 
fahamuni kwamba kuna Serikali ambayo pamoja na mambo yooote haiwezi kukubali kushinikizwa na mtu yeyote au nchi yeyote, mkitaka kulazimisha hilo ndio mtakuwa mnaharibu. Samia ni mkubwa kuliko ubalozi wa marekani, ni mkubwa kuliko wana harakati, ni mkubwa kuliko cnn na bbc. ukimheshimu utapokea heshima, ukimdharau ukitegemea huruma za mabeberu utalala sero. ndio maana tunataka kujitegemea kwasababu mabeberu wenyewe hawana faida, tupige tozo ya uzalendo tupate hela yetu ili tujiendeshe kuliko kusubiria mabwana zetu walete misaada.
Low thinking capacity
 
Ila kuna watu wakishapata wateja wanajisahau sana na kuamini kila siku wapo. Akija kufungua mwingine pembeni akawa na lugha nzuri na mshap unaanza kusema kakuloga, kumbe kakuloga kwa customer care nzuri na ushap kwa wateja.

Kaeni mkijua biashara yoyote isiyokuwa na upinzani mteja huwa anaonekana fala sababu hana pa kwenda.

Angalieni mfano wa TANESCO,
Sahihi kabisa Mkuu.
 
the same goes hand in hand na ubora wa huduma, ukiwa na huduma bora hata ukiwa na wahudumu wabovu watu watakuja tu, na ukiwa na wahudumu wazuri na bidhaa iyoyo na ubora wahudumu hata watangaze haitasaidia. hata hivyo, kuwa na bidhaa bora ikiambatana na wahudumu wanaojua custumer care nzuri ni muhimu. hii ndio iwe hoja.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwa niaba ya shishi food nimesoma comment zenu zote nyingine za kutia moyo nyingine za kuvunja moyo ila nimeshalifanyia kazi hapa nilipo naelekea babati haidom kuchukua wahudumu wapya naimani ukija tena hutokutana na ile kero ya mwanzo na pia jumapili hii uje ule biriani bure kwa umbea wako
 
ndio maujinga ya wahudumu wa dodoma anazoea wateja shish alete wat kutok mikoa mibgine sio wa hapo hao watoto wajibga sana
 
Its so strange,customers are so stupid they think they can just bully businesses just because they are customers!

Customers think they can just act like jerks eti because they happen to be called customers!

Give me a break!

Who do you think is willing to be jerked on by you Mr customer because you will pay some little money to buy my products?

Get the fvck outta here with your stupidity and vijisenti uchwara....go eat somewhere else!
😀 😀 😀 😀
Gerara here.
 
Kwa niaba ya shishi food nimesoma comment zenu zote nyingine za kutia moyo nyingine za kuvunja moyo ila nimeshalifanyia kazi hapa nilipo naelekea babati haidom kuchukua wahudumu wapya naimani ukija tena hutokutana na ile kero ya mwanzo na pia jumapili hii uje ule biriani bure kwa umbea wako
Huko Babati unakoenda kuchukua wafanyakazi usitusahau na sisi wateja wenu tunaopenda kuhudumiwa na Wanawake bikra.!
 
Jana nilienda kula chakula cha mchana pale Shishi Food Dodoma.

Wakati nafika nikamkuta jamaa analumbana na mhudumu kisa amemuita aje kumhudumia akamjibu nakuja lakini hakuja ontime, kwa maana alikuja amechelewa na akamjibu majibu ambayo sio mazuri

The same kwangu pia maana niliketi more than 5 minutes wala sioni mhudumu, akaja badae sana tena kwa mwendo anaoutaka yeye.

Wakuu kama unamiliki biashara hakikisha customer care nzuri ni endelevu.

Tuache tabia kwamba ukishapata loyal customers basi unarelax kwamba watakuja tuu.

Always remember to add value to your product and service.

Shishi ajifunze kwamba Customers always demand for more
Niliwahi kuagiza chakula nikiwa hotelini Dar es salaam, hoteli yenyewe hawapiki ila wanakupa namba ya Hawa watoa huduma ya vyakula vya take way and delivering! nikapewa number ya shish food na nilikuwa na hamu sana nionje chaula chake.
Kiukweli mpokeaji simu hakuwa na majibu mazuri, pili chakula kilifika cha baridi sana, tatu usumbufu wa mletaji mara aseme kudeliver bei ni hii lakini alipofika akanichaji bei kubwa Zaidi ya chakula nilichoagiza!
Nimshauri dada shilole - Epuka kuajiri washikaji, Ili biashara yako idumu usichekecheke na kujenga mazoea na staff wako, weka managent strong na staff wenye wito na kazi hiyo!
Wish all the best Shilole!
 
Kauli ya mteja ni mfalme inatafsiriwa vibaya kwetu sisi watanzania kiasi kwamba mteja wa aina yetu akiwa na pesa zake nyingi za kutumia atawapelekesha wahudumu kisa tu yeye analipia. Kwa wale wenye biashara zao hapa Tanzania wanaelewa nini namaanisha.

Mfano mzuri ni madereva na mkondakta wa dala dala, tabia zao zinafanana na Watu aina ya changumi, matusi mengi tu mdomoni yanasubiri mteja amchanganye yaanze kutoka wangu wangu.. ukweli ni kuwa wanageuka kuwa watata kwa sababu ya kauli za wateja.... Kuna mahali niliwahi kwenda kwenye hotel moja, langoni yuko baunza anayechuja wateja, akikuotea huruhusiwi kuingia.....atasingizia kitu kama mavazi kuwa hairuhusiwi.
 
Tatizo lenu mmawatongoza!! Mbona mi nikifika wananihudumia chap
 
Back
Top Bottom