Good communication is the key element of a good customer care. Mfano ukisubiri dakika tano bila mhudumu kukuongelesha, anapofika na kukupa pole kwa kusubiri na sababu ya kuchelewa kwake. Hai hujui hata dakika mbili kufanya haya.Hakuna kitu kinaua biashara haraka sana kama customer care mbovu.
Customers ni very sensitive.Ukiwa na nyodo miezi sita ni mingi hutaona mteja hata mmoja.Unafeli kudhani eti ukiondoka eti biashara itakufa
Customers are so delusional to think this way
And funny thing is,people actually believe this nonsense aisee....so strange!
Ukiondoka wewe biashara haifi maana customers wapo wengine wengi wewe ni kitone ndani ya bahari
Shida ya mwanadamu ni kudhani dunia huanza na yeye na kuisha na yeye,anajiona yeye ndio customer mleta pesa hakuna wengine,which is a stupid lie!
We jamaa una stress SanaIts so strange,customers are so stupid they think they can just bully businesses just because they are customers!
Customers think they can just act like jerks eti because they happen to be called customers!
Give me a break!
Who do you think is willing to be jerked on by you Mr customer because you will pay some little money to buy my products?
Get the fvck outta here with your stupidity and vijisenti uchwara....go eat somewhere else!
Huwezi biashara ndg yanguIts so strange,customers are so stupid they think they can just bully businesses just because they are customers!
Customers think they can just act like jerks eti because they happen to be called customers!
Give me a break!
Who do you think is willing to be jerked on by you Mr customer because you will pay some little money to buy my products?
Get the fvck outta here with your stupidity and vijisenti uchwara....go eat somewhere else!
Nani anapashwa kuwa Mstaarabu Kati ya Owner na Customer??Mkuu
Customers hasa wa Tanzania inabidi wajifunze kua wastaarabu
Businesses have the right kukuhudumia au kutokukuhudumia au pengine kukupiga ban usikanyage on their establishment milele na huna pa kushitaki popote
Vijisenti vyako visikufanye ukaanza kutukana na kudharau wanadamu wengine halafu eti wakuache hivi hivi
America kuna restaurants wanakuangalia tu ulivyokaa,kama hujafikia criteria zao hupati huduma,wanakurudishia mlangoni na huna pa kushitaki maana ni haki yao kufanya hayo maamuzi
Customers are so stupid kabisa
Mkuu Hiki ndicho hufanya vijana wengi kufeli katika biashara, akipata loyal customers kadhaa anaona ameshamaliza kila kitu na kuvimba kichwa. Anasahau kuwa customers always demand for moreWee ndio una matatizo
Matatizo yako ni makubwa sana kudhani wanadamu wote tuongee vitu unavyopenda wewe
Yaani wewe unadhani stress wanapata wale wanadamu wanao ongea vitu usivyovipenda wewe binafsi
Punguza ungese,kila mwanadamu awe huru kuongea anachotaka!
Hili ndio tatizo tulilonalo watanzania kukubali mambo ya hovyo kwa kisingizio eti nenda sehemu nyingine kwenye huduma nzuri ..wakati kiuhalisia almost 96% sehemu za biashara za kitanzania huduma ni mbovu mno, acha watu walalamike ili solution ipatikanekwani mgahawa ni mmoja tu, wewe ukienda sehemu hawajakuhudumia vizuri wala usije hapa kulalamika, sepa nenda kwengine.
Miongoni mwa makosa makubwa kwa entrepreneurs ni hili.Hili ndio tatizo tulilonalo watanzania kukubali mambo ya hovyo kwa kisingizio eti nenda sehemu nyingine kwenye huduma nzuri ..wakati kiuhalisia almost 96% sehemu za biashara za kitanzania huduma ni mbovu mno, acha watu walalamike ili solution ipatikane
Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
Mkuu Nadhani Unajua kbsa kwamba Biashara sio swala la kumuhudia mteja na yeye kuondoka. Ni zaidi ya hapo.Customer kugeuka na kua abusive ni something else na ni kitu I cant allow
Of course hua ni wachache sana in number
Hakika nimekuelewa, Wavamia biashara Wamekuwa wengi kuliko wafanyabiashara. Facts Ni kwamba Customers come for the experience, maana products can be found anywhere!Kuna wavamia biashara na wafanya biashara.
Mkuu umewahi kwenda kupata huduma mgahawani kwake?Shishi akifata ushauri huu biashara itamdodea Yani five minutes wahudumu hawakufati loh, mimi naondoka na sirudi tena hapo
Wewe sema tu wafanyabiashara wengi customer care zenu mbovu, mnafanya biashara kimazoea sana. Kuna sehemu unaingia unakuta mtoa huduma yuko busy ila kauli yake moja tu unaweza kujikuta unamsubiri hata nusu saa kama unao muda na wala hutolalamika. Wekezeni kwenye customer care kwanza, sio kila mwenye mtaji ni mfanya biashara.Kuwahudumia wabongo first inabidi uwe Fala , second unatakiwa ufanye investment kubwa kwenye customer care , Tanzania customers are like wild animal, hawaangalii stuation wanajiangalia wao tuu
Mteja akiwa analazimisha kupewa huduma haina maana ajibiwe hovyo.Ila wateja wengine wa chakula Wana gubu sn..unaweza kufika mgahawani unakuta wateja wengine wanahudumiwa lkn unalazimisha uhudumiwe wewe,matikeo yake mnakwaruzana na wahudumu
NB :Mimi siyo mhudumu wa shishi food
Jana Nimeenda ofisi moja Hapa Dodoma, nikahudumiwa vizuri mpaka nilitamani nikamnunulie lunch yule dada. I'll definitely go back there again and again.Na wewe mteja una uhakika ni malaika in your customership mpaka utukane biashara za watu namna hii?
Wateja wakorofi hua ni wale wale
Leo umemlalamikia Shilole,kesho Voda,keshokutwa DSTV,etc....mlalamishi ni wewe wewe,huoni kama una tatizo wewe mtu?
Halafu unakuta mtu anatafuta mchawi kumbe yeye ndio tatizo. Kuna sehemu unaingia unavyohudumiwa hata kama ulikwenda tu kufanya window shoping nafsi inakusuta utanunua tu kitu na ukiwa na pesa hukosi kurudi tena.Una akili za hovyo mteja hata mmoja ni wa muhimu ka una biashara utakuwa unatafta mchawi kumbe umejiroga mwenyewe
The power of customer care.Wewe sema tu wafanyabiashara wengi customer care zenu mbovu, mnafanya biashara kimazoea sana. Kuna sehemu unaingia unakuta mtoa huduma yuko busy ila kauli yake moja tu unaweza kujikuta unamsubiri hata nusu saa kama unao muda na wala hutolalamika. Wekezeni kwenye customer care kwanza, sio kila mwenye mtaji ni mfanya biashara.