The BornAgain
JF-Expert Member
- Jun 23, 2024
- 428
- 582
Chama ame wavuruga kwelikweli 😃😃😃Kama kweli means kuna namna ya kutaka yanga wavurugane, ili simba ambae ndo inasajili kwa fujo huku MO akiwa karejea uongozini, ipate nguvu ya kutawala soka tena msimu ujao..yani ni kama katika hawa mapacha hawawezi shindana uwanjani ikiwa watakuwa sawa kiuchumi na kiuongozi
Simba hata ikiwa na pesa ikiwa yanga uchumi ukawepo na ikawa na kiongozi matata kama Herse, ubingwa wasahau..ndo mana wanaona njia pekee ni kuvurugaLigi zote zimesimama.Yanga inawapa mambo ya kujadili
YANGA kwa sasa wanafanya mambo kisomi sana.HawatawezaSimba hata ikiwa na pesa ikiwa yanga uchumi ukawepo na ikawa na kiongozi matata kama Herse, ubingwa wasahau..ndo mana wanaona njia pekee ni kuvuruga
Hata mimi naungana na wewe kwenye hili.Imeshadhihirika kwa kila mtu kuwa Hersi ni mwiba mchungu sana kwasasa, na inaipaisha Yanga kwa muda mfupi sana. Hivyo namna pekee ya kuidondoaha Yanga nii kumuondoa Hersi Said. Wana Yanga wakiingia kwenye huu mtego watapoteana mazima maana hapa inatengenezwa migogoro na makundi.
Katiba ya Yanga ilipatikana kupitia mchakato mrefu uliongozwa na GSM kupitia huyo huyo Hersi Saidi kwa kufuata muongozo wa mfumo wa uendeshaji wa timu ulitolewa kwa msaada wa La Liga. Mpaka sasa Yanga sio jambo sahihi kwa Yanga kuitumia hiyo katiba kwasababu bado mchakato wa mabadiliko haujakamilika.
Hakuna wadhamini watatu, na pia mchakato wa
Yanga kuwa kampuni ado haujakamilika, n.k na uzuri Hersi aliwahi kuzungumzia huo mchakato na kama kuna mwana Yanga ana akili timamu ataelewa na atapata picha ni wapi huyu mtu anaikusudia kuipeleka Yanga. Ana mawazo na maono mazuri sana kiutendaji.
Yangu ni hayo tu
Ni vitu vya kujifurahisha vya mwandishi.Hata mimi naungana na wewe kwenye hili.
Hersi ni mtu sahihi sana kwa maendeleo ya Yanga huu ndio ukweli na uhalisia.
Linapokuja swala la maendeleo ya Club ishu ya kifedha haiwezi kuwa kipaumbele kinachoweza kusimama pekee.
Kipaumbele kikubwa ni mapenzi na timu.
Hersi ni mtu sahihi kushika nafasi hiyo ya juu kwasababu anafit katika angle zote mbili.
Simba inahusu nn na mambo ya Yanga? Hebu pambaneni kivyenu huko, khaaaahKama kweli means kuna namna ya kutaka yanga wavurugane, ili simba ambae ndo inasajili kwa fujo huku MO akiwa karejea uongozini, ipate nguvu ya kutawala soka tena msimu ujao..yani ni kama katika hawa mapacha hawawezi shindana uwanjani ikiwa watakuwa sawa kiuchumi na kiuongozi
Hiyo katiba imesajiliwa na RITA?! Kama jibu ni ndio, ni vigezo vipi vimetumika na Mahakama kubatilisha uRais wa Hersi?Imeshadhihirika kwa kila mtu kuwa Hersi ni mwiba mchungu sana kwasasa, na inaipaisha Yanga kwa muda mfupi sana. Hivyo namna pekee ya kuidondoaha Yanga nii kumuondoa Hersi Said. Wana Yanga wakiingia kwenye huu mtego watapoteana mazima maana hapa inatengenezwa migogoro na makundi.
Katiba ya Yanga ilipatikana kupitia mchakato mrefu uliongozwa na GSM kupitia huyo huyo Hersi Saidi kwa kufuata muongozo wa mfumo wa uendeshaji wa timu ulitolewa kwa msaada wa La Liga. Mpaka sasa Yanga sio jambo sahihi kwa Yanga kuitumia hiyo katiba kwasababu bado mchakato wa mabadiliko haujakamilika.
Hakuna wadhamini watatu, na pia mchakato wa
Yanga kuwa kampuni ado haujakamilika, n.k na uzuri Hersi aliwahi kuzungumzia huo mchakato na kama kuna mwana Yanga ana akili timamu ataelewa na atapata picha ni wapi huyu mtu anaikusudia kuipeleka Yanga. Ana mawazo na maono mazuri sana kiutendaji.
Yangu ni hayo tu
Simba tena ?Itakuwa simba ndio wamefungua kesi.
Kuna vitu najaribu kufikiria sipati majibu, yaani mahakama siku hizi watu wachache wanafungua kesi halafu haitangazwi, wala upande wa pili hawaitwi kujitetea wala nini. Kuhusu swali ulilouliza naomba nikujibu kwa vielelezo mkuu.Hiyo katiba imesajiliwa na RITA?! Kama jibu ni ndio, ni vigezo vipi vimetumika na Mahakama kubatilisha uRais wa Hersi?
Lakini, kama jibu Katiba haijasajiliwa, hao waliofungua 'Kesi' wana akili nyingi na kuzuia 'WAHUNI' kupora timu yao.
Kupitishwa inawezekana, Je, imesajiliwa na RITA?Kuna vitu najaribu kufikiria sipati majibu, yaani mahakama siku hizi watu wachache wanafungua kesi halafu haitangazwi, wala upande wa pili hawaitwi kujitetea wala nini. Kuhusu swali ulilouliza naomba nikujibu kwa vielelezo mkuu.
1) serikali ndio walioipitisha hiyo katiba na pia kila kitu kiliwekwa wazi katika vikao na hakuna jambo ambalo GSM na Hersi wakilificha juu huu mchakato
View attachment 3044240View attachment 3044241Mchakato wa mabadiliko Yanga wafikia hapa
Mchakato wa mabadiliko ya mfumo wa uendeshaji wa Klabu ya Yanga ulioanza mwaka 2021, unaelekea pazuri baada ya mambo kadhaa kukamilika.mobile.tanzaniaweb.live
Nimeona Millard Ayo ame-post ngoja tusikilizie ila siamini kama ni taarifa ya uongoNi vitu vya kujifurahisha vya mwandishi.
Hakuna Mahakama inayo pokea shauri alafu bila kumtumia mlalamikiwa taarifa ili asikilizwe hoja za mlalamikaji na siku iyiyo Mahakama iwasikilize walalamikaji na kutoa hukumu siku iyo iyo.
Ata izo Mahakama za Gachacha uko Rwanda wazijawahi fanya hivyo.