Waigizaji na wanamuziki wa Tanzania waliosoma (waliopiga kitabu)

Waigizaji na wanamuziki wa Tanzania waliosoma (waliopiga kitabu)

Alikiba ana mastars ya marketing,. Ndio maana mwenzie povu lamtoka kila siku ila hatamfkia maana jamaa ni msomi na anajua kuteka nyoyo za watu
 
Ukishajua Itakusaidia nini??
Acha UMBEA kjjana.
Tumia fursa zilizokuwepo utafute maisha hatimae utoke kimaisha.

Habar fulan amesoma mpaka level fulani siyo ishu chamsingi nikukomaa nautafutaji then uweze kuishi vizur hapo baadae.
Samahan (Mdogo wangu) najua nitakuwa nimekukwaza...

Elimu siku hizi halipi sana kama ukifanya business somewhere na ikapokelewa vizuri na wateja ukapata faida kinoma.

e.g. Bakhresa,MANJI, hana degree but anapiga ela kila kukicha

Unafikiri hao kina manji,bakhersa wangewaajiri watu kama wewe msiosoma kwenye kampuni unafikiri ingekuwa vipi
 
Naomba kujua wanamuziki na waigizaji waliosoma
Mimi naanza na mwana fa huyu ana masters in finance aliyoipata chuo kimoja huko uingeleza naombeni kuwajua na wengine ....naomba kuwasilisha wanajamvii
uingeleza
 
Back
Top Bottom