‘Wahuni’ wanataka kumtoa Hersi kuwa Rais wa Yanga

Kwa nini maamuzi haya yametoka usiku? Anyway kocha kashasema hataangalia majina makubwa
 
Huo UJINGA pelekeni huko ukoloni
We dogo.unadiriki kuidharau mhimili wa Nchi kama Mahakama? Mahakama imeshaamua. Kama una kauwezo hata kidogo kawasaidie uongozi wa yanga feki kukata rufaa..
 
Itakuwa simba ndio wamefungua kesi.
Simba tuko misri. Kwanza tuko bize sana sana hatuna muda na takataka zenu, tuko bize na mpanzu mmemuendea kwa mganga na wengine mna wiki mnabinya makende yenu ili asije unyamani!
 
We dogo.unadiriki kuidharau mhimili wa Nchi kama Mahakama? Mahakama imeshaamua. Kama una kauwezo hata kidogo kawasaidie uongozi wa yanga feki kukata rufaa..
Soma vizuri comment yangu bila kukurupuka.
 
Mkuu taysri mapinduzi yashafanyika
 
Yanga wasipoangalia mwaka huu utakuwa wa mvurugano , hii kama ipo manake kuna upande utakaa vema. Yani hivi haiwezekani hizi timu mbili za kkoo zikawa sawa kiuchumi au kulingana lingana halafu mpira ukachezwa? Kila mmoja anapokuwa ktk magumu mwingine ndo ashine
 
Club hizi mbili ni za dili kila mtu yupo anatafuta ugali hata kama timu yake damu itafungwa.
 
Michakato yote ilikuwa inafanyika wao wapo kimya hao wazee wakiendelea fyoko hawana muda mrefu
 
Hivi hao wazee washapendekeza uongozi mpya?
Maana kwa mujibu wa mahakama Yanga kwa sasa haina viongozi.
Nani atalipa wachezaji na ghalama za uendeshaji ?
 
MAULID KITENGE ALIVYOMUHOJI MZEE MAGOMA

Kwa Mujibu wa Mzee Magoma amesema ameamua kuwa mstari wa Mbele kutafuta Haki ya Klabu ya Yanga Kwa sababu anaona inaendeshwa kishkaji na Wanachama wengi wapo kimya hawalioni Hilo Kwa Sasa

Follow ukurasa wetu wa Instagram kuisoma zaidi hukumu hiyo ya mahakama 👇

.
@followers
#followers
#followers
#yangasc
#Wazee
#mzeemagoma
#HABARI
#Halisimediatz
#genzmemes
 
Hersi yupo pale kuisimamia maslahi ya GSM ambae ni shemeji yake... Kuna mambo wazee wapo sahihi...kina Hersi hawakutakiwa kuwadharau wazee wa timu..uliona wapi Kijiji bila wazee banaa? Wao waliwatupa njee...we unadhani wazee hawajaitoa club mbali?
 
Hersi yupo pale kuisimamia maslahi ya GSM ambae ni shemeji yake... Kuna mambo wazee wapo sahihi...kina Hersi hawakutakiwa kuwadharau wazee wa timu..uliona wapi Kijiji bila wazee banaa? Wao waliwatupa njee...we unadhani wazee hawajaitoa club mbali?
Ulitaka wazee wawe wanapewa ela na Hersi au ulitaka hao wazee wapewe uongozi? Maana sijakuelewa unaposema Hersi ana wadharau wazee. Mechi ya Yanga vs Simba msimu uliopita waliitwa wazee wote wa Yanga kama sehemu ya heshima na kuwatambua na kisha akasema mechi ni kwaajili ya wazee wa Yanga.
 
Waseme wasemavyo ila wajue
GSM/HERSI wakihama YAnga Wakaanzisha timu yao tunahamia huko huko tuwaachie hao wazee Yanga yao
Wamekosea sana kumchokoza Engineer hawajui ame win mioyo ya wana Yanga kwa 100%
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…