Kichwa Ndio Mtu
JF-Expert Member
- Jan 17, 2014
- 3,079
- 1,711
Ungeeleza hoja yako bila ya kuitaja CCM ungeweza kueleweka.
Wasanii wa Marekani huwa wanawapigia campaign wagombea wa nafasi mbalimbali.
Kafanye kazi acha kushinda mitandaoni kuandika upuuzi.
CCM ni majangili.....wauwaji wa utu na mtu
akili yako inawaza CCM tu?utaolewa na CCM
Hivi unadhani angekulia Kenya au kuwa na uraia wa Kenya angefika hapo alipofika?
Dr. Slaa na Mh. Mbowe wananuka damu.
Wakati waigizaji waigizaji wa nchi jirani ya Kenya na nchi nyingine za Afrika mashariki wakiota na kutaman kujulikana kimataifa waigizaji wa Tanzania wao akili yao ni kujulikana na kutajwa kwenye sherehe za kuzaliwa CCM
Wakati Waigizaji wa kenya na uganda pamoja na wanamuziki wao wanajitutumua kujulikana kimataifa,maana muziki na maigizaji ya Tanzania yamejikita kwenye kampeni za CCM au hata vyama vingine,mwisho wa siku yamejikuta hayaendi popote zaidi ya kwenda kuwapigia magoti maustazi.
Badilikeni!
CCM ni wezi, Majambazi, Majangili, Wauwaji, Watesaji na Wahuni ndio maana hata majina yenu yanawakilisha dhamira zenu!!!!
Mungu awapumzishe kwa amani marehemu Chacha Wangwe, wote waliofariki kwenye bomu la Arusha, kijana wa Morogoro na wale wote niliowasahau waliofariki kutokana na udhalimu wa CHADEMA.
Mungu aendelee kuwapa faraja Bw. Musa Tesha na Ulimboka pamoja na wahanga wote wa matendo maovu ya CHADEMA.
Kwa Yesu kila goti litapigwa.
Kwa Yesu kila goti litapigwa.
Acha upuuzi wako wa kumtaja BWANA YESU kwenye upuuzi wako, tena uwe na adabu kabisaaaa, usitake kuniharibia siku please. Unataja jina ambalo halihusiki kabisaaaaa. nani asiye ujua ushenzi na uchafu wa CCM? CCM waliniulia ndugu zangu na leo unaongea upuuzi hapa. Go to hell.