Wahuni huuliza Katiba itakuletea maji, umeme na barabara?

Wahuni huuliza Katiba itakuletea maji, umeme na barabara?

Hapo umetumia akili yako yoote kuandika ulichoandika and yet unatufokea.

Kawagombeze walio nyumbani kwako. When it comes kwenye maslahi ya Taifa ni jambo la kutumia akili zaidi ya mizinguo na konakona
huwez lazimisha chochote kwa makelele na mihemko, eti katiba 🐒

ile mlikimbia kule Mjengoni ilikua katriiibaaahaaeee🐒

kutokujua what you want, where you are and where you are going ni shida sana, ni mzigo sana 🐒

ukimbie Jambo, uzire, ususe halafu tena baadae uje urefushe mdomo na kubana pua tunatakhaaa kathiiiibaaheee thathaaihiviiii, thubutu 🐒
mabibi na mababu wa kuwadekea walishaisha kitambo. This time kuna mabibi na mababu machekbob na ma sister duu, ukizingua anakuzingua, ukukitoka nduki anatoka nduki vilevile, mnakula nae sahani moja speed 120 mwendo wa ngiri kwenye kona shaaaaa mpaka kieleweka 🐒

ni blackmailing na intimidating 🐒
 
huwez lazimisha chochote kwa makelele na mihemko, eti katiba 🐒

ile mlikimbia kule Mjengoni ilikua katriiibaaahaaeee🐒

kutokujua what you want, where you are and where you are going ni shida sana, ni mzigo sana 🐒

ukimbie Jambo, uzire, ususe halafu tena baadae uje urefushe mdomo na kubana pua tunatakhaaa kathiiiibaaheee thathaaihiviiii, thubutu 🐒
mabibi na mababu wa kuwadekea walishaisha kitambo. This time kuna mabibi na mababu machekbob na ma sister duu, ukizingua anakuzingua, ukukitoka nduki anatoka nduki vilevile, mnakula nae sahani moja speed 120 mwendo wa ngiri kwenye kona shaaaaa mpaka kieleweka 🐒

ni blackmailing na intimidating 🐒
Mimi ni CCM tena nalipia ada zangu zote za Jumuiya na Chama.

Ninazungumza nikiwa ndani ya CCM bila kuwa na lengo lolote la kukihama chama. Unapovamiwa na panya ndani ya nyumba hauikimbii bali unapambana nao
 
Case study ni wewe.
Bado upo usingizini tena mzito sana.

Amsha amsha inaendelea
utamuamsha nani kwa mihemko na makelele namna hii 🐒

si ukurupukaji kinyumbu wa kujikimbilia kila moja na uelekeo wake pasina kujua wanaelekea wap 🐒 🐒
 
Mimi ni CCM tena nalipia ada zangu zote za Jumuiya na Chama.

Ninazungumza nikiwa ndani ya CCM bila kuwa na lengo lolote la kukihama chama. Unapovamiwa na panya ndani ya nyumba hauikimbii bali unapambana nao
CCM haiwezi kukubalia kuhadaiwa na na mwanachama kama wewe 🐒

That one can not be intertained within chama cha Mapinduzi 🐒

Yes,
Panaweza kua na mamluki but hawezi kusavive ndani ya joto na vuguvugu la ndani ya CCM 🐒

if you are looking for exit door, no single CCM member can lay down a capate for you to exit 🐒

Go yourself in peace, full stop 🐒
 
.......if you are looking for exit door, no single CCM member can lay down a capate for you to exit 🐒

Go yourself in peace, full stop 🐒
Chama ni mali ya nani kama siyo wanachama?

Kufukuza ama kushughulikia wenye mawazo mbadala ni utamaduni wa CCM na ndiyo ninaouona kwenye andiko lako.

Kwa taarifa yako, sitoki napambania humu humu. Tanzania salama haipo mbali nawe 🥰
 
Chama ni mali ya nani kama siyo wanachama?

Kufukuza ama kushughulikia wenye mawazo mbadala ni utamaduni wa CCM na ndiyo ninaouona kwenye andiko lako.

Kwa taarifa yako, sitoki napambania humu humu. Tanzania salama haipo mbali nawe 🥰
bas sawa,
tutakunyorosha tu humu humu mpaka uache hiyo tabia na Lazima utaacha alaaaa🐒
 
bas sawa,
tutakunyorosha tu humu humu mpaka uache hiyo tabia na Lazima utaacha alaaaa🐒
Nyumba ikivamiwa na wadudu waharibifu haikimbiwi....

Wadudu waharibifu ni viumbe wahuni sana, wapo tayari hata kuua
 
Nyumba ikivamiwa na wadudu waharibifu haikimbiwi....

Wadudu waharibifu ni viumbe wahuni sana, wapo tayari hata kuua
bas nasisi tutang'ang'ana na hao wadudu wanaokula mbao vibaya humo humo nndrani mpaka waache hiyo tabia 🐒

na hao wadudu wahuni wanataka kula had silingboard Lazima tutadeal nao papendikulali swiftly but also softly maana hakuna namna nyingine sasa 🐒🐒

tabia hiyo lazma iachwe mara moja 🐒
 
bas nasisi tutang'ang'ana na hao wadudu wanaokula mbao vibaya humo humo nndrani mpaka waache hiyo tabia 🐒

na hao wadudu wahuni wanataka kula had silingboard Lazima tutadeal nao papendikulali swiftly but also softly maana hakuna namna nyingine sasa 🐒🐒

tabia hiyo lazma iachwe mara moja 🐒
Kwa mbomezi wa masuala ya kijasusi, hapo haujaongea bali umetoa maagizo.

guess what......?
 
Back
Top Bottom