Waigizaji na wanamuziki wa Tanzania waliosoma (waliopiga kitabu)

Waigizaji na wanamuziki wa Tanzania waliosoma (waliopiga kitabu)

Ukishajua Itakusaidia nini??
Acha UMBEA kjjana.
Tumia fursa zilizokuwepo utafute maisha hatimae utoke kimaisha.

Habar fulan amesoma mpaka level fulani siyo ishu chamsingi nikukomaa nautafutaji then uweze kuishi vizur hapo baadae.
Samahan (Mdogo wangu) najua nitakuwa nimekukwaza...

Elimu siku hizi halipi sana kama ukifanya business somewhere na ikapokelewa vizuri na wateja ukapata faida kinoma.

e.g. Bakhresa,MANJI, hana degree but anapiga ela kila kukicha
Bila shaka elimu yako ya kuunga unga sana Nina uhakika Wewe ni mmoja wa watu waliotoa tangazo kwenye gazeti kua umepoteza vyeti wakati hukuwai ata kusoma
 
Naomba kujua wanamuziki na waigizaji waliosoma
Mimi naanza na mwana fa huyu ana masters in finance aliyoipata chuo kimoja huko uingeleza naombeni kuwajua na wengine ....naomba kuwasilisha wanajamvii

Hamees Mwinyijuma: (Cert) IFM, (Adv. Dip) IFM, (Masters in Fin) Coventry Univ (1yr) - UK.
 
Ukishajua Itakusaidia nini??
Acha UMBEA kjjana.
Tumia fursa zilizokuwepo utafute maisha hatimae utoke kimaisha.

Habar fulan amesoma mpaka level fulani siyo ishu chamsingi nikukomaa nautafutaji then uweze kuishi vizur hapo baadae.
Samahan (Mdogo wangu) najua nitakuwa nimekukwaza...

Elimu siku hizi halipi sana kama ukifanya business somewhere na ikapokelewa vizuri na wateja ukapata faida kinoma.

e.g. Bakhresa,MANJI, hana degree but anapiga ela kila kukicha
Inaonekana shule ilikushinda.

Elimu tamu aisee.
 
Back
Top Bottom