Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 24,665
- 25,388
huwez lazimisha chochote kwa makelele na mihemko, eti katiba 🐒Hapo umetumia akili yako yoote kuandika ulichoandika and yet unatufokea.
Kawagombeze walio nyumbani kwako. When it comes kwenye maslahi ya Taifa ni jambo la kutumia akili zaidi ya mizinguo na konakona
ile mlikimbia kule Mjengoni ilikua katriiibaaahaaeee🐒
kutokujua what you want, where you are and where you are going ni shida sana, ni mzigo sana 🐒
ukimbie Jambo, uzire, ususe halafu tena baadae uje urefushe mdomo na kubana pua tunatakhaaa kathiiiibaaheee thathaaihiviiii, thubutu 🐒
mabibi na mababu wa kuwadekea walishaisha kitambo. This time kuna mabibi na mababu machekbob na ma sister duu, ukizingua anakuzingua, ukukitoka nduki anatoka nduki vilevile, mnakula nae sahani moja speed 120 mwendo wa ngiri kwenye kona shaaaaa mpaka kieleweka 🐒
ni blackmailing na intimidating 🐒