Kichwa Ndio Mtu
JF-Expert Member
- Jan 17, 2014
- 3,079
- 1,711
Wakati waigizaji waigizaji wa nchi jirani ya Kenya na nchi nyingine za Afrika mashariki wakiota na kutamani kujulikana kimataifa waigizaji wa Tanzania wao akili yao ni kujulikana na kutajwa kwenye sherehe za kuzaliwa CCM
Wakati Waigizaji wa kenya na uganda pamoja na wanamuziki wao wanajitutumua kujulikana kimataifa,maana muziki na Waigizaji ya Tanzania wamejikita kwenye kampeni za CCM au hata vyama vingine,mwisho wa siku wamejikuta hawaendi popote zaidi ya kwenda kuwapigia magoti maustazi.
Badilikeni!
Wakati Waigizaji wa kenya na uganda pamoja na wanamuziki wao wanajitutumua kujulikana kimataifa,maana muziki na Waigizaji ya Tanzania wamejikita kwenye kampeni za CCM au hata vyama vingine,mwisho wa siku wamejikuta hawaendi popote zaidi ya kwenda kuwapigia magoti maustazi.
Badilikeni!