Wahudumu wa Shishi Food Dodoma wajifunze kauli nzuri kwa wateja

Wahudumu wa Shishi Food Dodoma wajifunze kauli nzuri kwa wateja

Biashara kufa ni ubongo mbovu wa mwenye biashara wala sio "Customer Care" bullshit you are talking about here!

Mteja hanunui kitu kwako sababu unaongea kama unatombana chumbani

Mteja ananunua bidhaa sababu hiyo bidhaa ina vigezo anavyovitaka yeye

Mengine hata kuonana na mhudumu haina haja

Itafika kipindi biashara zote zitakua ni self service hutakaa uonane hata na secretary popote
huu ndio ukweli. biashara kama ni bora, inaanza yenyewe kujiuza kabla wahudumu hawajakubembeleza.
 
Biashara kufa ni ubongo mbovu wa mwenye biashara wala sio "Customer Care" bullshit you are talking about here!

Mteja hanunui kitu kwako sababu unaongea kama unatombana chumbani

Mteja ananunua bidhaa sababu hiyo bidhaa ina vigezo anavyovitaka yeye

Mengine hata kuonana na mhudumu haina haja

Itafika kipindi biashara zote zitakua ni self service hutakaa uonane hata na secretary popote
Kasitama Kea Neva Dai Wa Kwetu, Hii Habari Ya Kusema Ubora Wa Bidhaa Ndio Kila Kitu Tunadanganyana TU.
 
Kwa muandika uzi hebu lets think Positive kias maybe mdada alikuwa amechoka since Shishi food iko busy sana baada ya kuchelewa ungempa pole ya kazi na kumuuliza mbona amechelewa kukuhudumia na kwa nini watu wanagombana halafu baada ya hapo ndo ukaanzisha uzi unahisi ungekua na content hizihizi🤔
Kila mtu kachoka hata mteja anachoka,utafute hela kwa shida then nikubembeleze?tatizo shishi food wanajiona masuper star
 
fahamuni kwamba kuna Serikali ambayo pamoja na mambo yooote haiwezi kukubali kushinikizwa na mtu yeyote au nchi yeyote, mkitaka kulazimisha hilo ndio mtakuwa mnaharibu. Samia ni mkubwa kuliko ubalozi wa marekani, ni mkubwa kuliko wana harakati, ni mkubwa kuliko cnn na bbc. ukimheshimu utapokea heshima, ukimdharau ukitegemea huruma za mabeberu utalala sero. ndio maana tunataka kujitegemea kwasababu mabeberu wenyewe hawana faida, tupige tozo ya uzalendo tupate hela yetu ili tujiendeshe kuliko kusubiria mabwana zetu walete misaada.
 
Poor chapwa!!

Boss ni mteja. Bila huyo hakuna income utapata. The shops,hotels or whatever they don't exist for the sake of their own bosses or their workers. They exist for the sake of customers..

Kwa ujumla Tanzania tuko nyuma kwa suala la customer care services na lugha zetu kwa wateja. Ndio maana kuna wakati ukienda kwenye hizi hotel kubwa kubwa utakutana na customer care kutoka nchi jirani.
Watanzania wengi uelewa wao mdogo, elimu ndogo, exposure ndogo utajipa tabu tu kubishana nao
 
Kila mtu kachoka hata mteja anachoka,utafute hela kwa shida then nikubembeleze?tatizo shishi food wanajiona masuper star
Huez kumfundisha kupenda mtu anaekuchukia kwa kumchukia Bali ni kwa kumpenda so ukikuta negativity wewe add Positivity kwa wahudumu na wao watajifunza kupitia wewe kujua makosa yao na kua positive katika kazi kumbuka ukimtakia mema binadamu mwenzako automatic unaongezewa neema that's law of nature seems like sisi wateja t unajua vizur customer care service klko wahudumu so ni vyema kuwaeleza with love 💗
NB: DAWA YA MOTO SI MOTO
 
Huez kumfundisha kupenda mtu anaekuchukia kwa kumchukia Bali ni kwa kumpenda so ukikuta negativity wewe add Positivity kwa wahudumu na wao watajifunza kupitia wewe kujua makosa yao na kua positive katika kazi kumbuka ukimtakia mema binadamu mwenzako automatic unaongezewa neema that's law of nature seems like sisi wateja t unajua vizur customer care service klko wahudumu so ni vyema kuwaeleza with love 💗
NB: DAWA YA MOTO SI MOTO
Kazi ya uhudumu haitaki mtu mchafu,kiburi,mwenye stress au mgonjwa.ni kazi ngumu sana ukifukuza mteja mmoja atawaambie wengine kuwa pale hapafai utashangaa uwekezaji mkubwa kakini hakuna brwak even
 
Kazi ya uhudumu haitaki mtu mchafu,kiburi,mwenye stress au mgonjwa.ni kazi ngumu sana ukifukuza mteja mmoja atawaambie wengine kuwa pale hapafai utashangaa uwekezaji mkubwa kakini hakuna brwak even
the same goes hand in hand na ubora wa huduma, ukiwa na huduma bora hata ukiwa na wahudumu wabovu watu watakuja tu, na ukiwa na wahudumu wazuri na bidhaa iyoyo na ubora wahudumu hata watangaze haitasaidia. hata hivyo, kuwa na bidhaa bora ikiambatana na wahudumu wanaojua custumer care nzuri ni muhimu. hii ndio iwe hoja.
 
the same goes hand in hand na ubora wa huduma, ukiwa na huduma bora hata ukiwa na wahudumu wabovu watu watakuja tu, na ukiwa na wahudumu wazuri na bidhaa iyoyo na ubora wahudumu hata watangaze haitasaidia. hata hivyo, kuwa na bidhaa bora ikiambatana na wahudumu wanaojua custumer care nzuri ni muhimu. hii ndio iwe hoja.
Labda kama biashara yako ni kuchapisha pesa ndugu! Yaani kwamba una bidhaa bora halafu wahudumu wabovu wateja watakuja tu?????

Only in monopoly economy, Tutakuvumilia kama tunavyoivumilia Tanesco na wenzake kama hao. Otherwise kwenye hii dunia ya competition jua tu kuwa biashara kama yako ziko zingine zaidi ya elfu 1.

Hata hivyo kwa huduma za bongo hata ukiwa mteja inabidi tu ujifunze uvumilivu ama sivyo kila siku people will ruin you day.
 
the same goes hand in hand na ubora wa huduma, ukiwa na huduma bora hata ukiwa na wahudumu wabovu watu watakuja tu,
Hapa ndio umekosea we hujawahi fanya biashara ndugu.huduma bora hiyo ikoje bila wahudumu wanaojitambua
 
Hapa ndio umekosea we hujawahi fanya biashara ndugu.huduma bora hiyo ikoje bila wahudumu wanaojitambua
i think nilitaka kumaanisha "bidhaa bora". ukiwa hapo nyuma ya key board unaweza kuamini mwenzako hajawahi fanya biashara, kumbe hujui usichojua. ngoja tuliache hilo uendelee na theory zenu za class. ukifika mda wa kuja mtaani tutaelewana tu.
 
Kwahyo alikua anakuja kwa mwendo anaoutaka yy ww ulitaka akimbie kama kaona joka.
 
Jana nilienda kula chakula cha mchana pale Shishi Food Dodoma.

Wakati nafika nikamkuta jamaa analumbana na mhudumu kisa amemuita aje kumhudumia akamjibu nakuja lakini hakuja ontime, kwa maana alikuja amechelewa na akamjibu majibu ambayo sio mazuri

The same kwangu pia maana niliketi more than 5 minutes wala sioni mhudumu, akaja badae sana tena kwa mwendo anaoutaka yeye.

Wakuu kama unamiliki biashara hakikisha customer care nzuri ni endelevu.

Tuache tabia kwamba ukishapata loyal customers basi unarelax kwamba watakuja tuu.
C
Always remember to add value to your product and service.

Shishi ajifunze kwamba Customers always demand for more
Hio biashara itakufa.
Mteja ni kama yai.
Inabidi shishi awe na ongoing training
 
i think nilitaka kumaanisha "bidhaa bora". ukiwa hapo nyuma ya key board unaweza kuamini mwenzako hajawahi fanya biashara, kumbe hujui usichojua. ngoja tuliache hilo uendelee na theory zenu za class. ukifika mda wa kuja mtaani tutaelewana tu.
Class gani mzee mi nimeshafanya biashara zaidi ya ishirini.na nimeshafanya kazi za sales,customer service pia naelewa.bidhaa bora hiyo ni ipi ambayo unayo wewe tu.
 
Biashara kufa ni ubongo mbovu wa mwenye biashara wala sio "Customer Care" bullshit you are talking about here!

Mteja hanunui kitu kwako sababu unaongea kama unatombana chumbani

Mteja ananunua bidhaa sababu hiyo bidhaa ina vigezo anavyovitaka yeye

Mengine hata kuonana na mhudumu haina haja

Itafika kipindi biashara zote zitakua ni self service hutakaa uonane hata na secretary popote
Wewe fala usizoee, that's was just my opinions, mbona unatoa lugha ya matusi, kwenye comment yangu uneona tusi lolote ? Halafu wewe unaonekana ni mshamba flani umekuja mjini ukubwani
 
Basi watakuwa wanafanya kazi kwa mazoea
Na kuangalia sura

Ova
 
Back
Top Bottom