Wahudumu wa Shishi Food Dodoma wajifunze kauli nzuri kwa wateja

Wahudumu wa Shishi Food Dodoma wajifunze kauli nzuri kwa wateja

Hujatukanwa,nimetukana hoja yako

Hoja sio mtu...

Plus,usitukanwe wewe nani?Ukitukanwa na wewe tukana au kama vipi potezea

Unapaniki kama umetombewa mke bwana!

Kumbe wewe ulikuja town ukiwa mdogo?Mimi nimezaliwa town sijawa kuja

Wewe ndio wa kuja umetukuta sisi wazawa!
Wewe mbwiga tu achana na mimi
 
Jana nilienda kula chakula cha mchana pale Shishi Food Dodoma.

Wakati nafika nikamkuta jamaa analumbana na mhudumu kisa amemuita aje kumhudumia akamjibu nakuja lakini hakuja ontime, kwa maana alikuja amechelewa na akamjibu majibu ambayo sio mazuri

The same kwangu pia maana niliketi more than 5 minutes wala sioni mhudumu, akaja badae sana tena kwa mwendo anaoutaka yeye.

Wakuu kama unamiliki biashara hakikisha customer care nzuri ni endelevu.

Tuache tabia kwamba ukishapata loyal customers basi unarelax kwamba watakuja tuu.

Always remember to add value to your product and service.

Shishi ajifunze kwamba Customers always demand for more

Usikute Shishi hajui ,wahudumu wanamuangusha sana Dada Mpambanaji Shishi.

Ila baadhi ya wafanyabiashara hawana customer care kabisa , juzi nilitaka kununua machungwa kwa ajili ya kuongeza kinga(vitamin C) , sasa yale niliyoyakuta yamemenywa yamepigwa na vumbi na kukauka sijayataka nikachagua mengine nikamwambia animenyee ,yule muuzaji akasema kama nikichagua mwenyewe inamaana naenda kuyamenya nyumbani hawezi kumenya,aisee nilishangaa sana ,hapo hapo nikayarudisha yote nikaenda sehemu nyingine! Yaani Wabongo akishapata wateja anaaza kuzembea.
 
Ni kweli wanaweza kuwa na makosa ya hapa na pale na kibaya zaidi ni pale hayo makosa yanapojirudia

Kwa upande wa wateja nako kunakuwa na stress za hapa na pale kitu kinachoawafanya kijiona kama wanadharauliwa

Ombi langu kila mmoja kwa upande wake anapaswa kujitathmini kwani upya ili kuona kwamba makosa yenye uwezekano wa kutatuliwa basi yanarekebishwa kwa msimamo wa faida ili jamii iendelee
 
Muwe mnawatongoza hao wahudumu wapate hata pesa ya kuendesha maisha yao,hivyo vijimishahara bado ni vidogo sana na wanakuwa na full stress.
Muwasaidie tu kuwala kiroho safi.
 
Class gani mzee mi nimeshafanya biashara zaidi ya ishirini.na nimeshafanya kazi za sales,customer service pia naelewa.bidhaa bora hiyo ni ipi ambayo unayo wewe tu.
na umefeli biashara zote, hahahaha
 
Jana nilienda kula chakula cha mchana pale Shishi Food Dodoma.

Wakati nafika nikamkuta jamaa analumbana na mhudumu kisa amemuita aje kumhudumia akamjibu nakuja lakini hakuja ontime, kwa maana alikuja amechelewa na akamjibu majibu ambayo sio mazuri

The same kwangu pia maana niliketi more than 5 minutes wala sioni mhudumu, akaja badae sana tena kwa mwendo anaoutaka yeye.

Wakuu kama unamiliki biashara hakikisha customer care nzuri ni endelevu.

Tuache tabia kwamba ukishapata loyal customers basi unarelax kwamba watakuja tuu.

Always remember to add value to your product and service.

Shishi ajifunze kwamba Customers always demand for more
wateja wengi wanawaoneaga sana wahudumu hasa wa chakula mie kuna siku nilimtwanga ngumi mtu kisa kulazmisha kumshka tako dada wa watu
 
Kuna baadhi wa watu wakifika sehemu ya kupewa huduma huwa ni pasua kichwa. Lugha chafu ,amri kama gwaride la jeshi, kejeli za kutosha halafu anaongea kwa kupayuka, shida kubwa!

Ni muhimu kuwa waungwana kwa pande zote mbili yaani mhudumu na mteja.

Hivi, kama hela yako unaiona mali saaaana kwanini usiitafune ukashiba ukaendelea na ratiba zako!? Huduma ni kubadilishana. Unapewa chakula / kinywaji nawe unatoa hela kiungwana tu mnamalizana.

NB; Ni kweli baadhi ya wahudumu huwa hawajakidhi vigezo vya kumkarimu mteja
 
Amina matajiri wengi walifeli sana ila hawakukoma,kuna business nimeanzisha inaonekana ya kijinga ila itanitoa kimaistuonge

Amina matajiri wengi walifeli sana ila hawakukoma,kuna business nimeanzisha inaonekana ya kijinga ila itanitoa kimaisha
there are times tunaongea kama utani, but tukija kwenye point ya kweli, Mungu kaweka siku kila mtu atafanikiwa, shetani ndio huwa anaturudisha nyuma ila kuna siku ikifika Mungu akatibua maji, hata shetani afanyeje mtu huwa anatoboa tu. cha muhimu ni kuendelea kupambana na kutokata tamaa kwasababu anayeanguka mara nyingi akija kusimama huwa haanguki tena. kila tunachopitia hapa duniani ni shule. wengi hata kwa hapa tulipofikia tunashukuru Mungu, ni kwa neema yake tu, kwasababu kama ningesema niandike kitabu cha historia, nilishindwa nikadharauliwa hadi na watoto wadogo, pesa imekata, nikaanza mdogomdogo, siku Mungu alipokuja kufungua mlango shetani anajaribu kufung akila siku anashindwa, amebaki kushambulia matunda tu ila mti ameshindwa kuukata. God's time is better, hii ni kwa kila anayesoma hapa.

there are times unaweza kuwa na mtaji na ujuzi na kila kitu, lakini kwenye ulimwengu wa roho milango haijafunguka, utapoteza tu hela yako. ila Mungu akiweka tiki kwenye ulimwengu wa roho, unateleza tu milango na watu waliofanikiwa wanakutafuta, sio wewe kuwatafuta tena. cha muhimu hapo ni kumtafuta mwenye uwezo kufungua milango, Mungu ndiye anaweza na ana ijara yake, shetani pia ukienda ana ijara/ujira wake (roho yako au za watoto wako), Mungu anasema bali utafuteni kwanza ufalme wake na haki yake na hayo yote mtazidishiwa, wengi tumetafuta sana maisha huko duniani tukapata lakini baadaye shetani akachukua vyake vyote na matatizo juu, tulipokimbilia kwa Mungu kwa principle hii alirudisha miaka yetu yote iliyoliwa na madumadu na parare. nilikuwa siamini hii principle hadi iliponikuta. Asante Yesu.
 
there are times tunaongea kama utani, but tukija kwenye point ya kweli, Mungu kaweka siku kila mtu atafanikiwa, shetani ndio huwa anaturudisha nyuma ila kuna siku ikifika Mungu akatibua maji, hata shetani afanyeje mtu huwa anatoboa tu. cha muhimu ni kuendelea kupambana na kutokata tamaa kwasababu anayeanguka mara nyingi akija kusimama huwa haanguki tena. kila tunachopitia hapa duniani ni shule. wengi hata kwa hapa tulipofikia tunashukuru Mungu, ni kwa neema yake tu, kwasababu kama ningesema niandike kitabu cha historia, nilishindwa nikadharauliwa hadi na watoto wadogo, pesa imekata, nikaanza mdogomdogo, siku Mungu alipokuja kufungua mlango shetani anajaribu kufung akila siku anashindwa, amebaki kushambulia matunda tu ila mti ameshindwa kuukata. God's time is better, hii ni kwa kila anayesoma hapa.

there are times unaweza kuwa na mtaji na ujuzi na kila kitu, lakini kwenye ulimwengu wa roho milango haijafunguka, utapoteza tu hela yako. ila Mungu akiweka tiki kwenye ulimwengu wa roho, unateleza tu milango na watu waliofanikiwa wanakutafuta, sio wewe kuwatafuta tena. cha muhimu hapo ni kumtafuta mwenye uwezo kufungua milango, Mungu ndiye anaweza na ana ijara yake, shetani pia ukienda ana ijara/ujira wake (roho yako au za watoto wako), Mungu anasema bali utafuteni kwanza ufalme wake na haki yake na hayo yote mtazidishiwa, wengi tumetafuta sana maisha huko duniani tukapata lakini baadaye shetani akachukua vyake vyote na matatizo juu, tulipokimbilia kwa Mungu kwa principle hii alirudisha miaka yetu yote iliyoliwa na madumadu na parare. nilikuwa siamini hii principle hadi iliponikuta. Asante Yesu.
Umeongea maneno mazito na ya ukweli mtupu kikubwa ni kumtumaini Mungu na kuendelea kupambana tu
 
Regardless, mpunguze malalamiko

Ndio maana kuna option ya choice, nenda pengine

Still unalalamika as if they owe you anything

Wateja wa type zenu mnajulikana, wapumbavu sana, mnapenda kushow people what power you have, halafu hua hamna hela, ni makelele tu yasiyo na maana
We jamaa unajifanya una hela huenda huna ata biashara unajimwambafai tu
 
Ila wateja wengine wa chakula Wana gubu sn..unaweza kufika mgahawani unakuta wateja wengine wanahudumiwa lkn unalazimisha uhudumiwe wewe,matokeo yake mnakwaruzana na wahudumu

NB :Mimi siyo mhudumu wa shishi food
Ukiamua kutoa huduma lazima ujifunze kuvumilia tabia za wateja. Wateja sio family members kwamba watakuja kama unavyotaka
 
Si kweli

Sometimes customers need to act decently and with respect to other human beings

Hii tabia ya customer kudhani he can just go totally ape on other human beings sababu tu eti ni customer

Those are customers I usually shoot down and return their stupid money and tell em not to ever cross my establishment

Fvck em!

Na ni funny,the most poorest customers are the most noisy and jerks,toss em up...
Wooii
 
Nikiwa nina hela au sina hela hivi wewe unanitakia nini?

Unaona wivu mtu akiwa na hela?

Too bad I cant help you

Ni juhudi zako wewe binafsi kua masikini,sijakusaidia kua masikini

Biashara zangu hazikuhusu,wewe sio partner au shareholder kwenye makampuni yangu,sasa sijui unayaulizia wewe kama nani?

Nenda kafanye kazi huko ujitoe kwenye umasikini uliomo!
Naomba kazi boss
 
Back
Top Bottom