‘Wahuni’ wanataka kumtoa Hersi kuwa Rais wa Yanga

‘Wahuni’ wanataka kumtoa Hersi kuwa Rais wa Yanga

Danielmwasi

JF-Expert Member
Joined
May 3, 2021
Posts
2,134
Reaction score
3,834
Nimeipitia kwa haraka haraka ni kwamba waliofungua shauri (Juma na Mwipopo) walikuwa na hoja KUU 4 ambazo ni;

1. Mahakama iseme bodi ya wadhamini ya Yanga iliyopo madarakani kwa sasa ni batili sababu ipo kwa katiba ambayo sio sahihi.

2. Mahakama iseme kuwa shughuli zote ikiwemo za mihamala zilizofanyika ni batili sababu bodi iliyopo ni batili.

3. Mahakama itoe amri kuwa majukumu ya kiutendaji/utawala yawe resumed

4. Mahakama itoe amri kuwa ufanyike mchakato mpya wa kuchagua viongozi wapya sababu waliopo wamepatikana kwa njia ambazo ni batili.

Wafunguaji shauri wanadai katiba sahihi ya Yanga ni ya 1968 iliyofanyiwa merekebisho 2011, ila inaonekana 2010 kulikuwa na katiba nyingine ambayo kimsingi sio halali.

Mahakama imezikubali hoja zote za wafunguaji shauri na asiyeridhika na maamuzi haki yake ya rufaa ipo wazi

C&P


Screenshot_20240716_203027_Chrome.jpg
 
Imeshadhihirika kwa kila mtu kuwa Hersi ni mwiba mchungu sana kwasasa, na inaipaisha Yanga kwa muda mfupi sana. Hivyo namna pekee ya kuidondoaha Yanga nii kumuondoa Hersi Said. Wana Yanga wakiingia kwenye huu mtego watapoteana mazima maana hapa inatengenezwa migogoro na makundi.

Katiba ya Yanga ilipatikana kupitia mchakato mrefu uliongozwa na GSM kupitia huyo huyo Hersi Saidi kwa kufuata muongozo wa mfumo wa uendeshaji wa timu ulitolewa kwa msaada wa La Liga. Mpaka sasa Yanga sio jambo sahihi kwa Yanga kuitumia hiyo katiba kwasababu bado mchakato wa mabadiliko haujakamilika.
Hakuna wadhamini watatu, na pia mchakato wa
Yanga kuwa kampuni ado haujakamilika, n.k na uzuri Hersi aliwahi kuzungumzia huo mchakato na kama kuna mwana Yanga ana akili timamu ataelewa na atapata picha ni wapi huyu mtu anaikusudia kuipeleka Yanga. Ana mawazo na maono mazuri sana kiutendaji.

Yangu ni hayo tu
 
Imeshadhihirika kwa kila mtu kuwa Hersi ni mwiba mchungu sana kwasasa, na inaipaisha Yanga kwa muda mfupi sana. Hivyo namna pekee ya kuidondoaha Yanga nii kumuondoa Hersi Said. Wana Yanga wakiingia kwenye huu mtego watapoteana mazima maana hapa inatengenezwa migogoro na makundi.

Katiba ya Yanga ilipatikana kupitia mchakato mrefu uliongozwa na GSM kupitia huyo huyo Hersi Saidi kwa kufuata muongozo wa mfumo wa uendeshaji wa timu ulitolewa kwa msaada wa La Liga. Mpaka sasa Yanga sio jambo sahihi kwa Yanga kuitumia hiyo katiba kwasababu bado mchakato wa mabadiliko haujakamilika.
Hakuna wadhamini watatu, na pia mchakato wa
Yanga kuwa kampuni ado haujakamilika, n.k na uzuri Hersi aliwahi kuzungumzia huo mchakato na kama kuna mwana Yanga ana akili timamu ataelewa na atapata picha ni wapi huyu mtu anaikusudia kuipeleka Yanga. Ana mawazo na maono mazuri sana kiutendaji.

Yangu ni hayo tu
soma vizuri tena
 
Imeshadhihirika kwa kila mtu kuwa Hersi ni mwiba mchungu sana kwasasa, na inaipaisha Yanga kwa muda mfupi sana. Hivyo namna pekee ya kuidondoaha Yanga nii kumuondoa Hersi Said. Wana Yanga wakiingia kwenye huu mtego watapoteana mazima maana hapa inatengenezwa migogoro na makundi.

Katiba ya Yanga ilipatikana kupitia mchakato mrefu uliongozwa na GSM kupitia huyo huyo Hersi Saidi kwa kufuata muongozo wa mfumo wa uendeshaji wa timu ulitolewa kwa msaada wa La Liga. Mpaka sasa Yanga sio jambo sahihi kwa Yanga kuitumia hiyo katiba kwasababu bado mchakato wa mabadiliko haujakamilika.
Hakuna wadhamini watatu, na pia mchakato wa
Yanga kuwa kampuni ado haujakamilika, n.k na uzuri Hersi aliwahi kuzungumzia huo mchakato na kama kuna mwana Yanga ana akili timamu ataelewa na atapata picha ni wapi huyu mtu anaikusudia kuipeleka Yanga. Ana mawazo na maono mazuri sana kiutendaji.

Yangu ni hayo tu
Itakuwa simba ndio wamefungua kesi.
 
Nimeipitia kwa haraka haraka ni kwamba waliofungua shauri (Juma na Mwipopo) walikuwa na hoja KUU 4 ambazo ni;

1. Mahakama iseme bodi ya wadhamini ya Yanga iliyopo madarakani kwa sasa ni batili sababu ipo kwa katiba ambayo sio sahihi.

2. Mahakama iseme kuwa shughuli zote ikiwemo za mihamala zilizofanyika ni batili sababu bodi iliyopo ni batili.

3. Mahakama itoe amri kuwa majukumu ya kiutendaji/utawala yawe resumed

4. Mahakama itoe amri kuwa ufanyike mchakato mpya wa kuchagua viongozi wapya sababu waliopo wamepatikana kwa njia ambazo ni batili.

Wafunguaji shauri wanadai katiba sahihi ya Yanga ni ya 1968 iliyofanyiwa merekebisho 2011, ila inaonekana 2010 kulikuwa na katiba nyingine ambayo kimsingi sio halali.

Mahakama imezikubali hoja zote za wafunguaji shauri na asiyeridhika na maamuzi haki yake ya rufaa ipo wazi

C&P


View attachment 3044165
Mbona conclusion inataka kutuchanganya? Hivi hatuwezi kukata rufaa huku tukiiomba mahakama tuendelee kuwapo madarakani hadi uamuzi wa rufaa utakapotolewa?
 
Nimeipitia kwa haraka haraka ni kwamba waliofungua shauri (Juma na Mwipopo) walikuwa na hoja KUU 4 ambazo ni;

1. Mahakama iseme bodi ya wadhamini ya Yanga iliyopo madarakani kwa sasa ni batili sababu ipo kwa katiba ambayo sio sahihi.

2. Mahakama iseme kuwa shughuli zote ikiwemo za mihamala zilizofanyika ni batili sababu bodi iliyopo ni batili.

3. Mahakama itoe amri kuwa majukumu ya kiutendaji/utawala yawe resumed

4. Mahakama itoe amri kuwa ufanyike mchakato mpya wa kuchagua viongozi wapya sababu waliopo wamepatikana kwa njia ambazo ni batili.

Wafunguaji shauri wanadai katiba sahihi ya Yanga ni ya 1968 iliyofanyiwa merekebisho 2011, ila inaonekana 2010 kulikuwa na katiba nyingine ambayo kimsingi sio halali.

Mahakama imezikubali hoja zote za wafunguaji shauri na asiyeridhika na maamuzi haki yake ya rufaa ipo wazi

C&P


View attachment 3044165
Mahakama iseme pia ushindi wa bao 5 Yanga walioupata dhidi ya simba ni batili.

Hapo kwenye miamala nimecheka sana leo, hawa watu ni wehu hawajui kwa level ambayo Yanga amefikia hata Hersi asipo kuwepo physical pale yanga bingwa uko pale pale
 
Kisheria ni sahihi kabisa lakini swali la msingi ni kitu gani kiliwasukuma mawakili kufungua kesi mahakamani?
lengo yanga waludi system ya kimaskini ya wajumbe Mia na mwenyekiti kama simba.

best way ni kuignore it
 
Back
Top Bottom