Wahudumu wa Shishi Food Dodoma wajifunze kauli nzuri kwa wateja

Wahudumu wa Shishi Food Dodoma wajifunze kauli nzuri kwa wateja

Mleta mada hujawahi kwenda mahoteli makubwa wewe. Ukifika migahawa mikubwa lazma upumzike hata dk 3 au 4 ndio usikilizwe. Unaharaka endapo unabeba msosi ukalie nyumbani.
 
Kunq mteja pasua kichwa/kuna mhudumu pasua kichwa.
Ila mimi niende mahala nakaa dk5 hamna wa kunihudumia mpaka nianze oyaaa!! nawabembeleza nini [emoji2][emoji2] nasepa kimya kimya
-Au niende dukani mtu sio mchangamfu hata kama kitu nimekipendaje naacha.
Haiwezekani pesa yangu halafu initese
We kiboko...unaacha hata kama umekipenda
 
Si kweli

Sometimes customers need to act decently and with respect to other human beings

Hii tabia ya customer kudhani he can just go totally ape on other human beings sababu tu eti ni customer

Those are customers I usually shoot down and return their stupid money and tell em not to ever cross my establishment

Fvck em!

Na ni funny,the most poorest customers are the most noisy and jerks,toss em up...
Nakerwa sana na watu mnaochanganya lugha. Uzi wa kiswahili kwann ucomment kiingereza?
 
Ukiwa na biashara ya mgahawa weka wanaume. Mara nyingi kwenye kuserve. Wanawake waweke mapokezi na vinywaji wachache ambao wako fasta, smart na charming.
 
Si kweli

Sometimes customers need to act decently and with respect to other human beings

Hii tabia ya customer kudhani he can just go totally ape on other human beings sababu tu eti ni customer

Those are customers I usually shoot down and return their stupid money and tell em not to ever cross my establishment

Fvck em!

Na ni funny,the most poorest customers are the most noisy and jerks,toss em up...
Fukc you too sweet Wyatt
 
Ukiwa na biashara ya mgahawa weka wanaume. Mara nyingi kwenye kuserve. Wanawake waweke mapokezi na vinywaji wachache ambao wako fasta, smart na charming.

ufalme wa mteja na wenyewe una mipaka yake. Inahitaji kiwango kikubwa sana cha uvumilivu kwa mfanyabiashara au mtoa huduma kumvumilia mteja asiye na nidhamu na asiyetambua mipaka yake.
 
Wengi wenu hamwendi kula chakula bali mnavizia kula mademu wahudumu
Jana nilienda kula chakula cha mchana pale Shishi Food Dodoma.

Wakati nafika nikamkuta jamaa analumbana na mhudumu kisa amemuita aje kumhudumia akamjibu nakuja lakini hakuja ontime, kwa maana alikuja amechelewa na akamjibu majibu ambayo sio mazuri

The same kwangu pia maana niliketi more than 5 minutes wala sioni mhudumu, akaja badae sana tena kwa mwendo anaoutaka yeye.

Wakuu kama unamiliki biashara hakikisha customer care nzuri ni endelevu.

Tuache tabia kwamba ukishapata loyal customers basi unarelax kwamba watakuja tuu.

Always remember to add value to your product and service.

Shishi ajifunze kwamba Customers always demand for more
 
Ni maajabu sana unapotaka kupakaza dunia nzima ifate your incompetence ya kutokujua Kingereza basi maiti wote duniani tuongee Kiswahili kukuridhisha wewe mfalme Juha?

Wewe kutokujua Kingereza ni shida yako binafsi,pita kwenye comments za Kiswahili

Stop complaining,kajifunze Kingereza huko,huwezi,then kalime huko na uongee Kiswahili na Waswahili wenzio,usitulazimishe

Fvck outta here!
Najipongeza kwa kukufanya kwenye comment yako yenye matusi utumie kiswahili sehemu kubwa. Ninaposema uandike kiswahili sio kwamba sijui vizuri kiingereza.... mama yako ni shahidi mzuri wa hili.
 
Ni maajabu sana unapotaka kupakaza dunia nzima ifate your incompetence ya kutokujua Kingereza basi maiti wote duniani tuongee Kiswahili kukuridhisha wewe mfalme Juha?

Wewe kutokujua Kingereza ni shida yako binafsi,pita kwenye comments za Kiswahili

Stop complaining,kajifunze Kingereza huko,huwezi,then kalime huko na uongee Kiswahili na Waswahili wenzio,usitulazimishe

Fvck outta here!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787] kudadadekki
 
Nikiwa nina hela au sina hela hivi wewe unanitakia nini?

Unaona wivu mtu akiwa na hela?

Too bad I cant help you

Ni juhudi zako wewe binafsi kua masikini,sijakusaidia kua masikini

Biashara zangu hazikuhusu,wewe sio partner au shareholder kwenye makampuni yangu,sasa sijui unayaulizia wewe kama nani?

Nenda kafanye kazi huko ujitoe kwenye umasikini uliomo!
Ninl juhudi zako binafsi za kuwa masikini
 
binafsi kuna baadhi ya maduka ukiingia, au hata migahawa, hawakuchangamkii, ni kama wameshiba hela. huwezi kuanza kuwagombeza kwasababu sio kazi yako, ni kazi ya mmiliki wa biashara hiyo, wewe nyanyuka nenda zako sehemu nyingine. kama hakuna namna unaona hakuna sehemu nyingine basi iwabembeleze wakuhudumie kwasababu una shida. ila kuanga kuwagombeza unakosa sababu, unawagombeze kwa sababu gani wakati haujawaajiri na huwalipi mshahara na hujui terms and conditions za employment walizonazo na boss wao? kazi hiyo mwachie boss wao au omba kuonana na boss wao ndio awagombeze, usiingilie kazi za wengine.
Uchangamkiwe wewe Nenda Uchangamkiwe na mzazi wako
 
Its so strange,customers are so stupid they think they can just bully businesses just because they are customers!

Customers think they can just act like jerks eti because they happen to be called customers!

Give me a break!

Who do you think is willing to be jerked on by you Mr customer because you will pay some little money to buy my products?

Get the fvck outta here with your stupidity and vijisenti uchwara....go eat somewhere else!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16]

Saint Anne
 
Wee ndio una matatizo

Matatizo yako ni makubwa sana kudhani wanadamu wote tuongee vitu unavyopenda wewe

Yaani wewe unadhani stress wanapata wale wanadamu wanao ongea vitu usivyovipenda wewe binafsi

Punguza ungese,kila mwanadamu awe huru kuongea anachotaka!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16]asee
 
Jana nilienda kula chakula cha mchana pale Shishi Food Dodoma.

Wakati nafika nikamkuta jamaa analumbana na mhudumu kisa amemuita aje kumhudumia akamjibu nakuja lakini hakuja ontime, kwa maana alikuja amechelewa na akamjibu majibu ambayo sio mazuri

The same kwangu pia maana niliketi more than 5 minutes wala sioni mhudumu, akaja badae sana tena kwa mwendo anaoutaka yeye.

Wakuu kama unamiliki biashara hakikisha customer care nzuri ni endelevu.

Tuache tabia kwamba ukishapata loyal customers basi unarelax kwamba watakuja tuu.

Always remember to add value to your product and service.

Shishi ajifunze kwamba Customers always demand for more
Wewe ni mgeni ndo maana Sisi tunaokula mara kwa mara hatuna shida na namba za wahudumu tunazo na mmoja wapo huwa ndo ametokea hapa kunifanyia usafi geto na kunitengea chai.Shukrani sana Shishi food kwa wahudumu hawa😋
 
Back
Top Bottom