‘Wahuni’ wanataka kumtoa Hersi kuwa Rais wa Yanga

‘Wahuni’ wanataka kumtoa Hersi kuwa Rais wa Yanga

Kama kweli means kuna namna ya kutaka yanga wavurugane, ili simba ambae ndo inasajili kwa fujo huku MO akiwa karejea uongozini, ipate nguvu ya kutawala soka tena msimu ujao..yani ni kama katika hawa mapacha hawawezi shindana uwanjani ikiwa watakuwa sawa kiuchumi na kiuongozi
 
Kama kweli means kuna namna ya kutaka yanga wavurugane, ili simba ambae ndo inasajili kwa fujo huku MO akiwa karejea uongozini, ipate nguvu ya kutawala soka tena msimu ujao..yani ni kama katika hawa mapacha hawawezi shindana uwanjani ikiwa watakuwa sawa kiuchumi na kiuongozi
Chama ame wavuruga kwelikweli 😃😃😃
 
Imeshadhihirika kwa kila mtu kuwa Hersi ni mwiba mchungu sana kwasasa, na inaipaisha Yanga kwa muda mfupi sana. Hivyo namna pekee ya kuidondoaha Yanga nii kumuondoa Hersi Said. Wana Yanga wakiingia kwenye huu mtego watapoteana mazima maana hapa inatengenezwa migogoro na makundi.

Katiba ya Yanga ilipatikana kupitia mchakato mrefu uliongozwa na GSM kupitia huyo huyo Hersi Saidi kwa kufuata muongozo wa mfumo wa uendeshaji wa timu ulitolewa kwa msaada wa La Liga. Mpaka sasa Yanga sio jambo sahihi kwa Yanga kuitumia hiyo katiba kwasababu bado mchakato wa mabadiliko haujakamilika.
Hakuna wadhamini watatu, na pia mchakato wa
Yanga kuwa kampuni ado haujakamilika, n.k na uzuri Hersi aliwahi kuzungumzia huo mchakato na kama kuna mwana Yanga ana akili timamu ataelewa na atapata picha ni wapi huyu mtu anaikusudia kuipeleka Yanga. Ana mawazo na maono mazuri sana kiutendaji.

Yangu ni hayo tu
Hata mimi naungana na wewe kwenye hili.

Hersi ni mtu sahihi sana kwa maendeleo ya Yanga huu ndio ukweli na uhalisia.

Linapokuja swala la maendeleo ya Club ishu ya kifedha haiwezi kuwa kipaumbele kinachoweza kusimama peke yake.

Kipaumbele kikubwa ni mapenzi na timu.

Hersi ni mtu sahihi kushika nafasi hiyo ya juu kwasababu anafit katika angle zote mbili.
 
Hata mimi naungana na wewe kwenye hili.

Hersi ni mtu sahihi sana kwa maendeleo ya Yanga huu ndio ukweli na uhalisia.

Linapokuja swala la maendeleo ya Club ishu ya kifedha haiwezi kuwa kipaumbele kinachoweza kusimama pekee.

Kipaumbele kikubwa ni mapenzi na timu.

Hersi ni mtu sahihi kushika nafasi hiyo ya juu kwasababu anafit katika angle zote mbili.
Ni vitu vya kujifurahisha vya mwandishi.
Hakuna Mahakama inayo pokea shauri alafu bila kumtumia mlalamikiwa taarifa ili asikilizwe hoja za mlalamikaji na siku iyiyo Mahakama iwasikilize walalamikaji na kutoa hukumu siku iyo iyo.

Ata izo Mahakama za Gachacha uko Rwanda wazijawahi fanya hivyo.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
1721158631599.jpg
 
Kama kweli means kuna namna ya kutaka yanga wavurugane, ili simba ambae ndo inasajili kwa fujo huku MO akiwa karejea uongozini, ipate nguvu ya kutawala soka tena msimu ujao..yani ni kama katika hawa mapacha hawawezi shindana uwanjani ikiwa watakuwa sawa kiuchumi na kiuongozi
Simba inahusu nn na mambo ya Yanga? Hebu pambaneni kivyenu huko, khaaaah
 
Wametumwa hao na itakuwa wale jamaa wa pembeni ili kuvurimuga safari ya Yanga Afrikan.
 
Imeshadhihirika kwa kila mtu kuwa Hersi ni mwiba mchungu sana kwasasa, na inaipaisha Yanga kwa muda mfupi sana. Hivyo namna pekee ya kuidondoaha Yanga nii kumuondoa Hersi Said. Wana Yanga wakiingia kwenye huu mtego watapoteana mazima maana hapa inatengenezwa migogoro na makundi.

Katiba ya Yanga ilipatikana kupitia mchakato mrefu uliongozwa na GSM kupitia huyo huyo Hersi Saidi kwa kufuata muongozo wa mfumo wa uendeshaji wa timu ulitolewa kwa msaada wa La Liga. Mpaka sasa Yanga sio jambo sahihi kwa Yanga kuitumia hiyo katiba kwasababu bado mchakato wa mabadiliko haujakamilika.
Hakuna wadhamini watatu, na pia mchakato wa
Yanga kuwa kampuni ado haujakamilika, n.k na uzuri Hersi aliwahi kuzungumzia huo mchakato na kama kuna mwana Yanga ana akili timamu ataelewa na atapata picha ni wapi huyu mtu anaikusudia kuipeleka Yanga. Ana mawazo na maono mazuri sana kiutendaji.

Yangu ni hayo tu
Hiyo katiba imesajiliwa na RITA?! Kama jibu ni ndio, ni vigezo vipi vimetumika na Mahakama kubatilisha uRais wa Hersi?

Lakini, kama jibu Katiba haijasajiliwa, hao waliofungua 'Kesi' wana akili nyingi na kuzuia 'WAHUNI' kupora timu yao.
 
Hiyo katiba imesajiliwa na RITA?! Kama jibu ni ndio, ni vigezo vipi vimetumika na Mahakama kubatilisha uRais wa Hersi?

Lakini, kama jibu Katiba haijasajiliwa, hao waliofungua 'Kesi' wana akili nyingi na kuzuia 'WAHUNI' kupora timu yao.
Kuna vitu najaribu kufikiria sipati majibu, yaani mahakama siku hizi watu wachache wanafungua kesi halafu haitangazwi, wala upande wa pili hawaitwi kujitetea wala nini. Kuhusu swali ulilouliza naomba nikujibu kwa vielelezo mkuu.
1) serikali ndio walioipitisha hiyo katiba na pia kila kitu kiliwekwa wazi katika vikao na hakuna jambo ambalo GSM na Hersi wakilificha juu huu mchakato

IMG_20240716_231459.jpg
IMG_20240716_231356.jpg
 
Kuna vitu najaribu kufikiria sipati majibu, yaani mahakama siku hizi watu wachache wanafungua kesi halafu haitangazwi, wala upande wa pili hawaitwi kujitetea wala nini. Kuhusu swali ulilouliza naomba nikujibu kwa vielelezo mkuu.
1) serikali ndio walioipitisha hiyo katiba na pia kila kitu kiliwekwa wazi katika vikao na hakuna jambo ambalo GSM na Hersi wakilificha juu huu mchakato

View attachment 3044240View attachment 3044241
Kupitishwa inawezekana, Je, imesajiliwa na RITA?

Itakuawaje kama upande wa pili pia uliitwa na haukutokea kwa 'Kukaidi'?
 
Ni vitu vya kujifurahisha vya mwandishi.
Hakuna Mahakama inayo pokea shauri alafu bila kumtumia mlalamikiwa taarifa ili asikilizwe hoja za mlalamikaji na siku iyiyo Mahakama iwasikilize walalamikaji na kutoa hukumu siku iyo iyo.

Ata izo Mahakama za Gachacha uko Rwanda wazijawahi fanya hivyo.
Nimeona Millard Ayo ame-post ngoja tusikilizie ila siamini kama ni taarifa ya uongo
 
Back
Top Bottom