Wahuni huuliza Katiba itakuletea maji, umeme na barabara?

Hapo umetumia akili yako yoote kuandika ulichoandika and yet unatufokea.

Kawagombeze walio nyumbani kwako. When it comes kwenye maslahi ya Taifa ni jambo la kutumia akili zaidi ya mizinguo na konakona
huwez lazimisha chochote kwa makelele na mihemko, eti katiba πŸ’

ile mlikimbia kule Mjengoni ilikua katriiibaaahaaeeeπŸ’

kutokujua what you want, where you are and where you are going ni shida sana, ni mzigo sana πŸ’

ukimbie Jambo, uzire, ususe halafu tena baadae uje urefushe mdomo na kubana pua tunatakhaaa kathiiiibaaheee thathaaihiviiii, thubutu πŸ’
mabibi na mababu wa kuwadekea walishaisha kitambo. This time kuna mabibi na mababu machekbob na ma sister duu, ukizingua anakuzingua, ukukitoka nduki anatoka nduki vilevile, mnakula nae sahani moja speed 120 mwendo wa ngiri kwenye kona shaaaaa mpaka kieleweka πŸ’

ni blackmailing na intimidating πŸ’
 
Mimi ni CCM tena nalipia ada zangu zote za Jumuiya na Chama.

Ninazungumza nikiwa ndani ya CCM bila kuwa na lengo lolote la kukihama chama. Unapovamiwa na panya ndani ya nyumba hauikimbii bali unapambana nao
 
Case study ni wewe.
Bado upo usingizini tena mzito sana.

Amsha amsha inaendelea
utamuamsha nani kwa mihemko na makelele namna hii πŸ’

si ukurupukaji kinyumbu wa kujikimbilia kila moja na uelekeo wake pasina kujua wanaelekea wap πŸ’ πŸ’
 
utamuamsha nani kwa mihemko na makelele namna hii πŸ’

si ukurupukaji kinyumbu wa kujikimbilia kila moja na uelekeo wake pasina kujua wanaelekea wap πŸ’ πŸ’
Utaamka tu🐡
 
Mimi ni CCM tena nalipia ada zangu zote za Jumuiya na Chama.

Ninazungumza nikiwa ndani ya CCM bila kuwa na lengo lolote la kukihama chama. Unapovamiwa na panya ndani ya nyumba hauikimbii bali unapambana nao
CCM haiwezi kukubalia kuhadaiwa na na mwanachama kama wewe πŸ’

That one can not be intertained within chama cha Mapinduzi πŸ’

Yes,
Panaweza kua na mamluki but hawezi kusavive ndani ya joto na vuguvugu la ndani ya CCM πŸ’

if you are looking for exit door, no single CCM member can lay down a capate for you to exit πŸ’

Go yourself in peace, full stop πŸ’
 
.......if you are looking for exit door, no single CCM member can lay down a capate for you to exit πŸ’

Go yourself in peace, full stop πŸ’
Chama ni mali ya nani kama siyo wanachama?

Kufukuza ama kushughulikia wenye mawazo mbadala ni utamaduni wa CCM na ndiyo ninaouona kwenye andiko lako.

Kwa taarifa yako, sitoki napambania humu humu. Tanzania salama haipo mbali nawe πŸ₯°
 
Chama ni mali ya nani kama siyo wanachama?

Kufukuza ama kushughulikia wenye mawazo mbadala ni utamaduni wa CCM na ndiyo ninaouona kwenye andiko lako.

Kwa taarifa yako, sitoki napambania humu humu. Tanzania salama haipo mbali nawe πŸ₯°
bas sawa,
tutakunyorosha tu humu humu mpaka uache hiyo tabia na Lazima utaacha alaaaaπŸ’
 
bas sawa,
tutakunyorosha tu humu humu mpaka uache hiyo tabia na Lazima utaacha alaaaaπŸ’
Nyumba ikivamiwa na wadudu waharibifu haikimbiwi....

Wadudu waharibifu ni viumbe wahuni sana, wapo tayari hata kuua
 
Nyumba ikivamiwa na wadudu waharibifu haikimbiwi....

Wadudu waharibifu ni viumbe wahuni sana, wapo tayari hata kuua
bas nasisi tutang'ang'ana na hao wadudu wanaokula mbao vibaya humo humo nndrani mpaka waache hiyo tabia πŸ’

na hao wadudu wahuni wanataka kula had silingboard Lazima tutadeal nao papendikulali swiftly but also softly maana hakuna namna nyingine sasa πŸ’πŸ’

tabia hiyo lazma iachwe mara moja πŸ’
 
Kwa mbomezi wa masuala ya kijasusi, hapo haujaongea bali umetoa maagizo.

guess what......?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…