Wahudumu wa Shishi Food Dodoma wajifunze kauli nzuri kwa wateja

Wahudumu wa Shishi Food Dodoma wajifunze kauli nzuri kwa wateja

We upeo wako wa mambo ni mdogo sana

Hujui ubovu wa customer care una athari kiuchumi kwa nchi?

Leo hii kuna watalii hawataki kuja tanzania sababu ya huduma mbovu unadhani serikali inakosa mapato kiasi gani kwa sababu ya huduma mbovu kwenye sekta ya utalii?

Huo mgahawa wa shishi food ni sehemu ya washika dau wa uchumi wetu bila kujali mchango wao mdogo kiasi gani coz wameajiri na wanatoa huduma ambao ina mchango kwenye uchumi. Sasa leo mgahawa ufungwe kwa sababu ya huduma mbovu huoni kwa namna moja au nyingine itaathiri uchumi sasa just imagine migahawa 200 ifungwe kwa staili hiyo hiyo km shishi food serikali itakosa mapato kiasi gn? Na ajira je?

Marekani leo hii ni taifa kubwa kiuchumi duniani sababu limewekeza heavily kwenye " customer care " ndio maana leo wana migahawa dunia nzima na wanaiingizia nchi yao mabilioni ya pesa

Sasa nyie kutwa mnatetea upumbavu wa huduma mbovu halafu mnajiona mpo sawa

Lack of exposure ndio tatizo lako

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
ni customer care ya wafanyakazi wako? mbona mmbeya mmbeya unapenda kufuatilia biashara za watu?
 
Good communication is the key element of a good customer care. Mfano ukisubiri dakika tano bila mhudumu kukuongelesha, anapofika na kukupa pole kwa kusubiri na sababu ya kuchelewa kwake. Hai hujui hata dakika mbili kufanya haya.
Hahahah wabongo wanafanya kazi ili walipe bills zao waweze kuendesha maisha tu ila kuhusu biashara yako they don’t give a flying fuc as long as you pay them😅!

Ni ngumu sana kumpata mtu kwa makubaliano afanye kazi kwa commission bongo! Watu wana shida ya kazi ila ukileta story za commission tu humpati mtu😅
 
hivi kweli mnafikiri ni fair kuja hapa kujadili biashara ya mtu bila kujiridhisha kama mleta mada ni adui wa kibiashara wa mhusika, au kama anasema uongo au ukweli? halafu hawa wateja wenye stress ndio huwa wanasumbua sana wafanyakazi wetu.
 
Unabisha nini mzee?

Unabisha kwamba hakuna customers kukaa nao ni gharama zaidi ya kutafuta mwingine?

Yaani gharama ya kupata customer mwingine ni ndogo kuliko gharama ya kukaa na current customer,yaani unabisha hili?

Kuna customers wengine ni hasara,huwezi bisha hili!
Customer haiwezi kuwa hasara kama wewe umeshindwa ku meet expected standards za huduma zako.

Mteja ameingia hotelini, amekaa dakika tano bila kusikilizwa, hata aliposikilizwa bado huduma ilichelewa. Kama haijatosha Mhudumu na mteja wamejibizana.😂😂

Kwa hali hiyo unadhani nani ni mzigo kati mteja na mwenye huduma.
 
ni customer care ya wafanyakazi wako? mbona mmbeya mmbeya unapenda kufuatilia biashara za watu?
Huna exposure na hilo ndio tatizo lako

Kuna vi nchi havina mbuga wala milima lakini vinaingiza billions of money kupitia utalii sababu wana chakula kizuri na customer care ya kiwango cha dunia

Sasa nyie hela mnataka ila huduma nzuri hamtaki kutoa na biashara zenyewe ndio maana huwa hazidumu

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
hivi kweli mnafikiri ni fair kuja hapa kujadili biashara ya mtu bila kujiridhisha kama mleta mada ni adui wa kibiashara wa mhusika, au kama anasema uongo au ukweli? halafu hawa wateja wenye stress ndio huwa wanasumbua sana wafanyakazi wetu.
Tukiachilia mbali huyo aliyetajwa, kuna ukweli kwamba ipo migahawa mingi tu wana tabia hiyo.

Binafsi kuna migahawa X nimekutana na kadhia hii zaidi ya mara tano. Mbaya zaidi wale wahudumu huwa hawako occupied na ishu yoyote. Huwa wako kwenye story tu, hasa boss wao asipokuwapo.
 
Huna exposure na hilo ndio tatizo lako

Kuna vi nchi havina mbuga wala milima lakini vinaingiza billions of money kupitia utalii sababu wana chakula kizuri na customer care ya kiwango cha dunia

Sasa nyie hela mnataka ila huduma nzuri hamtaki kutoa na biashara zenyewe ndio maana huwa hazidumu

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
wewe mmbeya mmbeya unayefuatilia biashara za wenzako ndio huna exposure. si uanzishe biashara yako ili ufundishe wafanyakazi wako juu ya customer care, huna kazi za kufanay? yaani unapitapita na stress zako kwenda kula vimigahawa vidogovidogo hivyo unawakuta wahudumu wamepigikaa na maisha halafu unataka kushare nao stress zako za maisha magumu? anzisha biashara yako, acha kuchafulia wengine hata hicho kidogo walichokianzisha. au ulikuwa huna sehemu zingine za kwenda kula? and what do you mean by "exposure" kwasababu si ukute unaongea hivyo umeishia tu dsm hapo. exposure yako wewe umeipata wapi labda, hebu tuelezee?
 
binafsi kuna baadhi ya maduka ukiingia, au hata migahawa, hawakuchangamkii, ni kama wameshiba hela. huwezi kuanza kuwagombeza kwasababu sio kazi yako, ni kazi ya mmiliki wa biashara hiyo, wewe nyanyuka nenda zako sehemu nyingine. kama hakuna namna unaona hakuna sehemu nyingine basi iwabembeleze wakuhudumie kwasababu una shida. ila kuanga kuwagombeza unakosa sababu, unawagombeze kwa sababu gani wakati haujawaajiri na huwalipi mshahara na hujui terms and conditions za employment walizonazo na boss wao? kazi hiyo mwachie boss wao au omba kuonana na boss wao ndio awagombeze, usiingilie kazi za wengine.
Poor chapwa!!

Boss ni mteja. Bila huyo hakuna income utapata. The shops,hotels or whatever they don't exist for the sake of their own bosses or their workers. They exist for the sake of customers..

Kwa ujumla Tanzania tuko nyuma kwa suala la customer care services na lugha zetu kwa wateja. Ndio maana kuna wakati ukienda kwenye hizi hotel kubwa kubwa utakutana na customer care kutoka nchi jirani.
 
Poor chapwa!!

Boss ni mteja. Bila huyo hakuna income utapata. The shops,hotels or whatever they don't exist for the sake of their own bosses or their workers. They exist for the sake of customers..

Kwa ujumla Tanzania tuko nyuma kwa suala la customer care services na lugha zetu kwa wateja. Ndio maana kuna wakati ukienda kwenye hizi hotel kubwa kubwa utakutana na customer care kutoka nchi jirani.
kuna kitu kimoja unashindwa kuelewa, kwamba huna avenue kuingilia biashara ya mwenzako na kuishupalia as if ni ya kwako, labda kama hauan kazi ya kufanya. pili, allegations zinazoletwa hapa jf nyingine ni za washindani wa biashara, mtu anaibuka tu from n o where anasema biashara yako wewe mfano wafanyakazi wao hawana good customer care, no evidence, kwasababu tu amesema na kila mtu anaweza kusema chochote vingine kwa maslahi yake, is it really fair kupoteza muda kujadili biashara ya mtu?

au labda thread ingebadilishwa isiwe ya kunyooshea kidole mtu, hapo tungejadili kwa mizania bora.

kuhusu customer care Tanzania, inajulikana, watanzania wengi customer care yao sio nzuri na hii inatokana na elimu ndogo ya biashara, wengiw anaafanya biashara wakiamini ushirikina etc hivyo wanajua hata usipowaungisha wao watapata pesa tu. ulishawahi kwenda duka la wakinga, wengi hawakubembelezi, lakini nenda duka la mchagga, atakuita boss hadi unaondoka dukani kwake.

wewe kama mtu mwenye majukumu unafanyaje ukukutana na watu wa aina hii? kama huna kazi ya kufanya (busy body) utapoteza muda kurumbana nao, hiyo haikusaidii, ila kama una mambo mengi iya kufanya, ondoka nenda duka lingine wanalohudumia vizuri kwasababu haimaanishi kwamba watu wote eneo hilo watakuwa wa aina hiyo. achana nao ili wajifunze kwamba customer care nzuri inawafanya wauze sana. shida ya mtu kama wewe ni kushupalia vitu visivyo vyako, hamna kazi za kufanya, mtu hajakuhudumia vizuri achana naye, nenda kwa mwingine. kwa hiyo kwasababu unataka kuprove theory zako za biashara umesoma kwa kukariri huko vyuoni ndio unamshupalia, basi mpeleke shule kabisa kama unataka kuondoa tatizo hilo.
 
Hii common sana..hata kariakoo kuna ka mgawaha kulia hapa roundabout kama unaenda mwendokasi gerezani, utaingia pale wahudumu wanapiga story hawakuulizi kitu..nishaenda mara 2 same scenario nikasema sirud tena
 
Hii common sana..hata kariakoo kuna ka mgawaha kulia hapa roundabout kama unaenda mwendokasi gerezani, utaingia pale wahudumu wanapiga story hawakuulizi kitu..nishaenda mara 2 same scenario nikasema sirud tena
labda wanakuona umepigika hufanani na wateja. kweli mtu upo smart unaingia pale hutachangamkiwa, wakati mwingine ninyi wateja punguzeni stress kujadili mambo ya kipumbavu. pengine hufanani na mgahawa huo, si uende mgahawa mwingine unaofanana nao?
 
Jana nilienda kula chakula cha mchana pale Shishi Food Dodoma.

Wakati nafika nikamkuta jamaa analumbana na mhudumu kisa amemuita aje kumhudumia akamjibu nakuja lakini hakuja ontime, kwa maana alikuja amechelewa na akamjibu majibu ambayo sio mazuri

The same kwangu pia maana niliketi more than 5 minutes wala sioni mhudumu, akaja badae sana tena kwa mwendo anaoutaka yeye.

Wakuu kama unamiliki biashara hakikisha customer care nzuri ni endelevu.

Tuache tabia kwamba ukishapata loyal customers basi unarelax kwamba watakuja tuu.

Always remember to add value to your product and service.

Shishi ajifunze kwamba Customers always demand for more
hilo ni janga haswa kwa wadada, kila mahali ni kama vile wamelazimishwa. ni bora ukale kwa mama ntilie atakujali kuliko.......
ndio maana watanzania wengi wanakosa ajira halafu wanalaumu.
badilikeni mnaharibu biashara za watu.
 
Poor chapwa!!

Boss ni mteja. Bila huyo hakuna income utapata. The shops,hotels or whatever they don't exist for the sake of their own bosses or their workers. They exist for the sake of customers..

Kwa ujumla Tanzania tuko nyuma kwa suala la customer care services na lugha zetu kwa wateja. Ndio maana kuna wakati ukienda kwenye hizi hotel kubwa kubwa utakutana na customer care kutoka nchi jirani.
Mwambie huyo zoba hajielew

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
kuna kitu kimoja unashindwa kuelewa, kwamba huna avenue kuingilia biashara ya mwenzako na kuishupalia as if ni ya kwako, labda kama hauan kazi ya kufanya. pili, allegations zinazoletwa hapa jf nyingine ni za washindani wa biashara, mtu anaibuka tu from n o where anasema biashara yako wewe mfano wafanyakazi wao hawana good customer care, no evidence, kwasababu tu amesema na kila mtu anaweza kusema chochote vingine kwa maslahi yake, is it really fair kupoteza muda kujadili biashara ya mtu?

au labda thread ingebadilishwa isiwe ya kunyooshea kidole mtu, hapo tungejadili kwa mizania bora.

kuhusu customer care Tanzania, inajulikana, watanzania wengi customer care yao sio nzuri na hii inatokana na elimu ndogo ya biashara, wengiw anaafanya biashara wakiamini ushirikina etc hivyo wanajua hata usipowaungisha wao watapata pesa tu. ulishawahi kwenda duka la wakinga, wengi hawakubembelezi, lakini nenda duka la mchagga, atakuita boss hadi unaondoka dukani kwake.

wewe kama mtu mwenye majukumu unafanyaje ukukutana na watu wa aina hii? kama huna kazi ya kufanya (busy body) utapoteza muda kurumbana nao, hiyo haikusaidii, ila kama una mambo mengi iya kufanya, ondoka nenda duka lingine wanalohudumia vizuri kwasababu haimaanishi kwamba watu wote eneo hilo watakuwa wa aina hiyo. achana nao ili wajifunze kwamba customer care nzuri inawafanya wauze sana. shida ya mtu kama wewe ni kushupalia vitu visivyo vyako, hamna kazi za kufanya, mtu hajakuhudumia vizuri achana naye, nenda kwa mwingine. kwa hiyo kwasababu unataka kuprove theory zako za biashara umesoma kwa kukariri huko vyuoni ndio unamshupalia, basi mpeleke shule kabisa kama unataka kuondoa tatizo hilo.
Sijashupalia biashara ya mtu hapa. Wala sijataja biashara ya mtu fulani (labda kama unachanganya)

Ninachokifanya ninatumia uhuru wangu wa kujieleza kuchangia mada ambayo ninaamini inachagiza kwa kiwango kikubwa ustawi wa jamii.

Pia, ninajieleza kwa kuangazia huduma mbalimbali.

Kwa hiyo sioni kosa lolote.
 
Sijashupalia biashara ya mtu hapa. Wala sijataja biashara ya mtu fulani (labda kama unachanganya)

Ninachokifanya ninatumia uhuru wangu wa kujieleza kuchangia mada ambayo ninaamini inachagiza kwa kiwango kikubwa ustawi wa jamii.

Pia, ninajieleza kwa kuangazia huduma mbalimbali.

Kwa hiyo sioni kosa lolote.
basi soma thread alafu ndio urudi hapa.
 
Back
Top Bottom